Kwanini Zitto Kabwe anapotosha taarifa ya CAG ili kumchafua Hayati Magufuli?

Kwanini Zitto Kabwe anapotosha taarifa ya CAG ili kumchafua Hayati Magufuli?

Mnakuza tu mambo, jinsi ambavyo unavyomzungumzia huyo mtu ingekuwa ngumu kuona watu wengi vile kwenye msiba wake. Hebu fikirie jinsi ambavyo wewe unavyomchukia Magufuli kwa kigezo kwamba alikuwa katili hivi wewe ungeweza kuacha mambo yako na kwenda kumzika mtu ambaye ni katili kwa kiwango ambacho wewe unachomchukulia?

Lazima watu wakashamgae hivi mtu katili namna ile kumbe nayeye Mungu anaweza kumpiga rungu la kichwa pia, hiv akifa anakuwaje?

Wewe hujawahi ona jambazi limeuliwa na polisi watu wanajaa kwenda kushangaa kumbe hata jambazi linaweza pigwa risasi na kufa? Hiv jambazi likifa linafananaje?
 
Mmepewa reference nyingi sana za watawala madikteta namna mazishi yao yalivohudhuriwa na maelfu ya watu,a hana na huyo dikteta wa kisukuma ambae idadi ya waliohudhuria mazishi yake ni chache ukilinganisha na madikteta wenzie miaka ya kadhaa ya nyuma


Shida yenu ni kwamba aidha ni wajinga yaani mawazo yenu ni kama NG'OMBE mnaowafuga au mnajitoa ufahamu tu


Lakini pia,zitto kawaambia kama mnampenda sana basi mkazikwe nae pembeni yake
Zitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?

Hoja bado iko pale pale kwamba kama watu wanakuchukia tena sana inakuwaje watu hao hao wanaacha mambo yao na kwenda kumzika mtu ambaye wanamchukia? Hata hao madikteta wengine nao inakuaje azikwe kwa heshima na ummati wa watu wanaomchukia?
 
Mmepewa reference nyingi sana za watawala madikteta namna mazishi yao yalivohudhuriwa na maelfu ya watu,a hana na huyo dikteta wa kisukuma ambae idadi ya waliohudhuria mazishi yake ni chache ukilinganisha na madikteta wenzie miaka ya kadhaa ya nyuma


Shida yenu ni kwamba aidha ni wajinga yaani mawazo yenu ni kama NG'OMBE mnaowafuga au mnajitoa ufahamu tu


Lakini pia,zitto kawaambia kama mnampenda sana basi mkazikwe nae pembeni yake

Lazima watu wakashamgae hivi mtu katili namna ile kumbe nayeye Mungu anaweza kumpiga rungu la kichwa pia, hiv akifa anakuwaje?

Wewe hujawahi ona jambazi limeuliwa na polisi watu wanajaa kwenda kushangaa kumbe hata jambazi linaweza pigwa risasi na kufa? Hiv jambazi likifa linafananaje?
 
Lazima watu wakashamgae hivi mtu katili namna ile kumbe nayeye Mungu anaweza kumpiga rungu la kichwa pia, hiv akifa anakuwaje?

Wewe hujawahi ona jambazi limeuliwa na polisi watu wanajaa kwenda kushangaa kumbe hata jambazi linaweza pigwa risasi na kufa? Hiv jambazi likifa linafananaje?
Unaweza kunipa tofauti za watu wanaoenda kushangaa na wanaoenda kwa nia ya kweli ya mazishi?

Cha ajabu ninyi mnaojibu humu sidhani kama mliacha mambo yenu mkaenda kumshangaa huyo marehemu.
 
Zitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?

Hoja bado iko pale pale kwamba kama watu wanakuchukia tena sana inakuwaje watu hao hao wanaacha mambo yao na kwenda kumzika mtu ambaye wanamchukia? Hata hao madikteta wengine nao inakuaje azikwe kwa heshima na ummati wa watu wanaomchukia?
Hoja iko pale pale hata madikteta na watesi wengi tu walizikwa na maelfu ya watu lakini hio haiondoi uovu wao

Hoja kwamba zitto hakuzikwa na mama yake ni kwamba mapenzi ya zitto na mama yake ni siri yake yeye moyoni mwake tunashangaa nyie wasukuma mapenzi yenu na msukuma mwenzenu kwann iwe show-off kwa watu wengine???

