Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Unajua ni kwasababu gani hakukuambia kwa wakati huo unaouongelea wewe? Au umeamua tu kumhukumu kwasababu unamdai?
Wala simdai chochote na hata ikitokea siku akaomba msaada kwangu bado nitamsaidia. Sijamhukumu kwa lolote.
 
Hakunaga msaada wa watu wa jinsia mbili tofauti ambao hakuna udugu baina yao .

Mwanaume ukianza kumsaidia mwanamke huwa kinafuata kutegwa muwe mahawara.

Wapo wanaume walianza kwa kujifanya kuwasaidia wanawake mwisho wakaangukia kwenye ngono hadi kupelekea ndoa zao kuvunjika na kubaki historia.

Na hiyo huwatokea hata wanaume ambao ni watumishi wa Mungu , wengi wamejikuta wakianguka kwenye uzinzi na uasherati baada ya kuanza kuwasaidia wanawake wenye shida ikiwemo wajane.

Mwanamke skisaidiwa na Mwanaume ambaye si ndugu yake wa damu huyo Mwanaume anayetoa msaada ajiandae kufanya ngono na huyo mwanamke husika ,

Wanawake wanaosaidiwa na wanaume hutoa miili yao kama shukrani kwa wale wanaume walowasaidia,

Na wanawake hujitoa miili yao kingono kwa wanaume wakijua watawashika zaidi hao wanaume na wengine kuwategeshea mimba.

Wanaume msiwachukulie Poa wanawake hata kama akjifanya mkimya kama kondoo lakini moyoni huwa wamejaa hila na uovu mkubwa wa kuangamiza ndoa yako!
Umeandika ukweli mtupu mkuu. Ni changamoto sana kuwasaidia maana ule msaada unagusa moyo wake na unamfanya aufungue mwili wake. Nadhani hiki kitu ni cha kiasili zaidi na sio kwamba ni uovu.

Huwa inashauriwa sana hata mwanaume aliyeoa anatakiwa awe anampatia mke wake kiasi fulani cha pesa kwa mwezi. Hii itasaidia sana kwa mwanamke kujitoa katika tendo la ndoa na kupunguza kunyimana.
 
Ila siku hizi Kuna wanaume wanapenda kuombaomba Ela, kuzoeana tu nongwa, na Wala hajawai kukusaidia chochote.
 
Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.

Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.

Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.

Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.

Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.

Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.

Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Kwani kukukopesha lazima? Acha ushamba
 
Umeandika ukweli mtupu mkuu. Ni changamoto sana kuwasaidia maana ule msaada unagusa moyo wake na unamfanya aufungue mwili wake. Nadhani hiki kitu ni cha kiasili zaidi na sio kwamba ni uovu.

Huwa inashauriwa sana hata mwanaume aliyeoa anatakiwa awe anampatia mke wake kiasi fulani cha pesa kwa mwezi. Hii itasaidia sana kwa mwanamke kujitoa katika tendo la ndoa na kupunguza kunyimana.
Sasa kama hivyo sii bora nikatombeee malaya.
 
Sasa kama hivyo sii bora nikatombeee malaya.
Ukioa halafu ukapata fursa ya kukaa na watu wazima walioishi vizuri na wake zao watakupa hii siri. Lazima ulipie hata kama ni mke. Ukipuuza hili kila siku atakupa sababu kwanini hajisikii kufanya.

Kwenda kwa malaya ni kwa watu wasiostaarabika na wanaoepuka kutumia hekima na ufahamu maishani.
 
Huyu dada alipitia changamoto baada ya kupoteza wazazi na nikaamua kumsaidia. Tukawa na mahusiano kama mwaka mmoja hivi.

Baadae nikamwambia naona tulikutana ili nikusaidie lakini moyo wangu hauko na furaha kuendelea na uhusiano. Aliumia sana japo niliendelea kumsaidia kwa kulipa ada zake chuo.

Miaka zaidi ya saba imepita na tumekuwa tukiwasiliana kawaida kama kaka na dada. Alipomaliza chuo alipata kazi kampuni kubwa sana hapa dar na alinitumia meseji nyingi sana kushukuru.

Wiki kadhaa zilizopita nilipata changamoto kwenye biashara zangu na kuna malipo fulani yalichelewa sana kuingia na nikawa natakiwa kulipia baadhi ya huduma kwa haraka.

Kwasababu huwa tunawasiliana nikamtumia ujumbe whatsap kuomba anisaidie 400k (ninafahamu mshahara wake upo kwenye 2.5m). Alisoma ujumbe halafu hakujibu kwa wiki mbili.

Sasa amenijibu kuwa anayo majukumu mengine, nitafute alternative ingawa najua bado hajaolewa.

Nimeanza kuelewa kwanini moyo wangu ulikataa kumuoa.
Usikute na yeye alifanya hivyo ili kufidia maumivu ya penzi ulilomkatisha
 
Ukioa halafu ukapata fursa ya kukaa na watu wazima walioishi vizuri na wake zao watakupa hii siri. Lazima ulipie hata kama ni mke. Ukipuuza hili kila siku atakupa sababu kwanini hajisikii kufanya.

Kwenda kwa malaya ni kwa watu wasiostaarabika na wanaoepuka kutumia hekima na ufahamu maishani.
Haonwake wenyewe hawajastaarabika kama mbususu mpaka ulipwe mshahara
 
Wanaosaidia hawaumii wakikataliwa.. Wanaoumia huwa wanasadia kwa kutegemea kurudishiwa.. WANASAHAU TENDA WEMA NENDA ZAKO
Lengo la uzi ni kushirikisha uzoefu ili pengine dada zetu wasifanye hivi maana sio ustaarabu. Kusaidia jamii hakuwezi kuachwa kwasababu ya makosa ya mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom