Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona huyu msabato masalia sasaKwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Unopened mabishano ya dini... ukweli ni kwamba dini yako haikupeleki kokote... naomba nikuulize swali... kwani kufunga siku are ainishwa ni dhambi?Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Uko sahihi, ila kila dhehebu lina mapokeo yake. Watakwambia Yesu hakushughulika na kwaresma kwa sababu yeye alikuwa syo mkristo ila alikuwa ndiyo Kristo mwenyewe.Kwa hiyo kwaresma ni kwa ajili ya Wa- kristo. So kama haya siyo mapokeo yenu nyamaza tu kwa sababu mwingine akiangalia utaratibu wenu pia ataona mmechemka big time. Uzuri ni kwamba mahusiano na Mungu huwa hayaangalii matendo ya sheria za dini.Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Wewe ndiye mjinga ambaye umedanganywa na ukadanganyikaMjinga mwingine huyu hapa.
Ahaadi ya mabikra 72 inawatoa wavaa kobazi akili. Imani za wengine hamzijuwi alafu mnatowa majibu ya kuvimbiwa viporo vya usiku kucha.wewe utakuwa muumini wa bikira 72 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Burj Khalifa
#KUMBE MABIKIRA 72 WALIO AHIDIWA WAISLAM, NI MASHETANI YA JEHANNAM
USHAHIDI HUU HAPA:
Imesimuliwa na Abu Umamah aliye msikia Nabii wa Allah akisema:
“Hakuna kati yenu ambaye ataingia Akhera bila ya Allah kumuozesha wake 72. Mabikira wawili kutoka urithi wako, na Sabini kutoka urithi wa Jehannam. Hao wote watakuwa matamanio yako na Allah atakupa uume usio nyong'onyea ”
Wewe kobaz,Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
FafanuaKwaresma ni sikukuu ya kipagani ikiambatana na sikukuu ya majivu
Ajaribiwe?Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Kwa hiyo kinakuuma nini? We fuata yako ya wakatoliki waachie wakatoliki.Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
JUMATANO YA MAJIVU NI UPAGANIFafanua
Ukisha sikia tu MADHEHEBU JUA TU VYOTE VINAVYO FANYIKA NI UPUMBAVU TUKwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
HakikaUkisha sikia tu MADHEHEBU JUA TU VYOTE VINAVYO FANYIKA NI UPUMBAVU TU