Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake ni shoo au anamaana nyingine snake??
Ila kwenye mahusiano ukichimba kidogo unagundua uchumi sio kigezo kikubwa... I stand to be correctedLife limekuwa gumu tu wakuu, wahurumieni vijana. Ukiwa jobless au una kazi yenye kipato kidogo, usingependa ku-date mtu wa kukutegemea 100%. Ndio maana mnaona vijana wanaangalia penye unafuu.
Sidhani kijana mwenye kipato chake anaweza kusema hivi, though naona baadhi pia hawataki kubeba mizigo siku hizi.
[emoji41]Maana yake ni shoo au anamaana nyingine snake??
Halafu tujadili mada kwanza.
[emoji846][emoji3061][emoji846][emoji3061][emoji846]
Kutegemeana na aina ya mtu uliyeingia nae katika hayo mahusiano. Kwangu pia naamini hivyo, Ila kuna watu bila uchumi uliokaa vizuri hawezi kuwa na wewe.Ila kwenye mahusiano ukichimba kidogo unagundua uchumi sio kigezo kikubwa... I stand to be corrected
Naelewa saana wapo watu wa hivyo....Ila muda unavyoenda kwenye mahusiano utagundua ugomvi mwingi hata hauletwi na uchumi... mostly ni social issues...Kutegemeana na aina ya mtu uliyeingia nae katika hayo mahusiano. Kwangu pia naamini hivyo, Ila kuna watu bila uchumi uliokaa vizuri hawezi kuwa na wewe.
Aisee uchumi umekuwa tatizo kubwa sana kwenye ndoa za sasa, fuatilia tena mkuu.Naelewa saana wapo watu wa hivyo....Ila muda unavyoenda kwenye mahusiano utagundua ugomvi mwingi hata hauletwi na uchumi... mostly ni social issues...
Lakin ukikutana na mtu ambae anakupenda hakuulizi hilo swali kabisaDunia inaenda kwa kasi saana.
Inatakiwa muwe mnawauliza unataka kuniajiri?
Ndio huwa waulizwa hivyo? Sema mochwari dearCha kwanza unafanya kazi wapi?
IseeeNi tuvivulana tudogo tulitokosa muelekeo hata jf vimejaa kibao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nacheka km chizi hapa, nimekumbuka kitu flan hivi lolLazima uulizwe,ukisema sina kazi wanapita hivi[emoji2442][emoji2442][emoji2442]
Hivyo ni vivulana
ni muhimu sana...Kwenye interview lazima wakuulize haka ka swali
Siku hiz wanaume swali la kwanza kuuliza ni hiloNdio huwa waulizwa hivyo? Sema mochwari dear
Uchumi ni tatizo siku nyingi na hadi leo Ila haujawahi kuwa chanzo kikuu ya migogoro kwenye ndoa au mahusiano. Angalia research nyingi mitandaoni.Aisee uchumi umekuwa tatizo kubwa sana kwenye ndoa za sasa, fuatilia tena mkuu.
Ndo maana yakeSiku hiz wanaume swali la kwanza kuuliza ni hilo
Umenipa jibu huhuu
We huwa unajisikiaje mtu akikuuliza hilo swali,unamtokea mdada cha kwanza anakuuliza hivyo?Ndo maana yake