Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Waislamu na malalamiko bandia, tukiwaambia tushirikiane kuwang'oa maccm mnakataaa nakufungamana na maccm au chama cha mamwinyi wa ukanda wa Pemba a.k.a cuf.
tambueni adui yenu, hapo mtajikomboa kirahisi

We kitimoto ni bora wabaki hao CCM kuliko hicho chama chenu cha kikristo a.k.a wazee wa gongo!
 

Ugaidi is part of the heading of this thread, how can you try to separate a discussion on this thread from a discussion on literally the "subject matter"?

Ukiongelea ukiukwaji wa haki za binadamu, ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu ni habari nzima ya kuvitisha vitoto kwa kuvihubiria kwamba kuna moto baada ya maisha, watachomwa milele na milele kama hawataishi kama mnavyotaka nyie. This is psychological torture halafu mnawafunga watu wawaamini si kwa uzuri wa dini, bali kwa vitisho.

Halafu unapoandika "au kwa kuwa hawa waliotendewa ni waislam, basi wamekuwa ninmagaidi" unachekesha. Mimi sijawataja Waislamu. Nimeandika kwamba dini zote zinazohubiri moto baada ya kufa zinahubiri ugaidi. Hata Wakristo wanahubiri moto baada ya kufa, na katika standards zangu kwa hilo, wakristo na waislamu hawana tofauti, wote wanahubiri ugaidi.

Ugaidi maana yake ni kutaka watu wengine wafanye unavyotaka wewe kwa kutumia nguvu na vitisho. Kuhubiri moto ni kutumia vitisho.

Sasa kwa nini unaona nawasema Waislamu wakati maneno yangu yanahusisha waislam, wakristo na wengine wote wanaohubiri moto?

Umefikiri au umekurupuka?

Sasa mtu akisema kwamba Waislamu mnajistukia na hata pale ambapo hamjaonewa mnaona mmeonewa, kwa kutumia mfano huu, utasema amekosea?

Nani anaishi kwenye nyumba ya udongo na kupata dola moja kwa siku? Sultan wa Brunei? Mfalme wa Saudi Arabia? ma Emir wa UAE? Hawa si Waislamu?

Na kwa nini umasikini uwe kipingamizi cha ugaidi? Boko Haram Nigeria kuna watu masikini sana, na wanafanya ugaidi kwa sababu ni masikini, umasikini wao hauwazuii kuwa magaidi, more like ndio unaowasababisha kuwa magaidi.they have nothing to lose.

Ugaidi ni roho ya mtu tu, unaweza kuwa milionea kama Osama na kuamua kuwa gaidi, au unaweza kuwa masikini kama hao liutenants wa Boko Haram ukaona maisha hayana mpango ngoja nifanye ugaidi tu.

Kwa nini unataka kusema umasikini unazuia watu kuwa magaidi while it is more likely that affluency will make one think twice about blowing himself up because he has something to live for? What kind of dilapidated logic is this?

Bush unayemsema anatoka / katumia mirengo hiyo hiyo ya kidini kuhalalisha ugaidi. Alipoanza vita vyake aliviita "crusade". I am not sure you know what that is.

Mfano wako wa Bush unaimarisha point yangu kwamba dini hizi zinazohubiri moto ni ugaidi uliovikwa joho la utakatifu tu.

Na siongelei uislamu tu, hata Ukristo nao ni ugaidi. Ukisoma biblia utaona mungu anafanya mambo ya kigaidi mara chungu mzima, tena anatamba kwa kuwa gaidi.

As far as I am concerned Uislamu na Ukristo tofauti yake ndogo sana.

Na wanaooona tofauti kubwa ni kwa sababu hawajapanua mawazo kuona horizon kubwa zaidi.
 

Mpaka leo bado unautando na upogo wa kutoamini kwamba Serikali huwezitenganisha na Kanisa pamoja na mabandiko yote yaliyokwishapita hapa au Jf umejiunga jioni hii?

Hivi Serikali ni nini?

Rejea,
KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA 1953-1985,
Ama nacho kimeandikwa na Padre wa Kiislaamu?
 
ha ha ha ha! hivi wakati baba na mama yako wanakutengeneza ulishuhudia? au ndiyo unajishuku kuwa kuwa mtoto kharamu?

Hiyo nayo ni katika adabu na malezi waliyokugeiya wazazi wako?

Kwanini uwatukanishe wazazi wako au waliondoka Duniani ukiwa bado mdogo?

Au ulikulia stand na kushibia mahospitalini katika mabaki ya wagonjwa?
 
Unachanganya madawa
Nimesema sijaona hoja yenye mashiko na sio kukubali

Kukubali ni pale ambapo mtu ameshaleta hoja
Nyie hamjaleta hoja hapa
Mmeleta malalamiko tu bila ya ushahidi wa hayo

Au hujuo hata hoja ni nini?

Hivi unataka ushahidi wa style ipi lakini sio makosa yako ni ukilema wa fikra zako ndio unakusukuma kuandika hayo unayofikiria akilini mwako.
 