Mtu aliesema HAPELEKI MAENDELEO SEHEMU YENYE VIONGOZI WAPINZANI

mtu aliewaonya wakurugenzi OLE WAO KWENYE MAENEO YAO WATAKAOMTANGAZA MSHINDI MPINZANI

mtu ambae KWENYE UTAWALA WAKE BINADAMU HAWAKUA NA THAMANI NA UHAI WAO,WAKAWA WANAOKOTWA KWENYE VIROBA WAKIWA WAFU NA WENGINE WASIJULIKANE WAKO WAPI MPAKA LEO

mtu anaediriki kutuongopea kua anafanya miradi mikubwa kwa makusanyo ya ndani na baada ya kufa tunagundugua
Unaweza kunipa tofauti za watu wanaoenda kushangaa na wanaoenda kwa nia ya kweli ya mazishi?

Cha ajabu ninyi mnaojibu humu sidhani kama mliacha mambo yenu mkaenda kumshangaa huyo marehemu.
Dhalimu ni dhalimu tu,azikiwe na maelfu asizikwe na maelfu atabaki kua dhalimu kutokana na matendo yake

Na kama wewe wewe unanufaika na kazi zake au ni miongoni mwa matendo yake basi jua utalipa tu iwe leo kesho ama keshokutwa utalipa tu
 
Kama unampenda nenda ukazikwe karibu na kaburi lake
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?

Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?

Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
 
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?

Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?

Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Huwezi kumsafisha Magufuli ni mchafu mno na bado mengi hayajajulikana.
 
Zitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?

Hoja bado iko pale pale kwamba kama watu wanakuchukia tena sana inakuwaje watu hao hao wanaacha mambo yao na kwenda kumzika mtu ambaye wanamchukia? Hata hao madikteta wengine nao inakuaje azikwe kwa heshima na ummati wa watu wanaomchukia?
Achna na hao mafala wanasumbuka sana kumhukumu mpaka wanakufuru imani za dini zao kwa sababu ya chuki za kisiasa.
Leo hii hata kifo kinanasibishwa na matendo maovu. Sasa waulize kwani alipangiwa kufa na Miaka mingapi kama angekuwa na matendo mazuri? Kwani ndugu zao walokufa wachanga watoto au vijanaau watu wazima kabla ya kuzeeka walikuwa na maovu gani??
Kama matendo mazuri ni kipimo cha Siku za kufa.. mbona Yesu alikufa na miaka 33, Mohammad miaka 63? Wakati kuna watu wanaishi miaka 100+....!!!!???
Kama umri ni ndio kipimo mbona shetani mkuu hafi mpaka kiama
 
Kuna chawa hata ukiwaambia kuwa jiwe alishatutoka hawaamini wanatumia nguvu nyiiingi kumtetea lakini waaaaaaaaaaaapiiiiiiiiiiiiiii, lile lilikuwa crap tu, hakuna alichopotosha mzito CAG ndio kaanika matakataka yooote ya jiwe ikiwemo wizi wake wa kuitumia Tanroads na jizi lenzie mfugale
 
Hoja iko pale pale hata madikteta na watesi wengi tu walizikwa na maelfu ya watu lakini hio haiondoi uovu wao

Hoja kwamba zitto hakuzikwa na mama yake ni kwamba mapenzi ya zitto na mama yake ni siri yake yeye moyoni mwake tunashangaa nyie wasukuma mapenzi yenu na msukuma mwenzenu kwann iwe show-off kwa watu wengine???

