Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ni kweli, na kujifunza kupo pande zote, toka MTOA MSAADA au MPOKEA MSAADA..Uzi huu ni kwa faida ya wengi kujifunza kitu. Sio kwa ajili ya kushindana naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, na kujifunza kupo pande zote, toka MTOA MSAADA au MPOKEA MSAADA..Uzi huu ni kwa faida ya wengi kujifunza kitu. Sio kwa ajili ya kushindana naye.
Uko sahihi kabisa mkuu.Ni kweli, na kujifunza kupo pande zote, toka MTOA MSAADA au MPOKEA MSAADA..
Yupo humu JF na hii mada yako ameshaisoma.Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.
Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.
Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.
Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.
Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.
Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.
Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Sema kuna wengine huwa hawanaga uwezo wa kusaidia, lakini kwa vile kuna aliyesaidiwa lakini hakurudisha fadhira, NAO HUSIMAMA HUMO, KWAMBA HAWASAIDIILengo la uzi ni kushirikisha uzoefu ili pengine dada zetu wasifanye hivi maana sio ustaarabu. Kusaidia jamii hakuwezi kuachwa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja.
Tuko mmoja nilimsadia ugonjwa wake akaponA ilihali alikuwa na hali ambaye sananHuyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.
Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.
Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.
Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.
Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.
Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.
Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Sirudiii Mkuu...watu wanaleta lawama za KISENGEEE KILA SIKU TUNAKUMBUSHANA...KUA DEMU HASOMESHWI.... wanaona UTANIRudia kusoma boss maana mida hii ni usiku sana.[emoji1]