Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

Kosa la mdada ni kutokujibu ujumbe wako ila kukusaidia au la ni uamuzi wake. Huwezi jua hela zake anazifanyia nini japo umeshampangia kuwa hana majukumu.
 
Kinachouma ni kusoma meseji alafu akakaa kimya.
angemjibu tu pale pale
Ulihiari mwenyewe kumsaidia. Sio lazima saana alipe ulichmfanyia. Ndio maana waswahili wakaja na Msemo Tenda wema nenda zako usingoje shukrani. Hata hivyo, kuwa earning ya 2.5 M ni kitu kimoja na kuwa cash always in hand ni kitu kingine. Ninapendekeza muendelee na urafiki n kusaidiana.
 
Kosa la mdada ni kutokujibu ujumbe wako ila kukusaidia au la ni uamuzi wake. Huwezi jua hela zake anazifanyia nini japo umeshampangia kuwa hana majukumu.
Yeah, angalau angejibu mapema. Hamna aliyempangia matumizi.
 
Ungekuwa ulimsaidia bila kuwanae kima penzi tu lazima angekusaidia nawewe ukitaka Kula pesa ya mwanamke husiwe mpenzi wake ila muwe marafiki kama ndugu wa damu hapo ukimuomba msaada anakupa lakini kama mlikuwa wapenzi husitegemee kupata pesa zake, fikra zao wakikupa pesa unaenda kuhonga tu kwa wanawake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, hapa basi wanawake ni wa tofauti sana.
 
Kuomba kwa sms kiasi hicho hata we mwenyewe hukua na uhakika plus aibu kumface na kumwambia shida yako,japo hata kwa kumpigia.
Sms za watsap hata zikipigwa tiki mbili za blue,haigarantii kaiona..
Cha msingi usimhukumu kwa kuwa hata upande wako kuna mambo ya msingi hukufanya.
Pole mkuu,Tenda wema nenda zako

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Pengine kwa watu wengine ni kiasi kikubwa ila kwangu sioni kama ni kikubwa. Huyu ni mtu tunawasiliana mara nyingi kwahiyo ujumbe ni hakika aliuona. Aliamua tu kupotezea.

Mambo gani ya msingi sikufanya?
 
Hamkomagi kusomesha mwanamke ni shimo lataka akilizao zinawawezesha kuvuka mistari mweupe ya barabarani tu
 
Kamwe usimuonee huruma Mwanamke labda Mama yako

Naunga mkono hoja,
 
Ukitaka kumsaidia mtu msaidie tu usihtaji malipo baadae. Binadamu ndio walivyo. Me kuna demu nilimtafutia kazi na tupo poa tu na sikutaka kuomba mchezo nilimsaidia kama wanadamu wengine. That is all
 
Back
Top Bottom