Kweli ndoa ngumu, binti anataka kuolewa na boda boda

Kweli ndoa ngumu, binti anataka kuolewa na boda boda

Kazi ya kuendesha boda boda ni kazi km zilivyo kazi nyingine, mi sioni tatizo kikubwa ni kuishi kwa amani na upendo.
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.

Kipindi naanza mahusiano na mwanamke ambaye kwa sasa ni mke wangu, alinikuta namalizia chuo baadae nikawa saidia fundi kwenye site za ujenzi.

Maisha ni siri wakuu Mungu ana nguvu sana, tuheshimu watu wote bila kujali wanacho au hawana
 
Kwani kabaka? Kama wameridhiana shida yako nini? Wanaume wengine wapo na mambo yao,wewe unasikilizia maongezi ya wa wanawake! Af unayaleta JF. Hii tabia ya wanawake uswahilini,ila uzuri yanaishia huko huko hayaletwi mtandaoni.

Huyo pisi kali wakati anachagua boda boda si ulikuwepo?
 
Yote matokeo mungu ndio mtoaji, Kuna mzazi anayependa mwanae aolewe na boda boda au saidia fund, au deiwaka yoyote yule, lazima mzazi kwanza akuoji japo baadaye utaeleweka tu, na yakikushinda Maisha utaambiwa si tulikuambia.
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Bodaboda mmoja alinichana kua ata akiamka saa sita mchana akakomaa adi saa mbili usiku hakosi 50K per day. Per month hio ni 1.5M na hapo ameamka mchana, na hapo bado hatuja jumlisha dili za hapa na pale. Tu assume anaingiza 2M per month, huo ni zaidi ya mshahara ya watu wengi sana walioajiriwa. Usione bodaboda wanapendwa sana na wanawake unabaki kujiuliza kwanini na kukuna kichwa!
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Kuna aina ya kazi ni risk kwa Muolewaji..

Ajiandae kuwa Mjane
Ajiandae kuuguza Mume mara kwa mara..

Ni ukweli Mchungu.
Acha ukuda mkuu

Nenda viwandani ukajionee hakuna Kazi isiyo na changamoto ,kitu muhimu ni kufanya kazi kwa adabu ni jambo muhimu zaidi
 
Duh mleta hoja una mtindio wa ubongo,bodaboda ni binadamu kama alivyo mama samia au Mh Majaliwa,by the way hatuwezi wote kuwa maafisa wa serikali,lazima wawepo watu kama hao,kwahiyo unataka bodaboda asioe!?
Kuna jamaa tumeoa mji mmoja,yeye kaoa mkubwa mimi mdogo,japo umri namzidi,jamaa alikuwa ni bodaboda mimi mwalimu,ya Mungu hayajulikani,nikasikia anajenga nyumba ya bati za rangi vyumba vinne,mara kanunua nyumba ya 40M,sijakaa sawa kanunua gari,hadi muda huu mimi sina gari wala maisha anayoishi huyu bwana siwezi kumfikia,ananizidi mara mia na huu ualimu wangu.

Mwaka jana nilienda kumsabahi nikaiona nyumba yake ,ni jumba kubwa la watu wenye pesa ndo wanaweza ishi humo
punguza dharau kwa watu unaodhani unawazidi kiapato kijana!!
Aiseee boda ukifanya Kwa malengo inalipa maana Kuna vijiwe mtu kuingiza 30K Kwa Siku kawaida
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Dume suruali!, Dume Shostito!.., dume mbea mbea!

Kutwa kufatilia mambo ya umbea umbea wa kinamama!

Karibu utavishwa dera!
 
Bodaboda mmoja alinichana kua ata akiamka saa sita mchana akakomaa adi saa mbili usiku hakosi 50K per day. Per month hio ni 1.5M na hapo ameamka mchana, na hapo bado hatuja jumlisha dili za hapa na pale. Tu assume anaingiza 2M per month, huo ni zaidi ya mshahara ya watu wengi sana walioajiriwa. Usione bodaboda wanapendwa sana na wanawake unabaki kujiuliza kwanini na kukuna kichwa!
Kwanza si kweli. Lakini ni kazi kama nyingine,akitulia,anafanya mbambo yake na anapatia
 
Back
Top Bottom