Mnakuza tu mambo, jinsi ambavyo unavyomzungumzia huyo mtu ingekuwa ngumu kuona watu wengi vile kwenye msiba wake. Hebu fikirie jinsi ambavyo wewe unavyomchukia Magufuli kwa kigezo kwamba alikuwa katili hivi wewe ungeweza kuacha mambo yako na kwenda kumzika mtu ambaye ni katili kwa kiwango ambacho wewe unachomchukulia?
Zitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?Mmepewa reference nyingi sana za watawala madikteta namna mazishi yao yalivohudhuriwa na maelfu ya watu,a hana na huyo dikteta wa kisukuma ambae idadi ya waliohudhuria mazishi yake ni chache ukilinganisha na madikteta wenzie miaka ya kadhaa ya nyuma
Shida yenu ni kwamba aidha ni wajinga yaani mawazo yenu ni kama NG'OMBE mnaowafuga au mnajitoa ufahamu tu
Lakini pia,zitto kawaambia kama mnampenda sana basi mkazikwe nae pembeni yake
Mmepewa reference nyingi sana za watawala madikteta namna mazishi yao yalivohudhuriwa na maelfu ya watu,a hana na huyo dikteta wa kisukuma ambae idadi ya waliohudhuria mazishi yake ni chache ukilinganisha na madikteta wenzie miaka ya kadhaa ya nyuma
Shida yenu ni kwamba aidha ni wajinga yaani mawazo yenu ni kama NG'OMBE mnaowafuga au mnajitoa ufahamu tu
Lakini pia,zitto kawaambia kama mnampenda sana basi mkazikwe nae pembeni yake
Unaweza kunipa tofauti za watu wanaoenda kushangaa na wanaoenda kwa nia ya kweli ya mazishi?Lazima watu wakashamgae hivi mtu katili namna ile kumbe nayeye Mungu anaweza kumpiga rungu la kichwa pia, hiv akifa anakuwaje?
Wewe hujawahi ona jambazi limeuliwa na polisi watu wanajaa kwenda kushangaa kumbe hata jambazi linaweza pigwa risasi na kufa? Hiv jambazi likifa linafananaje?
Zitto ni Musiba wa awamu hii.Kwahiyo unataka kusema kuwa amelipwa ili kumchafua Magu?? Sitaki kuamini.
Labda tumekubali alikua fisadi no1 lakini pia maendeleo tumeyaona sio?
Hayo ambao sio mafisadi wamefanya nini mpaka sasa mkuu?
Tujiulize.
Hoja iko pale pale hata madikteta na watesi wengi tu walizikwa na maelfu ya watu lakini hio haiondoi uovu waoZitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?
Hoja bado iko pale pale kwamba kama watu wanakuchukia tena sana inakuwaje watu hao hao wanaacha mambo yao na kwenda kumzika mtu ambaye wanamchukia? Hata hao madikteta wengine nao inakuaje azikwe kwa heshima na ummati wa watu wanaomchukia?
Dhalimu ni dhalimu tu,azikiwe na maelfu asizikwe na maelfu atabaki kua dhalimu kutokana na matendo yakeUnaweza kunipa tofauti za watu wanaoenda kushangaa na wanaoenda kwa nia ya kweli ya mazishi?
Cha ajabu ninyi mnaojibu humu sidhani kama mliacha mambo yenu mkaenda kumshangaa huyo marehemu.
Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Huwezi kumsafisha Magufuli ni mchafu mno na bado mengi hayajajulikana.Kama anajua fika kuwa ni utaratibu wa kawaida CAG akiibua hoja basi lazima PAC na LAAC wazipitie na kuhakiki kama kuna ubadhirifu basi wao ndio watatoa majumuisho. Lakini amekomaa kumchafua hayati JPM kwa nini?
Huyu kiongozi wa Act Wazalendo anatumika na wanaCCM kwa manufaa ya gani kumchafua hayati JPM?
Huyu ni mpiga madili kama ilivyo Nape Nnauye,January Makamba na kundi lao. Kuna uwezekano hawa ndio wanatumika kumchafua hayati JPM kwa manufaa yao tu sababu tu aliwakataa kwa maovu yao.
