Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Ndio wakipata mtu mwenye muelekeo, wanajisogeza kabisaKazi sio kigezo pekee cha ndoa.
Kuna muonekano wake, tabia zake, familia yake anayotoka, asili yake, kuna factor nyingi zinamfanya mwanamke aolewe. Kazi sio kigezo pekee
Ni kweli na hata wanaume kuna umri ukifika nao wanahaha wake hawaonekani, nyumbani vikao vya familia vya 'unaoa lini' haviishiKuchagua sio kosa na sio wanawake tu hata wanaume tunachagua sana
Mwanaume kupata mke ni rahisi, kuliko mwanamke kupata mume.Ni kweli na hata wanaume kuna umri ukifika nao wanahaha wake hawaonekani, nyumbani vikao vya familia vya 'unaoa lini' haviishi
Mje mapema naanza kukusanya masufuria πππTuko tayari kukusindikiza π
Hata sio rahisi. Maana mwanaume naye ana vigezo sio kua anaokota okota hovyo.Mwanaume kupata mke ni rahisi, kuliko mwanamke kupata mume.
Wengine huwa wanahamia kwa staili ya kuacha nguo moja mojaMje mapema naanza kukusanya masufuria πππ
Kwa mazingira ya soko yalivyo, wanasema 'supply > demand'Hata sio rahisi. Maana mwanaume naye ana vigezo sio kua anaokota okota hovyo.
Mm naenda fullππWengine huwa wanahamia kwa staili ya kuacha nguo moja moja
Ni rahis kusemaKwa mazingira ya soko yalivyo, wanasema 'supply > demand'
Unawezakuta mwajuma alishakuwahiMm naenda fullππ
Waoe uone Sasa balaa lao πππKutokana na changamoto za kiuchumi pamoja na uhaba wa wanaume wenye sifa za uoaji kupungua; mabinti wakileo wameanzisha utaratibu wa kujisogeza kwa mwanaume na kuanza naye maisha, bila kufuata taratibu za ndoa.
Kuna binti mmoja amemaliza chuo, na kukaa mwaka mmoja nyumbani bila kazi, akaona haya maisha hayaeleweki, akabeba nguo zake akajisogeza kwa baharia (mchumba wake), sasa hivi wanaishi nyumba moja, pika nipakue.
Wengine wako chuo wanasema, kazi nikose, na mume pia nikose? Kwa hiyo wanahitimu chuo, na baada ya hapo wanajisogeza kwa wachumba zao na kuanza kuishi pamoja kama mke na mume.
Wengine wako mtaani, wakiona wapenzi wao wana muelekeo fulani wa kimaisha, wanahisi wanaweza kuja kutelekezwa; kinachofanyika ni mabinti kubeba vitu vyao na kuamia kwa wapenzi wao bila utaratibu ule wa zamani wa kusubiri ndoa.
Ama kweli si mwanamke wala si mwanaume; nyakati hizi wote ni mabaharia.
Kweli maisha ya sasa, ndoa inatafutwa kwa lazima.
Kuna mtaa nilipita, misambwanda inapishana pishana tuNi rahis kusema
Pia wanawake wa miaka 30 au miaka 30 kasoro, wanalengesha mimba mno ππΏππΏPia wanawake below 30 wanachagua sana ila baada ya 30 wanaenda kwa mwamposa na baadae huolewa na wale wale waliowakataa mwanzo
Ni kweli wengi wao wako hivyoWaoe uone Sasa balaa lao πππ
Wanawake wanatafuta Sana ndoa ila wakizipata huwa wanazichezea
Nimejisogeza kwa mstaafu hapa,nipo nae hapa nampa dawa vidonge vya presha,alale.Wewe umejisogeza kwa nani π π
Hajajisogeza tu kwako?sleep tight palina
Unawinda mali ya urithi πNimejisogeza kwa mstaafu hapa,nipo nae hapa nampa dawa vidonge vya presha,alale.