Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Tatizo hamlipi ada, mnapenda vya burefungua darasa babu uelimishe vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hamlipi ada, mnapenda vya burefungua darasa babu uelimishe vijana
Umeweka neno 'bahati'; kufikisha miaka 40 bila mme, huo tayari ni msongo wa mawazoHao wanailazimisha ndoa familia zao zitazamwe mara mbili.
Utokee kwenye proper family yenye malezi ya baba na mama na wanakipato from no where ukimbilie mume!! Hell no!
What I know ukiwa na vigezo+ bahati waoaji wapo
Amewahi kuja kukaba nafasi, asije akaachwaI hate the word ' kubembeleza ndoa' wakati mwingine ni mapenzi tu hupelekea mwanamke kufanya hivyo but sadly lawama zinageukia kwa mwanamke kwamba ame force
At the end of day marriage isn't for everybody, learn your situation and cherish every moment on earth.Umeweka neno 'bahati'; kufikisha miaka 40 bila mme, huo tayari ni msongo wa mawazo
Not all women are wife material others are friend material😀 😀 😀 kwa nini?
NimekupataNot all women are wife material others are friend material
Hao wanailazimisha ndoa familia zao zitazamwe mara mbili.
Utokee kwenye proper family yenye malezi ya baba na mama na wanakipato from no where ukimbilie mume!! Hell no!
What I know ukiwa na vigezo+ bahati waoaji wapo
Ni kweli aisee kuna binti alikuja kunisalimia aliniambia anakaa wiki anarudi home kwao hii wiki ya nne sasa naona hana mpango kabisa nashindwa kumfukuza ana mbususu tamu kweliKutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata taratibu za ndoa.
Kuna binti mmoja amemaliza chuo, na kukaa mwaka mmoja nyumbani bila kazi, akaona haya maisha hayaeleweki, akabeba nguo zake akajisogeza kwa baharia (mchumba wake), sasa hivi wanaishi nyumba moja, pika nipakue.
Wengine wako chuo wanasema, kazi nikose, na mume pia nikose? Kwa hiyo wanahitimu chuo, na baada ya hapo wanajisogeza kwa wachumba zao na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume.
Wengine wako mtaani, wakiona wapenzi wao wana muelekeo fulani wa kimaisha, wanahisi wanaweza kuja kutelekezwa; kinachofanyika ni mabinti kubeba vitu vyao na kuamia kwa wapenzi wao bila utaratibu ule wa zamani wa kusubiri ndoa.
Ama kweli si mwanamke wala si mwanaume; nyakati hizi wote ni mabaharia.
Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima.
Kweli kabisa💯Wanawake wanaolewa kila wiki
Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna
Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.
1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.
2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri
Hapo lazima useme waoaji hakuna
Pia wanawake below 30 wanachagua sana ila baada ya 30 wanaenda kwa mwamposa na baadae huolewa na wale wale waliowakataa mwanzoSasa hivi wanaume tuna chagua wanawake kama samaki wa soko la Kigamboni. Na bei huitoa wenyewe na tuna wabinya binya kuangalia anaefa au alie haribika[emoji23][emoji23][emoji23].
Pia wanawake below 30 wanachagua sana ila baada ya 30 wanaenda kwa mwamposa na baadae huolewa na wale wale waliowakataa mwanzo
Kweli kbsa mkuuPia wanawake below 30 wanachagua sana ila baada ya 30 wanaenda kwa mwamposa na baadae huolewa na wale wale waliowakataa mwanzo
Hahaaa mwingine utakuta ni mwalimu lakini anasema hawezi kuolewa na mwalimu,mwingine anakitambi lakini anasema siwezi kuolewa na mwenye kitámbiWanawake wanaolewa kila wiki
Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna
Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.
1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.
2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri
Hapo lazima useme waoaji hakuna
Kuna wengine wako huku makazini wako 40yrs; bila bilaWanawake wanaolewa kila wiki
Kumbi za harusi zipo busy kila jumamosi mnasemaje waoaji hakuna
Mwanamke anaelalamika hakuna waoaji ni yule ambae kuna vigezo anavimiss ila anataka wanaume wenye hivyo vigezo.
1.Huwezi kutoka familia isiyoeleweka halafu utake kuolewa na mwanaume anayetoka familia inayoeleweka.
2.Huwezi kuwa jobless halafu utake kuolewa na mtu mwenye kazi nzuri
Hapo lazima useme waoaji hakuna
😀 😀 😀 ndio mkeo huyo sasaNi kweli aisee kuna binti alikuja kunisalimia aliniambia anakaa wiki anarudi home kwao hii wiki ya nne sasa naona hana mpango kabisa nashindwa kumfukuza ana mbususu tamu kweli
Ni muhimu kuchagua but vigezo vingine unakuta ni ngumu kumpata mwanaume mwenye hivyo vigezo ,lazima tuwe wakweli sku iz wanawake ndio wanaweka vigezo vingi kuliko sisi wanaumeKuchagua sio kosa na sio wanawake tu hata wanaume tunachagua sana
Kuna wengine wako huku makazini wako 40yrs; bila bila