BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Kosa la mdada ni kutokujibu ujumbe wako ila kukusaidia au la ni uamuzi wake. Huwezi jua hela zake anazifanyia nini japo umeshampangia kuwa hana majukumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimeku pm
Ulihiari mwenyewe kumsaidia. Sio lazima saana alipe ulichmfanyia. Ndio maana waswahili wakaja na Msemo Tenda wema nenda zako usingoje shukrani. Hata hivyo, kuwa earning ya 2.5 M ni kitu kimoja na kuwa cash always in hand ni kitu kingine. Ninapendekeza muendelee na urafiki n kusaidiana.
Wasaidiane nini..! Mtu akisoma ujumbe wangu asipojibu, baada ya siku 1 nafuta namba kabisa.Ninapendekeza muendelee na urafiki n kusaidiana.
Yeah, angalau angejibu mapema. Hamna aliyempangia matumizi.Kosa la mdada ni kutokujibu ujumbe wako ila kukusaidia au la ni uamuzi wake. Huwezi jua hela zake anazifanyia nini japo umeshampangia kuwa hana majukumu.
Hapana mkuu, nimeshangaa tu alivyoamua kunichunia.Naona unautolea macho mshahara wake [emoji3][emoji3]
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Umetisha mkuu..😄Wasaidiane nini..! Mtu akisoma ujumbe wangu asipojibu, baada ya siku 1 nafuta namba kabisa.
Duh, hapa basi wanawake ni wa tofauti sana.Ungekuwa ulimsaidia bila kuwanae kima penzi tu lazima angekusaidia nawewe ukitaka Kula pesa ya mwanamke husiwe mpenzi wake ila muwe marafiki kama ndugu wa damu hapo ukimuomba msaada anakupa lakini kama mlikuwa wapenzi husitegemee kupata pesa zake, fikra zao wakikupa pesa unaenda kuhonga tu kwa wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio way forward.
Pengine kwa watu wengine ni kiasi kikubwa ila kwangu sioni kama ni kikubwa. Huyu ni mtu tunawasiliana mara nyingi kwahiyo ujumbe ni hakika aliuona. Aliamua tu kupotezea.Kuomba kwa sms kiasi hicho hata we mwenyewe hukua na uhakika plus aibu kumface na kumwambia shida yako,japo hata kwa kumpigia.
Sms za watsap hata zikipigwa tiki mbili za blue,haigarantii kaiona..
Cha msingi usimhukumu kwa kuwa hata upande wako kuna mambo ya msingi hukufanya.
Pole mkuu,Tenda wema nenda zako
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja,Kamwe usimuonee huruma Mwanamke labda Mama yako
Usimuonee huruma Mwanamke
Kwa mkono wa Robert Heriel. Wangestahili huruma lakini si sasa. Wangestahili kupendwa lakini si Zama hizi. Wangestahili kujaliwa na kuheshimiwa lakini hiyo ingefaa zama zile sio zama hizi. Hata zamani walipokuwa wanasifa za wanawake hawakuonewa huruma sembuse sasa ambapo wamepoteza sifa ya...www.jamiiforums.com
Sio lazima.Kinachouma ni kusoma meseji alafu akakaa kimya.
angemjibu tu pale pale