displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
Kwanini shetani anamzidi nguvu katika kikiendesha kiumbe chake alichokiambua (mwanadamu)
Shetani hana nguvu za kumzidi Mungu mwenyezi, maana shetani amekwisha hukumiwa jehanamu ya moto. Kama wafikiri ananguvu basi ajitoe katika hiyo hukumu!