pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Wastaafu hawapati stahiki zao kutokana na 'watu hawa' kuhujumu fedha zao kununulia mindege isio na faida kwao.
Wanafunzi wanakosa madarasa na madawati kwa matumizi ya hovyo kabisa kama haya!
Cha kusikitisha tunapewa mkopo na WB shs 1.3 trilioni, tunafurahia na kushangilia bila aibu 😵
Wanafunzi wanakosa madarasa na madawati kwa matumizi ya hovyo kabisa kama haya!
Cha kusikitisha tunapewa mkopo na WB shs 1.3 trilioni, tunafurahia na kushangilia bila aibu 😵