"Kwao pesa zipo" Msemo unaoshamiri kwa kasi kwa vijana wa kiume

"Kwao pesa zipo" Msemo unaoshamiri kwa kasi kwa vijana wa kiume

Haha..vijana wa Sasa hasara tupu
 
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?

Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!

Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.

Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Hahhahahah yaani daah hali ni ngumu bwashee

siku hizi yaani kabla hujatongozwa unaulizwa unajishughulisha na nini au where are you working 😅😅😅😅😅😅😅😅 earth is harder
 
Ila kwenye mahusiano ukichimba kidogo unagundua uchumi sio kigezo kikubwa... I stand to be corrected
No Kwa dunia ya Leo swala la uchumi ni Jambo la msingi sana anaweza asiwe na pesa wala kazi Ila Kwa unavyomuona anaweza kukusaidia kwenye shughuli binafsi kama biashara au kufuga nyumbani au shughuli yoyote binafsi ya kiuchumi Kwa dunia ya Leo kuowa mtu ambaye anafuga kucha Tu na kupaka rangi yeye anangojea aletewe ni disaster kwenye future ya kizazi chako
 
Dunia na maisha vinaenda Kasi sana,,, ckuiz kabla hujamtongoza mwanamke atatumia tu muda wa dakika 1 kubaini Kama kwenu pesa zipo au la[emoji23]
 
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?

Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!

Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.

Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!

Wasio na pesa, waendelee kudanga. Maana wakiwekwa ndani bado wanaendelea na mindset za kizamani (Kutafuta mwenye nazo zaidi yako). Wanahisi nyasi nzuri ziko mbali zaidi na hawajui vile pesa inatafutwa!
 
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?

Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!

Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.

Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Ni kwasababu hao ndo wenye upendo wa kweli.. kwao pesa ipo so most of them huwa wanataka upendo tuu..

Sio Hawa wengine unampa upendo lakini kunamambo ukikwama kumtimizia la pesa anaona hufaii

So tusipangiane.. ingawa kiukweli wanawake wengi wasio na pesa kitandani wanajita balaa.. hao wanafaa kuwa side chicks tuu..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Itabidi niombe ulinzi..[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama mwanamke ukiskia boyfriend wako sifa ya kwanza anayoitoa kwa washkaji wenzake kwamba kwenu pesa zipo unajiskiaje?

Maana ndiyo trend kwa sasa au kuhudumia kumehamia kwa wanawake! Mkienda date ya kwanza unamwonyesha ni jinsi gani kwenu pesa ipo!

Miaka ya nyuma kidogo ukiwasimulia rafiki zako wasifu wa mpenzi wako unaanza na urembo, tabia etc etc.

Ila Sasa sifa ya Kwanza ni kwao pesa zipo. Sasa ambao pesa kwao hazipo mnawaachia nani mazee!
Miaka inaenda na kizazi kinachozaliwa ndiyo hiki
 
Back
Top Bottom