pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Mkuu hizo ndege zinachagiza ukuaji wa uchumi kwa njia ambayo mimi na wewe hatuioni. Ni rahisi kulalama humu jukwaani lakini kivitendo ndege zinahitajika sana haswa kwenye sekta nzima ya utalii...tatizo shirika la ndege ni biashara kichaa?
..atcl ina mzigo mkubwa sana wa madeni.
..pia atcl imekuwa ikiingiza hasara mwaka hadi mwaka.
..kwanini hayo matrillion yasielekezwe kwenye sekta zinazogusa Watz wengi mfano kilimo, mifugo, badala yake tunaenda kununua midege toka kwa MABEBERU?
Mkuu hizo ndege zinachagiza ukuaji wa uchumi kwa njia ambayo mimi na wewe hatuioni. Ni rahisi kulalama humu jukwaani lakini kivitendo ndege zinahitajika sana haswa kwenye sekta nzima ya utalii.
Kuna mkataba wa kibiashara umetiwa saini kati ya Ubelgiji na Tanzania. Watalii watafuatwa moja kwa moja Brussels na kuletwa bongo. Kuna mikataba kama hiyo iliingiwa na Tanzania enzi zile za hayati JPM, muda sio mrefu itaanza kufanya kazi.
Ndege zinaifungua Tanzania kuliko aina nyingine ya usafiri. Kumbuka Mama anapigia debe uwekezaji uweze kukua, nchi inavyofunguka ndivyo mzunguko wa pesa unavyozidi kuimarika.
Kama unafikiri zinanunuliwa kwa faida ya nchi na siyo dili la watu wanaozinunua endelea kushangaa.Dah alaf mbona bei kibwa kiasi iko wakati kwa 1.7 unaweza ukapata jumbo jet Airbus 380 za double deck tena mbili na chenchi inabaki
Hizi dili ndiyo mtangulizi alizitumia kupata hela za uchafuzi, wanafuata nyayo tu.747Max wameziona ni boka, wameamua kumlaghai mam wakambo wetu azichukue, uyu mama washauri wake wakina nani.??
Uhalisia ni tofauti na kipenda roho.Kwani kunatatizo
Manunuzi ya ndege ni njia mpya ya walio madarakani kupiga hela yetu. Tangu aondoke Nyerere madarakani waliofuatia wote ni mafisadi wa kujinufaisha wao na watu wao wa karibu
Kaka umeongeza chumvi aisee [emoji846][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yes walirekebisha na majaribio wakafanyaMAX wamesharekebisha ndege zao?? Si ndo hizi ndege walisema software mbovu rubani akibofya POWER ON yenyewe inaenda SLEEPING MODE?
Chief hizi ndege haziaminiki mkuu. Naambiwa ikiwa juu pilot aki command autopilot yenyewe inaitikia stop engineKaka umeongeza chumvi aisee [emoji846][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yes walirekebisha na majaribio wakafanya
Pilot gani amekuambia hivyo? Nadhani zingkuwa hazitumiki mpaka leoChief hizi ndege haziaminiki mkuu. Naambiwa ikiwa juu pilot aki command autopilot yenyewe inaitikia stop engine
Zitakua zinatubebea maji na kutugawia