Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.

Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.

Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.

Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.

Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.

Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.

Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Yupo humu JF na hii mada yako ameshaisoma.

Pole sana kijana.
 
Lengo la uzi ni kushirikisha uzoefu ili pengine dada zetu wasifanye hivi maana sio ustaarabu. Kusaidia jamii hakuwezi kuachwa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja.
Sema kuna wengine huwa hawanaga uwezo wa kusaidia, lakini kwa vile kuna aliyesaidiwa lakini hakurudisha fadhira, NAO HUSIMAMA HUMO, KWAMBA HAWASAIDII
 
Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.

Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.

Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.

Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.

Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.

Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.

Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Tuko mmoja nilimsadia ugonjwa wake akaponA ilihali alikuwa na hali ambaye sanan

Alikuja kupona hakuwai kurudi hata siku moja kusema ahsante

Yupo yupo tuu kama puyanga huko sijuagi hata tuko wapi
 
Back
Top Bottom