Kwaresma Sio mpango wa Mungu, ni mihemko tu ya kibinadamu

Kwaresma Sio mpango wa Mungu, ni mihemko tu ya kibinadamu

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
hujui kitu nyamaza

Mathayo 18:18 NENO​


“Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
ni imani ya wakatoliki, we ni msabato? Kama ni msabato huna hoja ya kuhoji kwaresma
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
wewe utakuwa muumini wa bikira 72 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀


Burj Khalifa


#KUMBE MABIKIRA 72 WALIO AHIDIWA WAISLAM, NI MASHETANI YA JEHANNAM
USHAHIDI HUU HAPA:
Imesimuliwa na Abu Umamah aliye msikia Nabii wa Allah akisema:
“Hakuna kati yenu ambaye ataingia Akhera bila ya Allah kumuozesha wake 72. Mabikira wawili kutoka urithi wako, na Sabini kutoka urithi wa Jehannam. Hao wote watakuwa matamanio yako na Allah atakupa uume usio nyong'onyea ”
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Wana tunasindia ugali kama kawaida mkuu achana na hao waroma
 
Yale majivu huwa yanahusika na nini ?!!
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.


Wewe mpagani huwezi kujua chochote.

Kufunga kulikuwepo kabla ya Yesu, wakati wa Yesu, na kuliendelea hata baada ya Yesu.

Labda kwa sababu ya upeo wako mdogo, unataka lazima uone neno kwaresma.

Tena, mitume walifafanua zaidi, unatakiwa kufunga namna gani:

Mathayo 6:16​

“Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni kweli, hao wamekwisha pata tuzo lao.

Mathayo 13
18 Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: ‘Amepagawa na pepo’.
 
wewe utakuwa muumini wa bikira 72 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀


Burj Khalifa


#KUMBE MABIKIRA 72 WALIO AHIDIWA WAISLAM, NI MASHETANI YA JEHANNAM
USHAHIDI HUU HAPA:
Imesimuliwa na Abu Umamah aliye msikia Nabii wa Allah akisema:
“Hakuna kati yenu ambaye ataingia Akhera bila ya Allah kumuozesha wake 72. Mabikira wawili kutoka urithi wako, na Sabini kutoka urithi wa Jehannam. Hao wote watakuwa matamanio yako na Allah atakupa uume usio nyong'onyea ”
Huwaga nasikitika sana nikisia hizi habari za bikra 72😅😅
 
Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.

Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.

Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Dini nzima ni mpango wa watu tu, na huyo Mungu wa kwenye Biblia na Quran hakuna mtu aliyethibitisha kwamba yupo.

Na huu ulimwengu unaoruhusu mabaya una m contradict huyo Mungu na kuonesha kuwa hawezi kuwapo.
 
Ukishangaa ya kwaresima (quadragesima) utashangaa ya septuagesima, sexagesima, na quinquagesima
 
Yale majivu huwa yanahusika na nini ?!!
Nenda katika Parokia yoyote iliyo karibu na wewe,upate ufafanuzi zaidi. Kulielewa kanisa Katoliki siyo jambo la haraka haraka hivyo. Kaa kwa kutulia upewe ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom