ya kale ni dhahabu na sisi tumechimba na kuacha mashimo, ...hatuwezi kurudi huko tena mkuu. tufikirie namna ya ku-deal na present and futureThat is islaam that the world has lived with for centuries until the arrival of Osama bin laden and the likes. Arab and palestinian resistence to occupation has always taken a secular ideology until islamic fundamentalists took the stage and refused to put a difference between western imperialism and christianity and hence starting a hate campaign against christians. So what I am making reference to is the present time.
Mpendwa LwamboEee, FYI, umeiamini CIA kwa kuwa CIA ni mbadala ya BIBILIA?!! UmeiAmini CIA kwakuwa inaboronga UN na kuaminisha agenda zao!! Umeamini CIA kwa kuwa wanajitolea kulisha masikini na watu duni wasio na uwezo ilimradi waonyesha utu wao!! nk,nk... Mkuu FYI sasa hao CIA ni genge la Mjangili na makatili wasio na mfano hapa DUNIANI !! Lakini wamejivisha vazi la MOTHER THREZA na kuvaa mabawa ya WHITE ANGELs. Usisahau haohao CIA walihalalisha vita vya IRAQ ambayo hadi sasa miaka 12 damu inatiririka barabarani..haohao CIA hubambikiza wamtakae na humpakizia wamtakae !! Ohh my God ..Poor people....be fairSio maneno yangu, ni ripoti ya CIA.
Mkuu post iliyoanzisha mada haiko Balance, samahani Kwa Kusema hivyo! Na pia Kwa kutumia Hilo bandiko na Taarifa ya gazeti la Nipashe aliyo leta ndugu Bopwa! Tunaweza pata uhalisi Wa tukio na kuweza kuchangia!
Asante!
Naomba nioneshe hizo sentensi kwenye hiyo post ambazo unaamini kuwa zinaondoa "balance".
Mimi nakuuliza tena kutokana na gazeti ulilosema na post iliyoibua hii mada, Jee, mgambo akiuliwa hukumu yake ni misikiti kuvunjwa, kuchomwa moto, nyumba kuteketezwa na Qur'an kuchomwa moto?
Thx
Kwa Mwenye hekima akipitia Taarifa zote hizo mbili ya gazeti na bandiko la MS atapata picha ya tukio karibu lote!
Unaniuliza maswali ya hitimisho la tukio kwanini usijiulize wewe Swali dogo tu Kua kukataa kulipa kodi Au ushuru uliowekwa kisheria Kwa Madai Kua dini hairuhusu ni kosa?
Na pia huoni km tukio la kumuua Mgambo aliekua anatekeleza wajibu wake ni kosa!? Kwanza hapa kuna vitu viwili kumzuia mtu asitekeleze wajibu wake na pia mauaji!
Ndugu Yangu hili swala si la kuegemea upande wowote! Km chanzo ndio hivyo kila upande Una makosa! Waliogoma kulipa ushuru na kuua na kumjeruhi Polisi na ata Polisi nao km walitekeleza Oparesheni Yao Kwa nguvu kupita kiasi nao pia walikosea km ni kweli hayo maswali unayouliza! Tusiegemee upande mmoja ndugu Yangu ktk hili Tujaribu Kua Wa kweli na kusimamia haki!
Naamini haki itakuja kupatina Kwa wale Wote waliokumbwa na kadhia Hiyo! Maana Mfano Tumeona Oparesheni tokomeza!
Hizo ni propaganda za magazeti ya Tanzania Kwahiyo wewe unayaamini sana hayo yaliyoandikwa kwenye gazeti kuliko haya yaliyo letwa na mzee MS.
Mfumo kristo ni nini? Mfumo wa damu umeitwa mfumo kwa sababu damu imeenea kote mwilini. Watu wa dini ya kikristo imehodhi asassi zote za nyeti za uongozi na mamlaka katika nchi hii, sehemu zote za nguvu/maamuzi ya dola zimeshikwa na wakristo tangu uongozi wa juu ikulu mpaka kiongozi wa mtaa uongozi wote umeshikwa na mfumo kristo. Na hao walioshika hizo nyadhifa wanazitumia kuuendeleza ukristo na kukandamiza uislamu.
Angalia hapa kazi ya mfumo Kristo tuanze na Benki ya Posta nimegusa kiduchu tu kwenye Management Wakirto watupu unadhani hili limefanyika kwa bahati mbaya.
MR. SABASABA KITEWITA MOSHINGI
Chief Executive Officer and Managing Director
MR SOSTENES NYENYEMBE
Director of Internal Audit
MS. BERNADETHE JOSEPH GOGADI
Director of Strategic Planning
MR. MOSES MANYATTA
MR. DEOGRATIUS KWIYUKWA
Director of Marketing and Business Development
MR. MICHAEL MWAKYANDILE
Director of Credit
MR. PETER MAPIGANO
Director of Human Resources
Mr. JEMA MSUYA
Director of Operation and Technology
Ms. REGINA SAMAKAFU
Ag. Director of FinanceMrs. Mystica Mapunda Ngong
Director Legal Services
Ms. NOVES MOSES
Chief Manager, Corporate Affairs
MR.BERNARD MWANDU
Chief Manager Procuremen
Takuja na Mashirika yote na taasisi zote za serikali pamoja na wizara si umetaka kujua mfumo Kirtsto ni nini.
Mfichuasiri,
Maneno hayo yako yote ni sawa kabisa na wala mimi sikupingi katika hilo.
Lakini hao Al Shabab hawajapata kuwapo popote nchini kwetu.
Kisingizio cha ugaidi kinatumika kwa chuki kuupiga vita Uislam.
Hadi leo serikali haijawaonyesha Waislam ushahidi wa kuwapo kwa Al Shabab
huko Madina, Dibungo na Lwande.
Hata kesi iliyofunguliwa Handeni dhidi ya Waislam kosa la ugaidi halipo katika
charge sheet.
Na Waislam tulionya siku nyingi kuhusu hatari hii ya vyombo vya dola kutumika
kama ''armed wing of the Church.''
Haya nisemayo si maneno ya maskhara.
Tukifanya mchezo tutaja uana na mwisho wa siku sote tutakuwa tumepoteza
na watakaokuja kutupatanisha ni hawa hawa Wamerekani.
Mwanzo wa mvua manyunyu.
Mwanzo wa nyimbo lelelelele.
Mwisho.
Umeandika vyema ukitoa neno ''upuuzi.''
you hit the bull eye.safi sana
Penye nyekundu hapo nyie ndo mna-develope chuki za kidini ili wajinga wajinga wajitokeze kwenye kile kitu mnakiita Jihad...... Hivi Kanisa linaingiaje hapa????? Baadhi ya Waislam ni walalamishi sana binfsi nahisi Waislam ili wawe Confortable hawatakiwi kujichanganya na watu wa dini tofauti haiwezekani Serikali ichemshe kitu dhidi ya Uislam na waislam alafu unajitokeza mtu unalichomekea kanisa... Sipati Picha Kikwete na Makamu wake wangekuwa Wakristo sijui Serikali ingelalamikiwa kwa kiwango gani hivi Kanisa lina Influence yeyote kwa dola?
na kwa nini kuwe na mfanano wa matukio kilindi na Lushoto?je,huko Lushoto ilikuwa wananchi wote au wananchi waislam?kwa kweli kama ishu iko hivi alivyoileta Bopwe,hapa inabidi tuwe waangalifu!huenda kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia.Ni tukio linalohitaji uchunguzi kwa kweli ila kuna umuhimu sasa wa yale maswali yetu kujibiwa na bin Rabah.Nilivyoelewa mimi tukio la kumuua mgambo wakati akitekeleza wajibu wa kuzilinda sheria,pamoja na kushambuliwa na watu wenye silaha msikitini ni provocation iliyosababisha watumie nguvu.Sasa kama hii violent resistance waliipata kutoka kwa kundi moja la wananchi,ilibidi kulifuatilia kundi hilo na ndipo hapa maswali ya Ntuzu hapo juu yanapokuwa ya maana na kama hizo elements zipo basi huu ni ugaidi haijalishi jina gani limetumika kuupendezesha iwe waislam,iwe wananchi n.k cha msingi kabisa,twende kwenye root cause,je,huo ushuru wa hiliki ni utaratibu halali kisheria hapo?ni basis gani aliyepinga alizisimamia kama sababu ya kupinga?je,hizo sababu ni rational?
