Kweli nawaambia, ili nchi hii iendelee inahitaji Rais Shupavu, Smart, Mwenye Uchungu na Nchi na Mapenzi kwa watu wake

Tunahitaji dikteta mmoja mwenye akili na vision. Sio mtu wa kupenda cheap popularity.
 
HUYO RAIS LABDA ASITOKE CCM
CCM imebaki kasha tu la kubebea kila takataka. Akitokea mmoja wao mwenye nia hasa ya kulichoma moto hilo kasha, mambo yatanyooka vizuri tu!

Tatizo ni hilo moja la kupatikana mTanzania huyo, au kundi dogo la waTanzania wenye nia hiyo.

CCM ya siku hizi ni huyo mtu mmoja aliyeko juu, basi. Na kwa bahati mbaya sana kwa waTanzania, huyo anayekuwepo huko juu ya kasha, ni huyo huyo anayelitumia kasha kujaza uchafu zaidi kwenye kasha lenyewe..
 
Cc @ Machawaaaa wrote uvccm
 
Ili nchi iendelee inahitaji demokrasia tu Mambo mengine yanakuja demokrasia ikiwa strong. Angalia marekani na uraya. Hapa kwetu JPM alitaka kuizika nchi mchana kweupe
pumbv kwel aliekwambia democrasia inaleta maendeleo ni nan?... hebu twambie maana ya democrasia....et marekan na ulaya hujuw hata chchte,,,
 
Ili nchi iendelee inahitaji demokrasia tu Mambo mengine yanakuja demokrasia ikiwa strong. Angalia marekani na uraya. Hapa kwetu JPM alitaka kuizika nchi mchana kweupe
Ulipoandika uraya tu nikakuona kiazi mbatata au kashata-pori!
 
Naunga mkono hoja
Ili nchi iendelee inahitaji demokrasia tu Mambo mengine yanakuja demokrasia ikiwa strong. Angalia marekani na uraya. Hapa kwetu JPM alitaka kuizika nchi mchana kweupe
 
pumbv kwel aliekwambia democrasia inaleta maendeleo ni nan?... hebu twambie maana ya democrasia....et marekan na ulaya hujuw hata chchte,,,
Madikiteta lengo lao ni kujimilikisha nchi kwa kikundi kidogo cha watawala na wanajeshi wao tu.

Maendeleo yanabaki kuwa porojo na propaganda za mitanadoni kama awamu ya tano ilivyokuwa
 
Ili nchi iendelee inahitaji demokrasia tu Mambo mengine yanakuja demokrasia ikiwa strong. Angalia marekani na uraya. Hapa kwetu JPM alitaka kuizika nchi mchana kweupe

Broo we mwongo u.s.a na ulaya magharibi wametajirika karne ya 16 kwa kupora asia na africa sema akitokea wa kuwavusha daraja mnamkata kauli.
 
pumbv kwel aliekwambia democrasia inaleta maendeleo ni nan?... hebu twambie maana ya democrasia....et marekan na ulaya hujuw hata chchte,,,
Wawekezaji wanawekeza sehemu ambayo kuna demokrasia. Ndo Mana wakati wa dictator jpm wawekezaji walikuwa wanakimbia kwa speed ya 5G aliposhtuka akaanza kuwabembeleza akina rostam but too late
 
Nchi ya viongozi wachumia tumbo, hata uwe smart vipi watakuhujumu tu...

Pakichimbika na wachache wakinusa the HAGUE kidogo tutakaa sawa...
 
Ili nchi iendelee inahitaji demokrasia tu Mambo mengine yanakuja demokrasia ikiwa strong. Angalia marekani na uraya. Hapa kwetu JPM alitaka kuizika nchi mchana kweupe
Mbona chadema haijaendelea wakati ni chama cha demokrasia na maendeleo? Kama ni umaskini basi chama kiko kwenye level ya ufukara. Au nao ni jina tu na hakuna demokrasia yoyote huko ndani chamani?
 
Demokrasia si msingi wa maendeleo. Maendeleo yanaletwa na Uthubutu, Nia njema,Ushupavu na maamuzi sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…