Kwaresma Sio mpango wa Mungu, ni mihemko tu ya kibinadamu

Somo Zuri sana Kwa wasiojua kuwa wanaabudu sanamu
 
Kwa hiyo kinakuuma nini? We fuata yako ya wakatoliki waachie wakatoliki.

Unataka wote muende mbinguni kutatosha? Na unataka moto uishe bila kutumika? Yani waandae moto miaka na miaka toka agano la zamani mpaka sasa halafu ukose wateja?
Kwenye uzi wangu kuna popote nimewataja Wakatoliki?
 
Huyo kobazi atakujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…