Kweli Mungu ni muweza wa yote?

Kwanini shetani anamzidi nguvu katika kikiendesha kiumbe chake alichokiambua (mwanadamu)

Shetani hana nguvu za kumzidi Mungu mwenyezi, maana shetani amekwisha hukumiwa jehanamu ya moto. Kama wafikiri ananguvu basi ajitoe katika hiyo hukumu!
 
Mleta mada inaonyesha wewe husomi na hujui cho chote kuhusu Mungu. Basi usiulize ulize mavitu ambayo huna idea nayo.
 

sasa huyu muumbaji yeye alitokea wapi? Hapa ndo huwa nachoka na kwa nini alituumba?
 
Shetani hana nguvu za kumzidi Mungu mwenyezi, maana shetani amekwisha hukumiwa jehanamu ya moto. Kama wafikiri ananguvu basi ajitoe katika hiyo hukumu!

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Kiranga umekariri vitu vingi mnoo, unatiririka pasipo kuifuata hoja ilivyo.
Nimekwambia Software engineer ametengeneza software na kuna baadhi ya maeneo ni kwa ajili ya matumizi yake.amefanya testing nawe kwa matumizi yako wewe baada ya UAT na kukabidhiwa unaanza mbwembwe zako , Mara unajikita umefanya visivyotakiwa na bugs wakaivaa machine yako.
Ni akili pungufu kumshushia engineer lawama kwa curiosity yako
 
Last edited by a moderator:
Mungu hajawahi kuumba mtu ambaye hajakamilika wakati mtu anahitaji kula na anaenda chooni?

Na pia ana waste system iliyo na high inefficiency, unafahamu kukamilika ni nini wewe?

Kulamilika kwa kitu ni pale ambapo kitu husika hakina sababu ya uwepo wake au utendaji wake kutugemea kitu kingine.
Mungu ndiye mkamilifu...
 
Mungu hajawahi kuumba mtu ambaye hajakamilika wakati mtu anahitaji kula na anaenda chooni?

Na pia ana waste system iliyo na high inefficiency, unafahamu kukamilika ni nini wewe?

This too low, labda Kama ni sababu za kukariri mambo !
Waste system iliyo na high inefficiency ? Hebu toa mfano wa efficiency waste system ya kibinadam kuthibitish inefficiency ya waste system ya binadam wa Mungu ?
Dawkins kakubrainwash kabisa upo kuonyesha arrogance ya kiwango cha juu mnoooo
 
I already pointed out the logical inconsistency of your god idea, where do you need extra tutoring?

Yes Umeonyesha kabisa kwamba kwamba.
1.God existence depends on evil and suffering free world
2.World is full of evil and suffering
3.Therefore God does not exist.

Wanakusumbua na maswali magumu badala ya kukuuliza swali jepesi ili uwaambie kimantiki
Umejuaje kuwa uwepo wa Mungu unategemea ulimwengu usio na maovu na mateso ?
Watiririkie kariri zako wakuelewe wewe kuwa ni smart kuliko wasivyodhani...
 

Mungu wako anahitaji UAT?
 
Last edited by a moderator:
Kulamilika kwa kitu ni pale ambapo kitu husika hakina sababu ya uwepo wake au utendaji wake kutugemea kitu kingine.
Mungu ndiye mkamilifu...

Kama mkamilifu kwa nini ulimwengu aliouumba si mkamilifu na una mapungufu kibao?
 

Unataka nimfananishe binadamu na mungu wako halafu hapo hapo unasema mungu wako ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kqeli unatumia akili wewe?

Unafahamu zero entropy ni nini?
 

Kwa sababu mungu mwenyewe kasema yeye ni upendo, na wenye upendo hawaachi wanaowapenda wapate tabu kama wana uwezo wa kuzuia hilo.

Kwa nini mungu anayependa viumbe vyake aachie watoto wadogo waishi katika njaa, maradhi, matetemeko ya ardhi, utumwa etc?

Especially kama alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani bila tabu yoyote ile?

Hujajibu hili swali.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimqengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Swali hilohilo miaka yote hadi unakosea.
 
Swali hilohilo miaka yote hadi unakosea.

Hujalijibu, ukiweza kulijibu unaweza ku graduate kupata maswali mengine.

Huwezi kupewa maswali advanced kama maswali basic huyawezi.

Umeshuka kitoka kujadili hoja mpaka kuplay part ya kuwa secretary wangu sasa.Nimetoa q.
 
Hujalijibu, ukiweza kulijibu unaweza ku graduate kupata maswali mengine.

Huwezi kupewa maswali advanced kama maswali basic huyawezi.

Umeshuka kitoka kujadili hoja mpaka kuplay part ya kuwa secretary wangu sasa.Nimetoa q.

Mjadala wa kule umeukimbia.
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Ndiyo maana akaubwa binadamu mwenye akili na uamuzi wakuchagua kati ya jema na baya. Watambua kwamba hata shetani aliumbwa na Mungu ila aliasi...na hapo patakokea utengano "Nuru na Giza" sasa ukiwa binadamu mwenye akili kwanini ushurutishwe kuchagua?. Wakati tukijua shetani naye anatafuta wafuasi wake,

Mungu yupo fair sana, uhuru unao wewe binafsi kipi kikufaachao na kukufuata na kuamini ila mwisho wa nyakati ndipo utakuja na hitimisho Mungu mwenyezi ni nani hasa na uwezo wake ni wanamna gani.
 

Mungu anajua tutakayochagua kabla hatujachagua au hajui?
 
Mungu wako anahitaji UAT?

Punguza kumariri, nimejibu tuhuma zako zisizo na mantiki kwa mfano wako butu wa software engineer...na nimekuonyesha mawaxo yako yalivyo fyongo. Mungu hahitaji UAT....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…