Kweli Tanzania kutumia shilingi trilioni 1.7 kununua ndege?

Kweli Tanzania kutumia shilingi trilioni 1.7 kununua ndege?

Hizo ndio zitakuwa ndege za kuendeshwa kwa faida kuliko aina nyinginezo. Nchi nyingi duniani zilisharuhusu hii aina na jana hapo China imeruhusu. Lile tatizo lilikuwa kwenye mfumo wa kompyuta na Boeing wamerekebisha, orders zake zishakuwa nyingi.

..kwa hiyo atcl wakianza kutumia 737 max wataanza kujiendesha kwa faida?
 
..je, serikali ya Tz ina uhakika kwamba 737 max tutakazoletewa ni salama?
Nafikiri nimekujib hapo. Mostly itahusika team ya wataalam wanaotangulia kucheki ndege kwanza kabla haijaletwa nchini. Probably ukawaulize wahusika
 
MAX wamesharekebisha ndege zao?? Si ndo hizi ndege walisema software mbovu rubani akibofya POWER ON yenyewe inaenda SLEEPING MODE?
 
Ilionekana kwa Tanzania tunahitaji ndege ya kubeba mizigo ya maparachichi na matunda kwenda ulaya yakiwa fresh.
 
Taarifa za kuruhusiwa hizo ndege zilipokelewa kwa tahadhari kubwa na kama zipo chache zilizoanza kuruka zitakuwa kwenye mashirika ya ndege ya Marekani. Kwa mashirika nje ya Marekani bado wateja wanazitilia shaka.... Sasa sisi ndio tununue mbuzi kwenye gunia?

Ushauri wangu, kama ikiwezekana wanunue hiyo B787 na B767 freighter. Hizo Max zisubiri.. mbona tuna Airbus nne?.
Tangu zimeruhusiwa hakuna aviation expo au air show ya maana imefanyika duniani. Ukiona ndege yoyote imeuzika sana kwenye Dubai Airshow ujue iko sawa na inakubalika. Kwanza tukumbuke kuwa hizi 373 Max zilikuwa grounded kwa sababu ya gritches kwenye software wala sio hardware. Kubadili software sio kazi ngumu wala haiwashtui mamlaka wala wanahisa.

China hapo jana imeziruhusu, leo kuna Mhindi kazinunua 72 kwa pamoja. Ingawa ilitabiriwa kabisa kuwa Airbus ataizidi Boeing kwa mwaka huu hasa Neo zinanunuliwa sana
 
Taarifa za kuruhusiwa hizo ndege zilipokelewa kwa tahadhari kubwa na kama zipo chache zilizoanza kuruka zitakuwa kwenye mashirika ya ndege ya Marekani. Kwa mashirika nje ya Marekani bado wateja wanazitilia shaka.... Sasa sisi ndio tununue mbuzi kwenye gunia?

Ushauri wangu, kama ikiwezekana wanunue hiyo B787 na B767 freighter. Hizo Max zisubiri.. mbona tuna Airbus nne?.
Mkuu mbona hizi ndege zina bima ukinunua ikiwa mbovu unakuwa refunded. Simu zina warranty sembuse ndege
Hukuona plants za Boeing zimejaza hizi ndege mwaka jana mashirika yote yalipozirudisha.

Shirika ambalo lingebeti ni linalonunua Sukhoi Superjet 100 za Urusi ila sio product ya Boeing
 
Tangu zimeruhusiwa hakuna aviation expo au air show ya maana imefanyika duniani. Ukiona ndege yoyote imeuzika sana kwenye Dubai Airshow ujue iko sawa na inakubalika. Kwanza tukumbuke kuwa hizi 373 Max zilikuwa grounded kwa sababu ya gritches kwenye software wala sio hardware. Kubadili software sio kazi ngumu wala haiwashtui mamlaka wala wanahisa.

China hapo jana imeziruhusu, leo kuna Mhindi kazinunua 72 kwa pamoja. Ingawa ilitabiriwa kabisa kuwa Airbus ataizidi Boeing kwa mwaka huu hasa Neo zinanunuliwa sana
Kuzinunua sio tatizo, kuaminika kwa watumiaji kwa sasa baada ya matukio mawili ndio tatizo kubwa ambalo Boeing wanasumbuka nalo. Hapa naona Lobbing ya Boeing imeelekezwa kwetu, tuwe makini tu.
 
Binafsi nshajikatia Tamaa na hii nchi....

Niko nakunywa bia na kuchakata nyama kibao nsubiri kufa niende kwa sir GOD

YANII TUNALIALIA 1.2TRILLION IMF KWA MKOPO WA KUJENGA SHULE NA HOSPITALI

HALAFU TUNATOA HELA 1.7 TRILLION KWENY NDEGE

Qumamaqe hii nchii sijapata kuona
Halafu cha kuchekesha unakopa 1.3T unajenga shule,yaani mkopo ule ilibidi uingizwe kwenye circulating sector kama kilimo, n.k unajiuliza hela ya kulipa itatokana na nini kitakachozalishwa na madarasa?

Dah! Ngoja nihamishie nguvu zangu kwa vitoto vya chuo,kula sana tunda,tena saivi ni buku ten tu! Inaudhi sana, inaumiza mno!
 
Dah alaf mbona bei kibwa kiasi iko wakati kwa 1.7 unaweza ukapata jumbo jet Airbus 380 za double deck tena mbili na chenchi inabaki
 
Hapa kunaufisqdi... Magufuli kanunua ndge 11 kwa trillion 1.2 harafu hizi ndegenne kwa trioni 1.7...na kwanini wasingesubiri hizo alzinunua magufuri ziendelee kufanya biashara kwanza?

0B0A3700-FF18-4FD3-8AD3-2C1F3D71A5FA.jpeg
 
Boeing 737 Max imerudi kwenye usafirishaji kitambo sanaaa. Hapa bongo some airlines wanazileta mara moja moja. Mfano ni turkish, fly dubai na oman air.
 
747Max wameziona ni boka, wameamua kumlaghai mam wakambo wetu azichukue, uyu mama washauri wake wakina nani.??
 
Back
Top Bottom