Seriously?unataka nianze kukuorodheshea?Maendeleo yepi hayo??!!
Achna na hao mafala wanasumbuka sana kumhukumu mpaka wanakufuru imani za dini zao kwa sababu ya chuki za kisiasa.Zitto yeye mbona hajazikwa na mama yake au hakumpenda?
Hoja bado iko pale pale kwamba kama watu wanakuchukia tena sana inakuwaje watu hao hao wanaacha mambo yao na kwenda kumzika mtu ambaye wanamchukia? Hata hao madikteta wengine nao inakuaje azikwe kwa heshima na ummati wa watu wanaomchukia?
Zitto katoa machozi kwa sababu mama yake kasemwa halafu wewe unasema mapenzi kwa mama yalikuwa ni siri yake.Hoja iko pale pale hata madikteta na watesi wengi tu walizikwa na maelfu ya watu lakini hio haiondoi uovu wao
Hoja kwamba zitto hakuzikwa na mama yake ni kwamba mapenzi ya zitto na mama yake ni siri yake yeye moyoni mwake tunashangaa nyie wasukuma mapenzi yenu na msukuma mwenzenu kwann iwe show-off kwa watu wengine???
Mtu aliesema HAPELEKI MAENDELEO SEHEMU YENYE VIONGOZI WAPINZANI
mtu aliewaonya wakurugenzi OLE WAO KWENYE MAENEO YAO WATAKAOMTANGAZA MSHINDI MPINZANI
mtu ambae KWENYE UTAWALA WAKE BINADAMU HAWAKUA NA THAMANI NA UHAI WAO,WAKAWA WANAOKOTWA KWENYE VIROBA WAKIWA WAFU NA WENGINE WASIJULIKANE WAKO WAPI MPAKA LEO
mtu anaediriki kutuongopea kua anafanya miradi mikubwa kwa makusanyo ya ndani na baada ya kufa tunagundugua
Dhalimu ni dhalimu tu,azikiwe na maelfu asizikwe na maelfu atabaki kua dhalimu kutokana na matendo yake
Na kama wewe wewe unanufaika na kazi zake au ni miongoni mwa matendo yake basi jua utalipa tu iwe leo kesho ama keshokutwa utalipa tu
Usiaibishe ukoo wako. Nani haamini kama JPM kafa.Kuna chawa hata ukiwaambia kuwa jiwe alishatutoka hawaamini wanatumia nguvu nyiiingi kumtetea lakini waaaaaaaaaaaapiiiiiiiiiiiiiii, lile lilikuwa crap tu, hakuna alichopotosha mzito CAG ndio kaanika matakataka yooote ya jiwe ikiwemo wizi wake wa kuitumia Tanroads na jizi lenzie mfugale
Kama CAG hakuweza kuanika huo uchafu wakati wa Jiwe maana yake alipindisha mambo hakuwa jasiri kama Prof Assad, sasa sijui ni kipi ambacho kinakufanya umuamini sasa kwa kuona kuwa ndio anafanya kazi zake kiufasaha bila kupewa maelekezo wala kuhofia utawala uliyopo?Kuna chawa hata ukiwaambia kuwa jiwe alishatutoka hawaamini wanatumia nguvu nyiiingi kumtetea lakini waaaaaaaaaaaapiiiiiiiiiiiiiii, lile lilikuwa crap tu, hakuna alichopotosha mzito CAG ndio kaanika matakataka yooote ya jiwe ikiwemo wizi wake wa kuitumia Tanroads na jizi lenzie mfugale
Seriously?unataka nianze kukuorodheshea?
Uko Tz ipi mzee?
Umeyapatia majukumu yake.Zitto ni Musiba wa awamu hii.
Shida yule bwana alikuwa mshamba wa madaraka kila kitu alitaka afanye peke yake akaona kila mtu ni mwizi. Nchi ni watu ndugu siyo Mali ya rais.Mbona Nyerere hasemwi au kwa sababu ni ndiyo kapewa utukufu?