Penye nyekundu hapo nyie ndo mna-develope chuki za kidini ili wajinga wajinga wajitokeze kwenye kile kitu mnakiita Jihad...... Hivi Kanisa linaingiaje hapa????? Baadhi ya Waislam ni walalamishi sana binfsi nahisi Waislam ili wawe Confortable hawatakiwi kujichanganya na watu wa dini tofauti haiwezekani Serikali ichemshe kitu dhidi ya Uislam na waislam alafu unajitokeza mtu unalichomekea kanisa... Sipati Picha Kikwete na Makamu wake wangekuwa Wakristo sijui Serikali ingelalamikiwa kwa kiwango gani hivi Kanisa lina Influence yeyote kwa dola?
Thx
Kwa Mwenye hekima akipitia Taarifa zote hizo mbili ya gazeti na bandiko la MS atapata picha ya tukio karibu lote!
Unaniuliza maswali ya hitimisho la tukio kwanini usijiulize wewe Swali dogo tu Kua kukataa kulipa kodi Au ushuru uliowekwa kisheria Kwa Madai Kua dini hairuhusu ni kosa?
Na pia huoni km tukio la kumuua Mgambo aliekua anatekeleza wajibu wake ni kosa!? Kwanza hapa kuna vitu viwili kumzuia mtu asitekeleze wajibu wake na pia mauaji!
Ndugu Yangu hili swala si la kuegemea upande wowote! Km chanzo ndio hivyo kila upande Una makosa! Waliogoma kulipa ushuru na kuua na kumjeruhi Polisi na ata Polisi nao km walitekeleza Oparesheni Yao Kwa nguvu kupita kiasi nao pia walikosea km ni kweli hayo maswali unayouliza! Tusiegemee upande mmoja ndugu Yangu ktk hili Tujaribu Kua Wa kweli na kusimamia haki!
Naamini haki itakuja kupatina Kwa wale Wote waliokumbwa na kadhia Hiyo! Maana Mfano Tumeona Oparesheni tokomeza!
Kwa hiyo kama mtu kakataa kulipa kodi kwa ajili ya "dini yake" na "akamuua" mgambo hukumu yake ndio misikiti ibomolewe, ichomwe moto, nyumba za watu ziteketezwe na Qur'an ichomwe?
Na huyo mtu aliyakataa kulipa kodi ndio anakuwa gaidi?
