The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Kushiriki matesoYesu alifunga ili akajaribiwe na shetani, nyie mnafunga ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushiriki matesoYesu alifunga ili akajaribiwe na shetani, nyie mnafunga ili iweje?
Ni mti wenye matunda,mathehebu yote ya kikristo yametoka kwenye ukatoliki.Ndio maana viongozi wa katoliki hawanaga time ya kuwajibu.Kwanini Wakatoliki pekee ndio washambuliwe?
Kubalance ecosystemKwanini Mungu aliumba mbu? Je Wana faida Gani?
QUARESMA is the time from Ash Wednesday to Easter (40 weekdays) observed as a time of fasting in commemoration of Christ's fast in the wilderness. ni man made by Catholic Church, binadamu wame-commercialize kuwa ni tukio muhimu, it is not biblical
Ili watuume tufe?Kubalance ecosystem
Huwezi kuelewa Kila kitu mengine yatakupita na kubaki mjinga. How can you exhaust God's plan in fullness while you are infinity being?Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Ni kwa mambo yote mema na ya uadilifu tu!Kwaiyo unataka kusemaje kwakuwa papa alifungulia ushoga katoliki basi basi hata huko mbinguni ulifunguliwa?
Uwezo wako wa kujua mambo upo chini ya sufuri.Kwaiyo unataka kusemaje kwakuwa papa alifungulia ushoga katoliki basi basi hata huko mbinguni ulifunguliwa?
Dah imagine unampelekea moto shetani 😂wewe utakuwa muumini wa bikira 72 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Burj Khalifa
#KUMBE MABIKIRA 72 WALIO AHIDIWA WAISLAM, NI MASHETANI YA JEHANNAM
USHAHIDI HUU HAPA:
Imesimuliwa na Abu Umamah aliye msikia Nabii wa Allah akisema:
“Hakuna kati yenu ambaye ataingia Akhera bila ya Allah kumuozesha wake 72. Mabikira wawili kutoka urithi wako, na Sabini kutoka urithi wa Jehannam. Hao wote watakuwa matamanio yako na Allah atakupa uume usio nyong'onyea ”
..mijadala si shambulio, huwezi mmezesha mtu mauzauza, kama waumini tunavyomezeshwa kanisani, nina experience ya Catholic na Anglican. you are not allowed to think differently, uendeshaji wa kanisa ni totalitarian/autocracy, if you think differently, unakuwa excommunicatedSasa wewe si ufanye ya imani yako..!!!
Yaani, hapa duniani, ukiona mkristo anashambuliwa na muislamu, basi ujuwe huyo mkristo anayeshambuliwa ni mkatoliki, na ukiona mkristo anashambuliwa na mkristo, basi ujuwe huyo mkristo anayeshambuliwa ni mkatoliki. FANYENI YENU
Wewe utakuwa chini ya negative millionUwezo wako wa kujua mambo upo chini ya sufuri.
yanakukumbusha kwamba pamoja na wewe kua hai unatembea sharti ukumbuke kwamba ni wa udogo na mavumbi na huko mavumbini mwili wako utarudi na haujui siku wala saa hivyo jiimarishe kwenye kutenda memaYale majivu huwa yanahusika na nini ?!!
who was then…....mijadala si shambulio, huwezi mmezesha mtu mauzauza, kama waumini tunavyomezeshwa kanisani, nina experience ya Catholic na Anglican. you are not allowed to think differently, uendeshaji wa kanisa ni totalitarian/autocracy, if you think differently, unakuwa excommunicated![]()
Mpumbavu sana wewe! Yesu akusamehe TU vinginevyo utakufa kibudu wewe mwana wa Ibilisi!Yesu au choko yesu
who was then…..
hauzuiliwa kuhoji
hoji uelweshwe ila kinachopigwa ni kupinga dogma
kuna tofauti ya kuhoji na kupinga
Utitiri wa madhehebu ya kikiristo ni matokeo ya kuhoji politely, majibu yanapokosekana then unakuwa labeled as mpingaji, ndyo autocracy hiyowho was then…..
hauzuiliwa kuhoji
hoji uelweshwe ila kinachopigwa ni kupinga dogma
kuna tofauti ya kuhoji na kupinga
Uzuri wetu, ukitushambulia tunakusikiliza, ikifika dominika tunaenda kanisa, tukitoka tunaenda kula kitimoto na bia halafu tunarudi home. Hata hapa sasa maana ya maneno yako haya, naenda kunywa. Bye ndugu mtakatifu DR VRM..mijadala si shambulio, huwezi mmezesha mtu mauzauza, kama waumini tunavyomezeshwa kanisani, nina experience ya Catholic na Anglican. you are not allowed to think differently, uendeshaji wa kanisa ni totalitarian/autocracy, if you think differently, unakuwa excommunicated![]()
Kama ni choko tusiseme??Mpumbavu sana wewe! Yesu akusamehe TU vinginevyo utakufa kibudu wewe mwana wa Ibilisi!