Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.
[/URL][/IMG]
Roho ni nini? Kama ipo at all.
no contradiction. First i said there is no answer in virtue of our limitedness in acquiring knowledge. I never meant that there is no answer in your sense. I think it is self evident truth that human beings are finite in different dimension including what we can know. Considering the question that does the soul exist?. such a question is beyond of what we can know. In fact,to say we are limited is not a contradiction.
Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.
[/URL][/IMG]
Uhai ......!!
Huyu ISHAMel ni mpuuzi na mjinga, kila comment yake ana-copy kutoka kwenye hii page:Is Atheism mindless? - Page 8.wakati wengine tunaumiza kichwa ili tumjibu bwana Kiranga kumbe wengine wana copy na kupaste tu, bila hata kutoa source.
Eiyer hata mimi sijui roho ni nini na inakaa wapi, kama unaweza kusaidia, pamoja na JingalaFalsafa, juve2012 na Rakims
Kwa nini niyageuze kwangu kabla hujayajibu wakati mimi nimeanza kukuuliza wewe?
Nikiwambia sijui jibu, hilo litathibitisha kwamba roho ipo?
Kwa hiyo mtu anapomaliza uhai wake, anapokufa, roho nayo inakufa?
Lakini si ku-copy na ku-paste kama unavyofanya na kujingea like kila comment yako. Eiyer, IshmaelTatizo ni nini hapo?
Kimsingi haya tunayojadili hapa yalishajadiliwa zamani sana na hata nyingi ya hoja hapa tumezipata huko huko sasa wewe ambae unaona ni kitu cha ajabu mtu kukopi na kupest hapa nakupa pole sana
Kama wewe ni msomaji wa makala mbali mbali utajua kuwa hakuna kipya kwenye haya na yalishajadiliwa siku nyingi sana na sisi tunafanya marudiao tu!
Aliekuambia uhai unakufa nani?
Mtu kufa maana yake uhai unakuwa haupo kwenye mwili wake,kutokuwepo kuna maana umetoka ....
Au kama unajua uhai unakufa nithibitishie!
Ni kweli, ila kuonyesha source ni muhimu zaidi.
Mkuu, they are frustrated and can not respond to the arguments.
Si lazima kuchangia kila mada hapa jukwaani, ni busara pia kusoma na kujifunza, maelezo yako mengi hapa hayana logic kwasababu tu unachokiandika hukijui na hukielewi kwakuwa una-copy na ku-paste comments za watu wengine kutoka hapa:Is Atheism mindless? - Page 8 na kujifanya ni za kwako na kujiita great thinker. So sio wote hapa ndani wapuuzi na wajinga kama wewe, changia kwa kwa uelewa wako na si KU-COPY na KU-PASTE.
Kwenye mawazo, yanayoendeshwa na ubongo.
A fool is an oafish non theists who is blind just like you and can not support her evolving microillusions of no God and No Spirit.look at this fool??? ivi anajua swali la hii mada kweli au? MOD ni nani jaman watu wenye ugonjwa wa akili kama hawa wanatujazia server hapa!!!
A fool is an oafish non theists who is blind just like you and can not support her evolving microillusions of no God and No Spirit.
People who are informed are not followers like you. Refute my arguments if you or you are just another silly non theistic animal chemical.