Waislamu na malalamiko bandia, tukiwaambia tushirikiane kuwang'oa maccm mnakataaa nakufungamana na maccm au chama cha mamwinyi wa ukanda wa Pemba a.k.a cuf.
tambueni adui yenu, hapo mtajikomboa kirahisi
Kwa maana hiyo unadhibitisha rasmi kuwa Chadema ni chama cha Wakristo.
 
Hivi Alshaabab wale wanaojilipua kule wake ni Wakristo na mayahudi eeh!.

Unatafute shule mbona zipo nyingi sana za kata alizokusaidieni Jk na hao wenzako zimewasaidia ndo maana wanabahatisha humu majibu ya dharura?!

Nawe nakushauri kapite pale kisha utarudi tukupige msasa kijana,
Hujachelewa Elimu haina mwisho,

Naomba usituvuruge tafadhali
 

Mkuu Wabara huyu Eiyer asikusumbue akili yako hana jipya chuki ndio inatawala akilini mwake.
 
Haya maswali yako yanahusiana nini na mada?

Watu waoe wasioe inakuhusu nini wewe mmatumbi ulioko ughaibuni kwa tiketi ya kikimbizi?
Papa anakuhusu nini wewe?

Papa anahusikaje kwenye suala hili la ughaidi huko Tanga?
Au una njaa?


Wacha longalonga na kutumwagia povu hapa!

Jibu swali!

Kuna gaidi zaidi ya huyo mwenye kibalagashia km mpika vitumbua??
Uliberali kwake!
Madawa ya kukevya kwake!
Mafia wauwaji wote wanatoka huko.

Jibu swali hapa!
 
Acha ujinga ww uislAm unapigwa vita kila kukicha we umesomea nini? apoulipo wakati waislamu wanafelishwa we hukuepo? Yani kusoma hujui hatapicha huoni we chizi kwel
 

Na wewe ni katika "great thinker" au ni UATHIEST Unakufanya uwe zuzu kiasi hichi?
Hujui hata hapa duniani Unafanya nini ndio nyie mkiumwa mnakumbuka kumbe kuna mungu kinacho kupa kiburi ni hizo pumzi za bure.
Eti dini kusema watu wabaya watatumbukizwa motoni ni UGAIDI umenishangaza sana Kiranga jaribu kuangalia vizuri maana ya Ugaidi kabla kuna kuandika huo upuuzi ulioandika hapo juu.
 

Mkuu umeeleza angalau chanzo Cha matatizo!
 

Hizo rejea ulizopewa acha CHOYO muazime kama si kumgeiya rafikiako Eiyer,

Eti yeye hadi sasa hana rejea hata moja toka kwa Ms,

Ama nawe utajitia zimefutikav

Teh teh teh.......!

Ninyi viumbe hamkawii visa,
Muite pembeni basi umuoneshe tafadhali,
lakini anawezapata pia kupinga kwake kukawa pale pale.
 

Wewe umekubali kuwa ni mkiristo ambae HUNA FAIDA NA HUO UKRISTO WAKO!
Na hilo wala halinishangazi hata kidogo!
Wanaofaidika na huo Ukristo ni wale wachungwaji na makatikista na mapadri!

Wanakusanya mahela yenu wanaongeza manyumba tu!
Na zile ruzuku zinazotoka vatican wewe mtu wa chini huwezi kuziona!
Vumilia tu na bado adhabu ya Mungu inawangoja!

Unashauri na kulialia kuwa "wewe hupendi watu watoa kashfa" na hilo umeliona kwangu tu!!
Hebu msome huyu mtumishi wa kanisa aitwae Eiyer ambae ana tabia ya kuchungulia wanawake wenye vinguo vifupi anavyoandika.!

Hizi hadithi ukimpelekea mwenye matatizo ya kufikiri atashangilia sana
Hivi huoni aibu kuandika haya?

Alivyokosa malezi kutoka kwa wazee wake. Anamjibu hivyo mtu mzima sawa na baba yake!

Mimi watu kama hawa nawafananisha na mizoga ya nyamafu!
Faida hawana. Zaidi ya kujaza vyoo tu!
Na wewe usiwe mnafiki! Km unapenda haki basi na hao makafiri wanaotoa kashfa wafahamishe kuwa Yesu hapendi. Na hio ni tabia ya KAFIRI PAULO!

Now back to the thread.
Thank you.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu nani yuko nyuma ya Marekani baada ya hii mipango yake kutimia ya kuitawala Dunia! Ni nini kitatokea Au kutakua na sheria gani na taratibu gani?

Maana Kwa mujibu Wa kile ninacho Amini Kutokana na maandiko ya Biblia lazima USA itawale!
Naomba unisaidie!
 
ha ha ha ha! hivi wakati baba na mama yako wanakutengeneza ulishuhudia? au ndiyo unajishuku kuwa kuwa mtoto kharamu?

Mtoto wa mzazi mmoja tena muuza gongo! Akianza kuandika utamjua tu!

Haya ndio makapi ya wakimbizi. Unazaliwa ovyo ukikuwa unaanza.kiburi!

Watu wanajenga hoja kwa kuleta maneno ya mshiko!
Mtoto wa zinaa anatuletea rusha roho!