Mtu aliesema HAPELEKI MAENDELEO SEHEMU YENYE VIONGOZI WAPINZANI

mtu aliewaonya wakurugenzi OLE WAO KWENYE MAENEO YAO WATAKAOMTANGAZA MSHINDI MPINZANI

mtu ambae KWENYE UTAWALA WAKE BINADAMU HAWAKUA NA THAMANI NA UHAI WAO,WAKAWA WANAOKOTWA KWENYE VIROBA WAKIWA WAFU NA WENGINE WASIJULIKANE WAKO WAPI MPAKA LEO

mtu anaediriki kutuongopea kua anafanya miradi mikubwa kwa makusanyo ya ndani na baada ya kufa tunagundugua

Dhalimu ni dhalimu tu,azikiwe na maelfu asizikwe na maelfu atabaki kua dhalimu kutokana na matendo yake

Na kama wewe wewe unanufaika na kazi zake au ni miongoni mwa matendo yake basi jua utalipa tu iwe leo kesho ama keshokutwa utalipa tu
Zitto katoa machozi kwa sababu mama yake kasemwa halafu wewe unasema mapenzi kwa mama yalikuwa ni siri yake.

Point yangu ni kwamba mnakuza mambo kwa kutaka kutuaminisha kwamba watu wote wanachukulia Magufuli kama unavyomchukulia wewe na wenzio kwamba ni katili tu na mnachukia basi na wengine nao ni hivyo hivyo kwamba wanamchukia Magufuli na Magufuli kwao hana jema zaidi ya kuwa ni katili tu. Wingi wa watu kwenye mazishi yake tafsiri yake ni kwamba kuna watu hawakuwa na chuki na Magufuli na kwamba waliona mema yake pia hawakuishia kutizama mabaya yake tu ndio maana wakaweza kuacha mambo yao na kwenda kumzika kwa heshima kitu ambacho wewe na wenzio hamkukiweza kutokana na mlivyokuwa mkimchukulia Magufuli.

Mimi sina chuki na marehemu hivyo naweza kumuelezea kwa uhuru bila kuongozwa na chuki, sasa kuniona kuwa ni mfaidika wa utawala wa Magufuli ndio tatizo lile lile la kutaka kila mtu amchukie Magufuli, mimi huwa siongozwi na hisia maana ubaya wa hisia unaweza kukuta wewe ulizibiwa mirija yako haramu na Magufuli na ikawa ndio sababu ya kuingia kwenye kundi la kumchukia Magufuli kisa tu aliharibu biashara zako haramu wala haoni kuwa ulichokuwa unafanya hakikuwa sahihi.
 
Kuna chawa hata ukiwaambia kuwa jiwe alishatutoka hawaamini wanatumia nguvu nyiiingi kumtetea lakini waaaaaaaaaaaapiiiiiiiiiiiiiii, lile lilikuwa crap tu, hakuna alichopotosha mzito CAG ndio kaanika matakataka yooote ya jiwe ikiwemo wizi wake wa kuitumia Tanroads na jizi lenzie mfugale
Usiaibishe ukoo wako. Nani haamini kama JPM kafa.
 
Kuna chawa hata ukiwaambia kuwa jiwe alishatutoka hawaamini wanatumia nguvu nyiiingi kumtetea lakini waaaaaaaaaaaapiiiiiiiiiiiiiii, lile lilikuwa crap tu, hakuna alichopotosha mzito CAG ndio kaanika matakataka yooote ya jiwe ikiwemo wizi wake wa kuitumia Tanroads na jizi lenzie mfugale
Kama CAG hakuweza kuanika huo uchafu wakati wa Jiwe maana yake alipindisha mambo hakuwa jasiri kama Prof Assad, sasa sijui ni kipi ambacho kinakufanya umuamini sasa kwa kuona kuwa ndio anafanya kazi zake kiufasaha bila kupewa maelekezo wala kuhofia utawala uliyopo?

Sema kwa sasa hauwezi kujiuliza hayo kwa sababu reports za sasa zinakufurahisha anakupa kile unachokitaka.
 
Mbona Nyerere hasemwi au kwa sababu ni ndiyo kapewa utukufu?
Shida yule bwana alikuwa mshamba wa madaraka kila kitu alitaka afanye peke yake akaona kila mtu ni mwizi. Nchi ni watu ndugu siyo Mali ya rais.

Na ana bahati Sana amekufa kabla hajamaliza mda wake vinginevyo angeishi kwa taabu Sana angekuwa anazomewa barabarani akiwa anapita.
 
Back
Top Bottom