Hahahaha mkuu dah!!Pale jogoo anapopasua yai kwa makusudi😂
Sijakuelewa kabisa mkuu niwe mkweli😁Hahahaha mkuu dah!!
SioKwani dereva wa bodaboda si mtu?
Kaa kwa utulivu mkuu, yaani ukishindwa kunielewa niliyemuwazi hivi, si itakuwa shida mzee🤣Sijakuelewa kabisa mkuu niwe mkweli😁
Naku elewaga sana mkuu.Whether u are an engineer,Doctor or a Cleaner,
You have no right to mock someone just because u are earning more money than other person,
We are all trying to put food on our table.
Mkuu huu ndiyo mwisho wako wa kufikiria au umeandikiwa hii comment maana hata mlevi hawezi waza hivi?Kuna aina ya kazi ni risk kwa Muolewaji..
Ajiandae kuwa Mjane
Ajiandae kuuguza Mume mara kwa mara..
Ni ukweli Mchungu.
😁 Ngoja na Mimi nianze kuendeshaKabisaa yaan
Umealiza yote!Uzi ufungwe!Kwani bodaboda siyo mwanaume....ukipewa nafasi ya juu usimdharau wa chini.....usipojiangalia utapewa ya chini kabisa...ukipofu au ukiwete...hii ni dunia mkuu
Kwa hii comment yako,naona kabisa kua huyo Boda boda ni wewe na hapa umekuja tu kutafuta ushauri indirect,Binti mwenyewe anadai anahitaji kuwa na familia na huyo ni mtu sahihi kwake.
Binti ni mrembo kwakweli amekwenda shule.
Urembo hauzuii yeye kuolewa nahuyo boda mkuu maisha ni mipango tu!Binti mwenyewe anadai anahitaji kuwa na familia na huyo ni mtu sahihi kwake.
Binti ni mrembo kwakweli amekwenda shule.