Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Naona wewe ndiyo umetafsiri kwa kuweka ugumu maisha hayana formula halikuwa swala lakukuumiza kichwa mpaka ulilete huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo boda kakuambia atafanya hyo kaz miaka 10? kuna mwamba ni graduate contract yake ikaisha alikuwa na boda kadhaa kawapa vijana, akaongeza nyingine akawa anaendesha mwenyewe huku anasikilizia ajira nyingine, alipopata akamkabidh kijana hyo boda, alikuwa anasema bora akusanye hata buku tano kwa siku kuliko kukaa tu home bure.unajua matokeo ya kazi ya boda boda baada ya miaka 10?
Waambie ukweli sie boda boda tunafaidi sana mbususu za wake wa watuWatu tunaanziaga life mbali sana, usimdharau mtu.
Boda ndio wanaongoza kuwato..mbea wake zenu ujue
shida ya hvyo bwege ni kujiona kayapatia maisha kwenye kibodi, lait tungefunuliwa maisha ya kila mtu hapa,au je angekua mm saidia fund mbeba tofar
Sahihi ✔️Una mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
🤣🤣Hebu nipe namba ya huyo binti nimuoe
weka picha zao.Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
He!!!!Waambie ukweli sie boda boda tunafaidi sana mbususu za wake wa watu
Ndo ukweli wenyewee.Kuna Bodaboda Wana hela kuliko maafisa Utumishi wa halmashauri wale wa tgs d,e nk
Kuondoka duniani wote tutaondoka iwe eaely or late botton line everyone will eventually go six feet underHe!!!!
Mtaondoka mapema nyie..
Umetisha mkuu,...Una mawazo ya kizee sana.
Bodaboda ni kazi ya mpito tu.
Kesho huyo boda ni mtu mwingine kabisa
Au ageuzwe single mama ambayee bibi ndio ataachiwa mjukuu amlee Binti akatafutee [emoji23][emoji23][emoji23]je, angekua mlinzi ingekuaje hapo kama tu bodaboda anapigwa vita. Mwache amdanganye binti yake aolewe na mwenye hela alafu akageuzwe sextoy
naamini kabisa hii ni fake newsNasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Kwamba boda boda hawaeleweki?Wote ni wanafki tu kujifanya mnamtetea bodaboda, ila kiukweli hakuna mzazi anaependa mwanae aolewe na mtu asiyeeleweka.
Duh kumbe bado hatujafikiwa🤙Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.
Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.
Binti: lakini mama huyu ni muelewa.
Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.
Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??
Binti ni pisi kali mno.
Naamini boda boda anajituma mno.
Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.