Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Sawa.Wasaidiane nini..! Mtu akisoma ujumbe wangu asipojibu, baada ya siku 1 nafuta namba kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Wasaidiane nini..! Mtu akisoma ujumbe wangu asipojibu, baada ya siku 1 nafuta namba kabisa.
Akina nani?Wanavyoondokaga kwa mbwembwe sasa!! Yakiwakuta huko wanavohaha Mweh!!
Huu ni mrejesho kutokana na experience yangu. Tunaishi nanyi na tunawapenda ila mnaweka emotions hadi mahali pa kutumia hekima na akili.Watu wameumizwa humu jamani, wanavyoponda wanawake humu utadhani huko duniani hawaishi nao..!!
Yaani huo ndio utu.Kwakweli hajafanya vizuri hata kama alikuwa hana pesa kwa mda huo angekopa tu
Akina nani?
Sawasawa. Mimi nilikuwa honest kwamba moyo wangu umefika tamati na niliendelea kumsaidia mpaka akamaliza chuo.Yeyote katika mahusiano ambae anaacha kwa mbwembwe!!Awe ke awe me
Umeona malalamiko sehemu yoyote? Huu ni mrejesho.Sasa mkuu unalalamika Nini?
Kama umesoma vizuri wala sikuwahi kutaka fadhila kwa miaka mingi. Hii ilikuwa dharulaKuna watu wanahitaji huruma zaidi kuliko tunavyofikiria. Ukimsaidia mtu haina maana ni lazima nawe akutendee kama ulivyomtendea. Watu wanapitia magumu/ Tusihukumu ili nasi tusije tukahukumiwa.
Nakubaliana nawewe mwanamke bila kumtekenya, hata umpe roli ya noti, atakuacha pekeako wkt wa dhikiJapo ulimsaidia, Amekukomoa kwa sababu ulimjeruhi moyo
Nimekuelewa mkuu. Ila, huwezi jua!Kama umesoma vizuri wala sikuwahi kutaka fadhila kwa miaka mingi. Hii ilikuwa dharula
Tenda wema nenda zako
Sawasawa boss.Nimekuelewa mkuu. Ila, huwezi jua!
Mzee Championship... ukarimu wako usizuiwe na watu wabaya.Sawasawa boss.
Hauwezi kuzuiwa boss. Tutaendelea kushiriki kusaidia watu kwa kadri ya uwezo tunaopewa na Mungu.Mzee Championship... ukarimu wako usizuiwe na watu wabaya.
Nimesaidia watu wengi sana, kuanzia ngazi ya familia,ma- ex, wadada wa chuo na hata mitandao ya kijamii nisiowajua. Msaada kwangu ni kama sala/hazina mbinguni.
Baraka zako zipo hapo.Hauwezi kuzuiwa boss. Tutaendelea kushiriki kusaidia watu kwa kadri ya uwezo tunaopewa na Mungu.
Mhisani ulipwa, Basi yeye hatalipwa na mungu.Yaani unasaidia alafu unataka malipo...[emoji53]
Hivi wanaume wa huko Daslam mpoje...[emoji41]