The current hitting single music for nowKwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Nikafundishwe kufanya hivi, hapanaNenda katika Parokia yoyote iliyo karibu na wewe,upate ufafanuzi zaidi. Kulielewa kanisa Katoliki siyo jambo la haraka haraka hivyo. Kaa kwa kutulia upewe ufafanuzi.
Karibu sana Parokiani kwetu. Uwe na Jumatano njema ya Majivu.Nikafundishwe kufanya hivi, hapanaView attachment 3259726
Mkuu naona hil wazo umelipata baada ya kushba chakula cha mchana.Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
QUARESMA is the time from Ash Wednesday to Easter (40 weekdays) observed as a time of fasting in commemoration of Christ's fast in the wilderness. ni man made by Catholic Church, binadamu wame-commercialize kuwa ni tukio muhimu, it is not biblicalKwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Hatukai kwenye vyungu, wala hatuabudu vyunguMko chungu cha ngapi?
Huu ndio ukweli halisiQUARESMA is the time from Ash Wednesday to Easter (40 weekdays) observed as a time of fasting in commemoration of Christ's fast in the wilderness. ni man made by Catholic Church, binadamu wame-commercialize kuwa ni tukio muhimu, it is not biblical
Sasa wewe si ufanye ya imani yako..!!!Kwaresma haiko kwenye biblia, Yesu hakuwahi kufunga kwaresma.
Yesu alifunga siku arobaini ili akajaribiwe na aanze huduma ya kufundisha na kuponya Kwa miaka mitatu.
Kwaresma ETI wanafunga ili waende kwenye mateso ya Yesu, hii Sio sawa, tusipotoshe neno la Mungu lilivyosema.
Kwanini Mungu aliumba mbu? Je Wana faida Gani?Na huu ulimwengu unaoruhusu mabaya una m contradict huyo Mungu na kuonesha kuwa hawezi kuwapo.
QUARESMA is the time from Ash Wednesday to Easter (40 weekdays) observed as a time of fasting in commemoration of Christ's fast in the wilderness. ni man made by Catholic Church, binadamu wame-commercialize kuwa ni tukio muhimu, it is not biblica
MduduAli katika ubora wakoYesu au choko yesu
Kwanini Wakatoliki pekee ndio washambuliwe?Sasa wewe si ufanye ya imani yako..!!!
Yaani, hapa duniani, ukiona mkristo anashambuliwa na muislamu, basi ujuwe huyo mkristo anayeshambuliwa ni mkatoliki, na ukiona mkristo anashambuliwa na mkristo, basi ujuwe huyo mkristo anayeshambuliwa ni mkatoliki. FANYENI YENU
Mti wenye matunda.......Kwanini Wakatoliki pekee ndio washambuliwe?
Yesu alifunga ili akajaribiwe na shetani, nyie mnafunga ili iweje?Yesu alifunga ikiwa Hakuna umuhimu wa kufunga?
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe chochote? Kwa nini aumne chochite kwenye ulimwengu unaoruhusu mabaya?Kwanini Mungu aliumba mbu? Je Wana faida Gani?