Kwanini Zitto Kabwe anapotosha taarifa ya CAG ili kumchafua Hayati Magufuli?

Kwanini Zitto Kabwe anapotosha taarifa ya CAG ili kumchafua Hayati Magufuli?

Modus operandi ikoje ili tujue ubadhirifu umefanyika?
Zamu ya kulinda kaburi la mungu wenu Chato leo ni zamu ya nani?

Acha kujambajamba hapa rudi kwenye shift, huyo muuwaji jinsi mnavyozidi kushupaza shingo kumtetea ndio tutampopowa kwelikweli, kama mna akili hata za kuvukia barabara tu mkae kimya kama Dr Bashiru.
 
Bila ushahidi kuthibitiha haya yote itabaki story tu.
Siasa haihitaji ushahidi wa maabara wa kisayansi au ushahidi wa kijinai-beyond reasonable doubt, sisi huo ushahidi unatutosha kisiasa.

Hata yeye alikuwa anatuambia porojo za kisiasa, hakuna aliyemuomba ushahidi
 
Hakuna mahala ulipothibitisha kuwa alipiga pesa waziwazi.
Siku zote hakuna mahali wameweza kuuthibitishia umma kwa ushahidi mezani kuhusu tuhuma za ufisadi wa JPM.
Zaidi ya kuishia kutoa tuhuma kwa hila na mbinu chafu.

nyankurungu, tuwaombe hawa wanaotuhumu humu kwamba.
Mwenye tuhuma kwa Magufuli kuhusu ufisadi na ajitokeze na kuweka hadharani kama Dk Slaa alivyowahi kufanya kwenye list of Shame.

Waache visasi mbuzi waizi hao.
 
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?

Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?

Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Kwani Dr Mihogo Slaa mmempa Kadi namba ngapi kwe chama chenu cha UMOJA PARTY
 
Mashetani tu na waliojaa roho za vampire ndo wanaweza kumtetea Magufuli, hakuna mwenye Roho ya ubinadamu anaweza mtetea yule mtu!!
Mnakuza tu mambo, jinsi ambavyo unavyomzungumzia huyo mtu ingekuwa ngumu kuona watu wengi vile kwenye msiba wake. Hebu fikirie jinsi ambavyo wewe unavyomchukia Magufuli kwa kigezo kwamba alikuwa katili hivi wewe ungeweza kuacha mambo yako na kwenda kumzika mtu ambaye ni katili kwa kiwango ambacho wewe unachomchukulia?
 
Mnakuza tu mambo, jinsi ambavyo unavyomzungumzia huyo mtu ingekuwa ngumu kuona watu wengi vile kwenye msiba wake. Hebu fikirie jinsi ambavyo wewe unavyomchukia Magufuli kwa kigezo kwamba alikuwa katili hivi wewe ungeweza kuacha mambo yako na kwenda kumzika mtu ambaye ni katili kwa kiwango ambacho wewe unachomchukulia?
Wasukuma bhana 🤣🤣🤣
 
Wewe ni mbwa kweli, unazani Nyerere alijipachika Umungu mtu?

Nyerere ameandika hadi vitabu pale alipokosea na akaandika kitabu Tujisahihishe.

Siyo huyu Mrundi wenu aliyejipachika umalaika kwamba yeye ndio mjuwaji wa kila kitu.
Swali ni kwamba kwanini Nyerere hasemwi? Lissu alishambuliwa kwa kumsema Nyerere hivyo watu hawakutaka kusikia Nyerere akisemwa.

Nyerere kawa Mungu kwamba hakosei hadi asisemwe? Na mnampa hadi utukufu.
 
Huamini kwamba JPM alikuwa fisadi namba moja kipindi cha udikteta uchwara wake???

Hutaki asemwe??!-----au nawewe ulikuwa na maslahi naye??!!
Labda tumekubali alikua fisadi no1 lakini pia maendeleo tumeyaona sio?

Hayo ambao sio mafisadi wamefanya nini mpaka sasa mkuu?
Tujiulize.
 
Wasukuma bhana 🤣🤣🤣
Huo ndio ukweli haya mnayoeleza humu mitandaoni na huko mitaani ni vitu viwili tofauti, binafsi niliamini kwamba kwa jinsi anavyochukiwa Magufuli basi ataagwa na watu wachache sana.
 
Magufuli alijifanya yeye ni mtu safi na ni mzalendo kuliko watu wote wakati si kweli hata kidogo, wenzake wapo wazi na tumeshakubaliana kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake hatuna tatizo nao, kinachofanya Magufuli atachukiwa milele ni haya.

• Katili
•Muuwaji
•Fisadi
•Roho mbaya
Thibitisha...

Nikichogundua janjajanja,wapigaji,wenye vyeti feki ndio wako huku JF kutwa kuchwa kumpiga vita JPM..

Fanya research huku mitaani 90% ya watz ni vipenzi vya JPM kindakindaki.....

JPM atabaki kuwa ni moja ya rais bora kuwepo afrika...

Hutaki unaumia bhasi kunya nanasi.
 
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?

Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?

Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Watanzania msiwe wajinga.....wenzetu humu ndani wengi wao wanatupa tahadhali tujichunge na Zitto, huyu mtu ni sumu ya nchi kwani anatumiwa na CCM (sasa Mama Samia na Kikwete) ili kumchafua Magufuli. Tukumbuke, Kikwete alifanya ushenzi mwingi sana hapa nchini alipokuwa madarakani, mikataba feki, mikataba ya hasara, wizi serikalini, uozo makazini, vibaka kuwa ndiyo wenye nchi, na uuzaji unga ukiongozwa na mwanawe Ridhiwani. Magufuli alikuja na akatuambia hadharani kuwa hii nchi ilichezewa mno (akimlenga Kikwete na kundi lake la kijinga), kitu kilichowaudhi kina Kikwete na kibaraka wao Zitto. Zitto has always been under CCM payroll, yule wala si mpinzani bali ni political entrepreneur, akicheza na fursa za kuchafua maadui wa Kikwete pamoja na kuua upinzani.
 
Kwa nini CAG anaandika report inayoifanya zitto amkosoe JPM?

Kwa nini serikali Inamuajiri CAG aandike report ya kumchafua JPM?

Kwa nini printers na makaratasi zinakubali kutumia kuandikiwa report ya kumchafua JPM

Jibu ni jepesi

'kwa sababu alikuwa mchafu'
Mfumo wa Auditing anaotumia CAG unatoa mwanya kwa watu wenye nia Ovu kuhukumu wenzao pasipo haki.
CAG anakagua mchakato mzima wa matumizi kuanzia procurement process, Documentation, Quality ya Bidhaa na Huduma husika vs Bei (Value for Money), Plans na Outcome
Akija kwako akikuta pikipiki SanLg 150cc ipo na inatumika kiofisi kwa mujibu wa malengo na ilinunuliwa kwa bei resonable lakini tendering haikufuata utaratibu yeye atasema hela zimefujwa, akikuta kila kitu kipo nyaraka kama Risiti sio efd atakuambia kuna shida... Sasa hapo wanasiasa uchwara watasema hela zimeliwa.
Kuna kesi moja mwaka huu ripoti inasema kwenye ujenzi wa Zahanati kuna vifaa vya milioni 170 vina risiti feki. Sasa unajiuliza vifaa vilivonunuliw vilikuwa halisi?
Vilitumika ilivokusudiwa?
Zahanati ilijengwa kwa ubora?
Kwa hiyo shida ni risiti feki tu?
Basi taarifa iwe na maelezo ya kina kwamba Vifaa halisi, ujenzi una kiwango, matumizi sahihi ya fedha lakini Mradi umeikosesha serikali kodi kwenye manunuzi ya 170ml kwa sababu ya kutolewa risiti feki.
Nimesoma humu JF kuhusu sakata e passport kumbe watuhumiwa waliswekwa ndani mwaka mzima bila dhamana kwa uhujumu uchumi
 
Watanzania msiwe wajinga.....wenzetu humu ndani wengi wao wanatupa tahadhali tujichunge na Zitto, huyu mtu ni sumu ya nchi kwani anatumiwa na CCM (sasa Mama Samia na Kikwete) ili kumchafua Magufuli. Tukumbuke, Kikwete alifanya ushenzi mwingi sana hapa nchini alipokuwa madarakani, mikataba feki, mikataba ya hasara, wizi serikalini, uozo makazini, vibaka kuwa ndiyo wenye nchi, na uuzaji unga ukiongozwa na mwanawe Ridhiwani. Magufuli alikuja na akatuambia hadharani kuwa hii nchi ilichezewa mno (akimlenga Kikwete na kundi lake la kijinga), kitu kilichowaudhi kina Kikwete na kibaraka wao Zitto. Zitto has always been under CCM payroll, yule wala si mpinzani bali ni political entrepreneur, akicheza na fursa za kuchafua maadui wa Kikwete pamoja na kuua upinzani.
Umeweka ukweli wazi kabisa.
 
Huo ndio ukweli haya mnayoeleza humu mitandaoni na huko mitaani ni vitu viwili tofauti, binafsi niliamini kwamba kwa jinsi anavyochukiwa Magufuli basi ataagwa na watu wachache sana.
Mmepewa reference nyingi sana za watawala madikteta namna mazishi yao yalivohudhuriwa na maelfu ya watu,a hana na huyo dikteta wa kisukuma ambae idadi ya waliohudhuria mazishi yake ni chache ukilinganisha na madikteta wenzie miaka ya kadhaa ya nyuma


Shida yenu ni kwamba aidha ni wajinga yaani mawazo yenu ni kama NG'OMBE mnaowafuga au mnajitoa ufahamu tu


Lakini pia,zitto kawaambia kama mnampenda sana basi mkazikwe nae pembeni yake
 
Mbona Mkapa hasemwi? Hamjiulizi kima nyinyi?
Mkapa kasemwa sana tu tokea alipokuwa hai na hata hivyo hakuna ambaye atakuona umetenda dhambi ukimsema Mkapa ila kwa Mtukufu Nyerere hali ni tofauti, ukimsema unaonekana unakufuru ndio maana Lissu alipata pingamizi alipojaribu kumuelezea Nyerere kama mtu ambaye aliishi kwa uongo uongo na alikuwa dikteta.
 
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?

Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?

Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
We mjinga nini?
Tshs 1.5 Trilioni haikukwapuliwa?
Una mapenzi na kumwinua shetani!
 
Back
Top Bottom