Kweli nawaambia, ili nchi hii iendelee inahitaji Rais Shupavu, Smart, Mwenye Uchungu na Nchi na Mapenzi kwa watu wake

Kweli nawaambia, ili nchi hii iendelee inahitaji Rais Shupavu, Smart, Mwenye Uchungu na Nchi na Mapenzi kwa watu wake

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tanzania haiji endelea hata siku moja kwa kuwa na Rais Legelege, mpiga porojo,chuma ulete,mpenda starehe,mdekezaji,mwivi,fisadi,asiyejiamini, anayeendeshwa na watu kadhaa.

Nchi italiwa, itafisaidiwa kodi na mikopo. Wezi watakumbatiwa na kutamba kwenye korido za Ikulu. Maskini wana maskinika, watanyanyaswa na kukamuliwa.

Nchi italala mafisadi wataota pembe na wanasiasa uchwara watafanya ujasiliasiasa. Hawa watakuwa wakipewa kiziba mdomo na kuendelea kuacha Serikali kama hiyo ijikite kuota mizizi. Utaona watakavyopishana ikulu na kutoa matamko ya kuunga mkono juhudi.

Maskini watatumika kupangwa kama ngazi ili wanasiasa njaa wafikie sehemu za juu za utukufu. Maisha yatabaki yale yale. Asiye nacho hata kile kidogo alichodhani anacho atanyang'anywa na kitapelekwa kwa aliye nacho. Huyo ataongezewa.

Masheikh,Mapadre,Wachungaji,Maaskofu,Maulamaa,Maimam hawa watakuwa na posho yao nao watajiunga katika kusifu na kuabudu. Nchi itakuwa gizani. Kila mtu ata Chukua Chake Mapema. Maana atakula kwa urefu wa Kamba yake.

Na akimaliza majani yaliyo kwenye urefu wa kamba yake atahamia maeneo ambayo ni ya wenzie. Atakata na kamba awe huru zaidi katika kula.

Tutagundua HATA BAADA YA KUMALIZA KUNYWA MTORI CHINI KUNA MIFUPA TU.
 
Tanzania haiji endelea hata siku moja kwa kuwa na Rais Legelege, mpiga porojo,chuma ulete,mpenda starehe,mdekezaji,mwivi,fisadi,asiyejiamini, anayeendeshwa na watu kadhaa.

Nchi italiwa, itafisaidiwa kodi na mikopo. Wezi watakumbatiwa na kutamba kwenye korido za Ikulu. Maskini wana maskinika, watanyanyaswa na kukamuliwa.

Nchi italala mafisadi wataota pembe na wanasiasa uchwara watafanya ujasiliasiasa. Hawa watakuwa wakipewa kiziba mdomo na kuendelea kuacha Serikali kama hiyo ijikite kuota mizizi. Utaona watakavyopishana ikulu na kutoa matamko ya kuunga mkono juhudi.

Maskini watatumika kupangwa kama ngazi ili wanasiasa njaa wafikie sehemu za juu za utukufu. Maisha yatabaki yale yale. Asiye nacho hata kile kidogo alichodhani anacho atanyang'anywa na kitapelekwa kwa aliye nacho. Huyo ataongezewa.

Masheikh,Mapadre,Wachungaji,Maaskofu,Maulamaa,Maimam hawa watakuwa na posho yao nao watajiunga katika kusifu na kuabudu. Nchi itakuwa gizani. Kila mtu ata Chukua Chake Mapema. Maana atakula kwa urefu wa Kamba yake.

Na akimaliza majani yaliyo kwenye urefu wa kamba yake atahamia maeneo ambayo ni ya wenzie. Atakata na kamba awe huru zaidi katika kula.

Tutagundua HATA BAADA YA KUMALIZA KUNYWA MTORI CHINI KUNA MIFUPA TU.
Mfano wa hayati Magufuli,over
 
Tanzania haiji endelea hata siku moja kwa kuwa na Rais Legelege, mpiga porojo,chuma ulete,mpenda starehe,mdekezaji,mwivi,fisadi,asiyejiamini, anayeendeshwa na watu kadhaa.

Nchi italiwa, itafisaidiwa kodi na mikopo. Wezi watakumbatiwa na kutamba kwenye korido za Ikulu. Maskini wana maskinika, watanyanyaswa na kukamuliwa.

Nchi italala mafisadi wataota pembe na wanasiasa uchwara watafanya ujasiliasiasa. Hawa watakuwa wakipewa kiziba mdomo na kuendelea kuacha Serikali kama hiyo ijikite kuota mizizi. Utaona watakavyopishana ikulu na kutoa matamko ya kuunga mkono juhudi.

Maskini watatumika kupangwa kama ngazi ili wanasiasa njaa wafikie sehemu za juu za utukufu. Maisha yatabaki yale yale. Asiye nacho hata kile kidogo alichodhani anacho atanyang'anywa na kitapelekwa kwa aliye nacho. Huyo ataongezewa.

Masheikh,Mapadre,Wachungaji,Maaskofu,Maulamaa,Maimam hawa watakuwa na posho yao nao watajiunga katika kusifu na kuabudu. Nchi itakuwa gizani. Kila mtu ata Chukua Chake Mapema. Maana atakula kwa urefu wa Kamba yake.

Na akimaliza majani yaliyo kwenye urefu wa kamba yake atahamia maeneo ambayo ni ya wenzie. Atakata na kamba awe huru zaidi katika kula.

Tutagundua HATA BAADA YA KUMALIZA KUNYWA MTORI CHINI KUNA MIFUPA TU.
Napingana na wewe kwa asimilia kubwa kwangu mimi naona ili inchi iendelee inahitaji MIFUMO imara ya uongozi wa nchi. Rais wetu asiwe yeye ni ndiyo kila kitu, yeye awe dira, yeye awe mteuzi wa kila mmoja - yeye yeye kila kona hapana.

Kwa mfumo huu ukipata Rais ambaye hana uwezo unaiingiza nchi kwenye matatizo makubwa mno; mfano hai ni kwa nchi yetu hakuna check and balance - nchi inaongowa kwa mawazo ya upande mmoja kitu ambacho ni makosa makubwa mno.
 
Kwamba hata baada ya kumaliza mtori chini mtakutana na mifupa si nyama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ili nchi iendelee inahitaji wananchi smart na wachapakazi hodari, ili wamsaidie Rais.
Rais ni mhamadishaji tu, awepo asiwepo nchi na wenye nchi wataendelea kuwepo.
Mabadiliko ya fikra ni muhimu sana kwa wananchi kujua kwamba Rais anawategemea wananchi kuendeleza nchi, kila mmoja (Rais na wananchi) ana wajibu na nafasi yake katika kuendeleza nchi.
Viongozi wawepo au wasiwepo, nchi na wananchi watabaki.
 
Samia hajiwezi kisiasa. Nchi imemshinda hii. Imagine Rais anayetegemea kupenyeza mabango yake kwenye mechi za mpira ili ajulikane/akubalike. What a shame
 
Back
Top Bottom