"Kwao pesa zipo" Msemo unaoshamiri kwa kasi kwa vijana wa kiume

"Kwao pesa zipo" Msemo unaoshamiri kwa kasi kwa vijana wa kiume

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje? Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!

Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc ila sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo.

Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee?
 
Hakika.
FPxdsBPXMAMF8Av.jpg
 
Bibi kikongwe mmoja wa kizungu akiwa ndani ya "TRAM" alilia na kupaza sauti hii.."yaani dunia ya sasa vijana wa kiume wameanza kuvaa VISURUALI VIFUPI NA VYA KUBANA VENYE RANGI YA NJANO NA PINKI"?!!!!

Akawaacha hoi abiria kwa vicheko.....🤣🤣

Unategemea nini kwa wadogo zetu wa SAMPULI hiyo ?!!!!

Beta Males VS Few ALPHA MALES

#Yetzer hatov
#Maisha Ya Mwanaume Ni Jasho Lake Mwenyewe
 
Bibi kikongwe mmoja wa kizungu akiwa ndani ya "TRAM" alilia na kupaza sauti hii.."yaani dunia ya sasa vijana wa kiume wameanza kuvaa VISURUALI VIFUPI NA VYA KUBANA VENYE RANGI YA NJANO NA PINKI"?!!!!

Akawaacha hoi abiria kwa vicheko.....[emoji1787][emoji1787]

Unategemea nini kwa wadogo zetu wa SAMPULI hiyo ?!!!!

Beta Males VS Few ALPHA MALES

#Yetzer hatov
#Maisha Ya Mwanaume Ni Jasho Lake Mwenyewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hao ni vijana wa kiume ni haki yao, wanaume hawawezi kufanya au kusema miseo ya kike kama hiyo.
 
Life limekuwa gumu tu wakuu, wahurumieni vijana. Ukiwa jobless au una kazi yenye kipato kidogo, usingependa ku-date mtu wa kukutegemea 100%. Ndio maana mnaona vijana wanaangalia penye unafuu.

Sidhani kijana mwenye kipato chake anaweza kusema hivi, though naona baadhi pia hawataki kubeba mizigo siku hizi.
 
Back
Top Bottom