Jaribu kuwashauri hao wenzenu wa jinsia za kike kutokukubali kuhungama madhambi kwenye hizo parokia zenu!
Matokeo yake ktk lile zoezi la kutolewa madhambi mnapatikana watoto kama nyie!
Ni hasara sana!
 
Mfumo kristo ni nini? Mfumo wa damu umeitwa mfumo kwa sababu damu imeenea kote mwilini. Watu wa dini ya kikristo imehodhi asassi zote za nyeti za uongozi na mamlaka katika nchi hii, sehemu zote za nguvu/maamuzi ya dola zimeshikwa na wakristo tangu uongozi wa juu ikulu mpaka kiongozi wa mtaa uongozi wote umeshikwa na mfumo kristo. Na hao walioshika hizo nyadhifa wanazitumia kuuendeleza ukristo na kukandamiza uislamu.

Angalia hapa kazi ya mfumo Kristo tuanze na Benki ya Posta nimegusa kiduchu tu kwenye Management Wakirto watupu unadhani hili limefanyika kwa bahati mbaya.


MR. SABASABA KITEWITA MOSHINGI
Chief Executive Officer and Managing Director


MR SOSTENES NYENYEMBE
Director of Internal Audit
MS. BERNADETHE JOSEPH GOGADI
Director of Strategic Planning



MR. MOSES MANYATTA

MR. DEOGRATIUS KWIYUKWA

Director of Marketing and Business Development

MR. MICHAEL MWAKYANDILE

Director of Credit


MR. PETER MAPIGANO

Director of Human Resources

Mr. JEMA MSUYA

Director of Operation and Technology

Ms. REGINA SAMAKAFU
Ag. Director of FinanceMrs. Mystica Mapunda Ngong
Director Legal Services
Ms. NOVES MOSES
Chief Manager, Corporate Affairs

MR.BERNARD MWANDU

Chief Manager Procuremen


Takuja na Mashirika yote na taasisi zote za serikali pamoja na wizara si umetaka kujua mfumo Kirtsto ni nini.
 
Na wewe ni katika "great thinker" au ni UATHIEST Unakufanya uwe zuzu kiasi hichi?

U great thinker ni tusi kwangu, mie zuzu, ndiyo maana nina maswali mengi.

Lakini inaonekana wewe ni zuzu zaidi yangu kwa sababu hujajibu maswali yangu.


Hujui hata hapa duniani Unafanya nini.

Wewe unajua? Unafanya nini?

ndio nyie mkiumwa mnakumbuka kumbe kuna mungu kinacho kupa kiburi ni hizo pumzi za bure.

Sentensi kama hii inaonesha unatatizwa na wigo mdogo wa mawazo uliostawishwa na kukosa habari.

Kuna mtu akiitwa Primo Levi, alikuwa haamini mungu, kawekwa kwenye ma concentration camp na Wajerumani enzi za Hitler, anaenda kuuawa, kakataa kuamini mungu mpaka mwisho, na akaishi kuandika habari hizi.

Kwa nini unafikiri kila mtu ni dhaifu na atakubali kuwepo kwa mungu kwa woga tu?


Eti dini kusema watu wabaya watatumbukizwa motoni ni UGAIDI umenishangaza sana Kiranga jaribu kuangalia vizuri maana ya Ugaidi kabla kuna kuandika huo upuuzi ulioandika hapo juu.

Nimetoa maana ya ugaidi hapo juu, na kwa nini nasema dini zinazohubiri moto zinatumia ugaidi.

Hujaweza kusahihisha hoja, nina shaka kama umeielewa, umerukia mjadala.

Umeelewa nilichoandika?

Ugaidi ni kuacha kutumia uzuri wa hoja ili kushawishi watu, na kutumia nguvu na vitisho.

Habari nzima ya kuhubiri moto ili watu waamini dini ni kushindwa kuonesha watu uzuri wa dini hiyo na kutumia vitisho.

Hivyo, dini zote zinazohubiri moto ili kupata waumini, zinatumia ugaidi na kimsingi hazina "moral high ground" kukemea magaidi wengine wakitumia ugaidi wao dhidi yazo.

Kwani itakuwa ni vita ya ugaidi dhidi ya ugaidi, wanalalamika kwa kuwa wamezidiwa ugaidi tu, si kwa kuwa hawapendi ugaidi, kwani hata wao wanatumia ugaidi.
 

kasomeshe kwanza ndugu zako waliopoteza muda wao kusoma madrasa sasa ndo washtuka kumekucha wanalilia elimu mnatia huruma bora jk kawasaidia shule za kata atleast division 5 itawasaidia.
 

Mkuu jibu langu Nafikiri ndugu Mohamed Said atakua kanielewa Zaidi!

Labda niseme tena Hakuna rejea yenye nguvu kuliko neno la Mungu! Na ndio muongozo wangu Wa yote duniani!

Kwahiyo hizo mirejeo sioni km itakua na nguvu Zaidi!
Na nikuambie na wewe ndugu Yangu Adui yetu mkubwa si serikali Au ni mfumo kristo Bali ni uasi Au shetani!

Asante!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…