Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima

Kazi sio kigezo pekee cha ndoa.

Kuna muonekano wake, tabia zake, familia yake anayotoka, asili yake, kuna factor nyingi zinamfanya mwanamke aolewe. Kazi sio kigezo pekee
Ndio wakipata mtu mwenye muelekeo, wanajisogeza kabisa
 
Waoe uone Sasa balaa lao πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Wanawake wanatafuta Sana ndoa ila wakizipata huwa wanazichezea
 
Kuna mwengine anakukoleza kitandani anakuvuruga na midawa ya kwa babu, lazima utamuoa tuu.

Ila kuna wengine mpaka wanahonga wanaume, mimi kula hela ya mwanamke sijui na onaje na sijawahi kula hela ya mwanamke.

Kuna mwanangu yy michepuko yake yote ni mabinti wenye hela na wote kawapata kwa kuingia na gear ya kuwaoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…