BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
FactUna mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactUna mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
Ukweli mtupuKwani bodaboda siyo mwanaume....ukipewa nafasi ya juu usimdharau wa chini.....usipojiangalia utapewa ya chini kabisa...ukipofu au ukiwete...hii ni dunia mkuu
Afisa usafirishajiWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Kwani bodaboda siyo mwanaume ?Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna aina ya kazi ni risk kwa Muolewaji..
Ajiandae kuwa Mjane
Ajiandae kuuguza Mume mara kwa mara..
Ni ukweli Mchungu.
Cha ajabu nini hapo! Wawili wakipendana waachwe jamani.Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Kikubwa upendo afu bodaboda mwenye pikipiki yake uhakika wa kulaza 50000+ per day ni kugusa tu 50000×30= 1,500,000 sasa huyu si ni zaidi ya mtumishi wa serikalije, angekua mlinzi ingekuaje hapo kama tu bodaboda anapigwa vita. Mwache amdanganye binti yake aolewe na mwenye hela alafu akageuzwe sextoy
Hakika...Mambo yao waachie wenyewe! Wasikuumize kichwa !
Kwa kazi ya bodaboda tu au aliamua kujiongeza?Duh mleta hoja una mtindio wa ubongo,bodaboda ni binadamu kama alivyo mama samia au Mh Majaliwa,by the way hatuwezi wote kuwa maafisa wa serikali,lazima wawepo watu kama hao,kwahiyo unataka bodaboda asioe!?
Kuna jamaa tumeoa mji mmoja,yeye kaoa mkubwa mimi mdogo,japo umri namzidi,jamaa alikuwa ni bodaboda mimi mwalimu,ya Mungu hayajulikani,nikasikia anajenga nyumba ya bati za rangi vyumba vinne,mara kanunua nyumba ya 40M,sijakaa sawa kanunua gari,hadi muda huu mimi sina gari wala maisha anayoishi huyu bwana siwezi kumfikia,ananizidi mara mia na huu ualimu wangu.
Mwaka jana nilienda kumsabahi nikaiona nyumba yake ,ni jumba kubwa la watu wenye pesa ndo wanaweza ishi humo
punguza dharau kwa watu uliowazidi umri kijana!!
Ila twende mbele turudi nyuma binti yako kachumbiwa na watu wawili mmoja bodaboda mwingine TRA officer utamshauri vipi?Huyo mama yake na binti ni opportunist tu,,pumbavu atamharibia binti
Fact 100%Wote ni wanafki tu kujifanya mnamtetea bodaboda, ila kiukweli hakuna mzazi anaependa mwanae aolewe na mtu asiyeeleweka.
Kuna Boda hapa kitaa ana nyumba kubwa na wapangaji, wanacheza michezo,pia mkewe anachukua mikopo yeye ndo mlipaji,anapaki town makazi ununio,Kazi ni kazi Mkuu, cha msingi ni huyo Boda awe na uwezo wa kumuhudumia huyo Binti.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ni yupi anayeeleweka?Wote ni wanafki tu kujifanya mnamtetea bodaboda, ila kiukweli hakuna mzazi anaependa mwanae aolewe na mtu asiyeeleweka.
Tatizo lipo hapo tuKuna aina ya kazi ni risk kwa Muolewaji..
Ajiandae kuwa Mjane
Ajiandae kuuguza Mume mara kwa mara..
Ni ukweli Mchungu.
Kaka nakusalimiaaaWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
Anapaki wapi huyo boda wa kulaza 50,000 per day?Kikubwa upendo afu bodaboda mwenye pikipiki yake uhakika wa kulaza 50000+ per day ni kugusa tu 50000×30= 1,500,000 sasa huyu si ni zaidi ya mtumishi wa serikali