Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima

Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima

Hao wanailazimisha ndoa familia zao zitazamwe mara mbili.
Utokee kwenye proper family yenye malezi ya baba na mama na wanakipato from no where ukimbilie mume!! Hell no!
What I know ukiwa na vigezo+ bahati waoaji wapo
Umeweka neno 'bahati'; kufikisha miaka 40 bila mme, huo tayari ni msongo wa mawazo
 
I hate the word ' kubembeleza ndoa' wakati mwingine ni mapenzi tu hupelekea mwanamke kufanya hivyo but sadly lawama zinageukia kwa mwanamke kwamba ame force
Amewahi kuja kukaba nafasi, asije akaachwa
 
Hao wanailazimisha ndoa familia zao zitazamwe mara mbili.
Utokee kwenye proper family yenye malezi ya baba na mama na wanakipato from no where ukimbilie mume!! Hell no!
What I know ukiwa na vigezo+ bahati waoaji wapo

Wanawake wanaolewa kila wiki

Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna

Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.

1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.

2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri

Hapo lazima useme waoaji hakuna
 
Kutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata taratibu za ndoa.

Kuna binti mmoja amemaliza chuo, na kukaa mwaka mmoja nyumbani bila kazi, akaona haya maisha hayaeleweki, akabeba nguo zake akajisogeza kwa baharia (mchumba wake), sasa hivi wanaishi nyumba moja, pika nipakue.

Wengine wako chuo wanasema, kazi nikose, na mume pia nikose? Kwa hiyo wanahitimu chuo, na baada ya hapo wanajisogeza kwa wachumba zao na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume.

Wengine wako mtaani, wakiona wapenzi wao wana muelekeo fulani wa kimaisha, wanahisi wanaweza kuja kutelekezwa; kinachofanyika ni mabinti kubeba vitu vyao na kuamia kwa wapenzi wao bila utaratibu ule wa zamani wa kusubiri ndoa.

Ama kweli si mwanamke wala si mwanaume; nyakati hizi wote ni mabaharia.

Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima.​
Ni kweli aisee kuna binti alikuja kunisalimia aliniambia anakaa wiki anarudi home kwao hii wiki ya nne sasa naona hana mpango kabisa nashindwa kumfukuza ana mbususu tamu kweli
 
Wanawake wanaolewa kila wiki

Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna

Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.

1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.

2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri

Hapo lazima useme waoaji hakuna
Kweli kabisa💯
 
Wanawake wanaolewa kila wiki

Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna

Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.

1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.

2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri

Hapo lazima useme waoaji hakuna
Hahaaa mwingine utakuta ni mwalimu lakini anasema hawezi kuolewa na mwalimu,mwingine anakitambi lakini anasema siwezi kuolewa na mwenye kitámbi
 
Wanawake wanaolewa kila wiki

Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna

Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.

1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.

2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri

Hapo lazima useme waoaji hakuna
Kuna wengine wako huku makazini wako 40yrs; bila bila
 
Ni kweli aisee kuna binti alikuja kunisalimia aliniambia anakaa wiki anarudi home kwao hii wiki ya nne sasa naona hana mpango kabisa nashindwa kumfukuza ana mbususu tamu kweli
😀 😀 😀 ndio mkeo huyo sasa
 
Back
Top Bottom