introvert
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,372
- 2,420
Nilichosema ni kwamba tunaua wanyama na kuwafanya vitoweo(sijasema kwamba wanyama wao wana haki ya kuuliwa kwa sababu ni vitoweo),ndipo nikakuuliza je,ushawahi kufikiri kuokowa maisha ya hao wanyama?
Unajuaje kama I am a vegeterian and an animal rights activist? Hivyo nishawahi kufikiri kuokoa lakini sina uwezo wa kuzuia watu kuwaua.
Mpaka sasa hujajibu swali nililouliza.