Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Demokrasia maana yake aliyeko madarakani akivurunda kuwe rais kumwajibisha. Sasa Kama jpm alivyokuwa anafukuza wawekezaji kungekuwa na demokrasia nzuri angewajibishwa mana uchumi ulikuwa unaelekea shimoni akashtuka baadae akaanza kuwabembeleza akina rostam ili wasiondoke.
Demokrasia bila kazi ni ujinga. Hauwezi kulinganisha marekani na Tz.Wao hawahangaiki tena na madawati na vyumba vya madarasa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app