Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Ile kuwekwa pale sio urembo 😀mzee unawaza mbussu tu😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kuwekwa pale sio urembo 😀mzee unawaza mbussu tu😅
Ndiyo[emoji16], Nampenda chibabu wangu,mstaafu wangu,mtoto wa mama mkwe[emoji3][emoji3]Unawinda mali ya urithi 😀
To be researchedKutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata taratibu za ndoa.
Kuna binti mmoja amemaliza chuo, na kukaa mwaka mmoja nyumbani bila kazi, akaona haya maisha hayaeleweki, akabeba nguo zake akajisogeza kwa baharia (mchumba wake), sasa hivi wanaishi nyumba moja, pika nipakue.
Wengine wako chuo wanasema, kazi nikose, na mume pia nikose? Kwa hiyo wanahitimu chuo, na baada ya hapo wanajisogeza kwa wachumba zao na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume.
Wengine wako mtaani, wakiona wapenzi wao wana muelekeo fulani wa kimaisha, wanahisi wanaweza kuja kutelekezwa; kinachofanyika ni mabinti kubeba vitu vyao na kuamia kwa wapenzi wao bila utaratibu ule wa zamani wa kusubiri ndoa.
Ama kweli si mwanamke wala si mwanaume; nyakati hizi wote ni mabaharia.
Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima.
Muda huu ulitakiwa uwe unapiga sarakasi 😀 😀 , au hatoi ushirikiano?Ndiyo[emoji16], Nampenda chibabu wangu,mstaafu wangu,mtoto wa mama mkwe[emoji3][emoji3]
Tunasubiri majibuTo be researched
Hapa yupo nyuma ya mgongo nampea ya ubavu ubavu[emoji23][emoji23],Muda huu ulitakiwa uwe unapiga sarakasi 😀 😀 , au hatoi ushirikiano?
Bila picha huo ni uongoHapa yupo nyuma ya mgongo nampea ya ubavu ubavu[emoji23][emoji23],
Picha ya nini?Bila picha huo ni uongo
Akiwa ubavuni
Kashamaliza,labda usubiri ya stail ya kausha damuAkiwa ubavuni
Chai Equation xKutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata taratibu za ndoa.
Kuna binti mmoja amemaliza chuo, na kukaa mwaka mmoja nyumbani bila kazi, akaona haya maisha hayaeleweki, akabeba nguo zake akajisogeza kwa baharia (mchumba wake), sasa hivi wanaishi nyumba moja, pika nipakue.
Wengine wako chuo wanasema, kazi nikose, na mume pia nikose? Kwa hiyo wanahitimu chuo, na baada ya hapo wanajisogeza kwa wachumba zao na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume.
Wengine wako mtaani, wakiona wapenzi wao wana muelekeo fulani wa kimaisha, wanahisi wanaweza kuja kutelekezwa; kinachofanyika ni mabinti kubeba vitu vyao na kuamia kwa wapenzi wao bila utaratibu ule wa zamani wa kusubiri ndoa.
Ama kweli si mwanamke wala si mwanaume; nyakati hizi wote ni mabaharia.
Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima.
Acha ubishi. Njoo pm tuyajenge kabla giza halijazamaHata sio rahisi. Maana mwanaume naye ana vigezo sio kua anaokota okota hovyo.
Giza lizame kwako mara ngapi? Sio ubishi ni fact. Wazazi wanataka wajukuu halafu wewe huna mbele wala nyuma huoni wa kuoa mpaka unaita wake za watu pmAcha ubishi. Njoo pm tuyajenge kabla giza halijazama
Kula na vitumbua
Anzaa kuandaa mahariii[emoji3][emoji3][emoji3]Ni kweli aisee kuna binti alikuja kunisalimia aliniambia anakaa wiki anarudi home kwao hii wiki ya nne sasa naona hana mpango kabisa nashindwa kumfukuza ana mbususu tamu kweli
Naye alijisogeza? muulize ni sababu zipi zilizomfanya akaamua kujisogezaSijaona suala la kisasa hapo. Mama yangu miaka ya 80's aliishi na mzee miaka 5 bila ndoa
Ajipange pia kwa malezi ya zygote 😂Anzaa kuandaa mahariii[emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona wengi sana 🤣🤣 itakua Kuna mahali unakosea aiseeeMnawapataje?! Ninatafuta sana