Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mkuu mbona unauliza ndevu kwa Osama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unauliza ndevu kwa Osama?
Hapo kuna 10%Kama ni kweli, manunuzi haya yachunguzwe.
Sioni logic ya kuendelea kununua haya mavitu yanayotutia hasara unless kuna watu wanafaidika hapa.
Wewe sukununu kwani cdm mbona unaiot kila kukicha?Tatizo liko wapi CHADEMA?
Hizo hizo naona wenye maguvu hilo hawalipi kipau mbele..737 Max si ndio zilizokuwa zinaanguka mpaka ikapelekea zikafungiwa?
Inawezekana ni moja ya masharti ya kuwa nchi ya uchumi wa chini wa kati...tatizo shirika la ndege ni biashara kichaa?
..atcl ina mzigo mkubwa sana wa madeni.
..pia atcl imekuwa ikiingiza hasara mwaka hadi mwaka.
..kwanini hayo matrillion yasielekezwe kwenye sekta zinazogusa Watz wengi mfano kilimo, mifugo, badala yake tunaenda kununua midege toka kwa MABEBERU?
Hao haoMax!!!!! Max chinja chinja?
Huo ni ushauri mzuri kwa Watu wasikivu ila sio hawa waliolewa madarakakwanini hayo matrillion yasielekezwe kwenye sekta zinazogusa Watz wengi mfano kilimo, mifugo,
Nimeshawaza hivi mara nyingi sana.Wananunua hayo madege ili mabeberu wasiwe wakali kwenye issue za demokrasia na utawala bora.
Boeing ni kampuni ya wamarekani.
Zimesharudi tena kazini mzee..737 Max si ndio zilizokuwa zinaanguka mpaka ikapelekea zikafungiwa?
Ndiyo hivyo mkuu. “Corporates” ndiyo wenye kuongoza marekani. Maslahi yao ni maslahi ya Taifa la marekani.Nimeshawaza hivi mara nyingi sana.
Daah inafikirisha sanaYaani serikali yetu inatumia zaidi ya Trilion 1.7 (pesa taslimu) kutoka kwenye kodi za watanzania ili kununua ndege, halafu inakwenda kuomba mkopo wenye wa riba wa 1.4Trilioni kutoka IMF ili kwenda kujenga shule na hospitali.
Kuna namna viongozi ni mataahira na wamewafanya wananchi kuwa watumwa.
Mkupata mkopo wa 1.3 tr shangwe nchi mzima. Lo!Kwani kunatatizo
Na huu ndiyo maana halisi ya ubepari,yaaani wenye mitaji wanaiongoza serikaliNdiyo hivyo mkuu. “Corporates” ndiyo wenye kuongoza marekani. Maslahi yao ni maslahi ya Taifa la marekani.
Hii hela ingejenga interchange la maana Sana pale jangwani. Hii nchi inaviongozi wa ajabu sana.
Muda mwingine huwa mnashauri kwa kutumia akili za makaratasi/kamasi kabisa...tatizo shirika la ndege ni biashara kichaa?
..atcl ina mzigo mkubwa sana wa madeni...