Mhe. Rais aliyajua haya ndiyo maana akawawekea IGP muislamu,naamini angekuwa mkristo mngesema hujuma za wakristo.Je sasa muislamu mwenzenu anafanya vita dhidi ya uislamu? mm niwashauri waislamu msiwe wepesi kukimbilia kutaja udini katika matukio ya aina hii. mm siamini kuwa waliotendewa huo unyama ni waislamu peke yao kwani waislamu wana ndugu ambao sio waislamu na wengine hawana dini ambao wengine matukio haya yaliwakumba
mbona hauzungumzii vijiji viwili au vitatu vya Serengeti zilivyofutwa kwa nguvu ya polisi(nyamuma) na haya mnayolalamikia yalifanyika kule? je wakristo nao waamini kuwa ile ilikuwa hujuma dhidi ya ukristo iliyofanywa na waislamu? jibu ni hapana
tukumbuke ripoti ya kamati ya bunge ya juzi watu wametendewa unyama na uovu mkubwa ambao mwingine hata mkoloni asingeweza kuwatendea watu hawa lakini wametendewa. katika watu waliotendewa uovu walikuwemo watu wenye dini na wale wasio na dini. je hapa napo tuamini kuwa hayo yametokea kwasababu ya kutaka kuhujumu dini ya mtu, jibu sio kweli. tatizo naliona liko kwa watendaji wanaotumwa, inaonekana hawana uweledi wa taaluma yao hivyo wanafikiri wakifika wakachoma nyuma na kuwatendea watu uovu watakuwa wamewafurahisha mabosi zao na watapandishwa vyeo
mm niwashauri vijana wenzangu, kuwa udini sio mzuri kuuendekeza mwisho wa siku tutauana kwa madai ya kutetea dini zetu. hakuna vita mbaya duniani kama vita ya udini, mtu anaweza kufanya chochote ili kutetea dini yake
ushauri wangu ni kuwa nchi yetu imekumbwa na matukio mengi ya mauaji na utesaji wa watu na hakuna mtu ambaye hata leo amewajibishwa watu wakaona kweli hatua muhimu zimechukuliwa. la msingi kama nchi tujiulize ni wapi tulipokosea? kubwa zaidi hakuna uwajibikaji miongoni mwetu na viongozi wetu,kwani kuna makosa mengi yanafanyika ambayo watu walitakiwa washitakiwe hata kufungwa kabisa lakini hakuna hatua iliyochukuliwa hadi sasa.
naishauri ccm yenye serikali, iache mchezo kwenye maisha ya watu, kama ilivyoanza kuwashughulikia mawaziri mizigo na watendaji wasiofaa iongeze nguvu haya tunayoyaona yatatoweka kabisa. Lakini ccm ikijisahau wananchi wataendelea kuumia na matokeo yake wataifanya jamii iwachukie na kuwapenda wapinzani
nasema haya unayosema, si haki mtu kutendewa,tuwasiliane na watetezi wa haki za binadamu ili hatua zichukuliwe na wanaohusika wawajibishwe haraka iwezekanavyo. Naamini Mhe. Rais hatayafumbia macho, atachukua hatua ya haraka kama alivyofanya kwa mawaziri waliokiabisha chama, Serikali na Watanzania kwa ujumla. hakika hawa ndugu zangu wanastahili fidia kwa kadiri utu wao ulivyodhalilishwa
kingine tuombe taarifa ya uchunguzi ya kina sio kama ulivyoandika naona imekaa kiuchokozi sana, waandishi wapelelezi wafanye kazi yao kisha watuletee taarifa kwanini hatua hizo zilichukuliwa. unaweza kushangaa wale unaowatetea wao ndio wakawa wenye makosa? tuombe tume ifanyie kazi hili itueleze ukweli bila aibu, ndipo tutakuwa katika nafasi nzuri kuhitimisha mjadala huu
Mkuu karibu kila mtu ametoa mchango kadri awezavyo na kuna mchango mmoja Wa ndugu Assuredly4 ulikua mrefu na mzuri na huenda ungekua Ndo hitimisho la mada hii!
Kwanza kabisa napenda ufahamu msimamo wangu juu ya swala hili Kua siegemei upande wowote! Ila napendekeza haki itizamwe kote!
Nikija ktk maswali yako!
Kumekua na vita nyingi duniani na wakati mwingine maadui wanaotafutwa hukimbilia ktk maeneo ya raia na huduma za jamii km vile mahospital, mashuleni, makanisani, misikitini na wengine kutumia watoto km ngao kujikinga! Na wakishambuliwa hutoka kuutangazia ulimwengu Kua tunaonewa! Au majeshi Fulani hayajali haki za binadamu etc!
Sasa sitaki Kusema kile kilichotokea huko Kilindi ni vita na Labda Yule mtuhumiwa na watuhumiwa Wa mauaji na waliokataa kulipa ushuru walikimbilia msikitini unategemea nini kingetokea na km Hiyo mbinu nilivyokuonyesha hapo juu? Simaanishi Kua hivi ni ndivyo ilivyo Nataka tujenge picha km ndio ivyo unategemea nini!? Na Bado Polisi wakawaweka chini ya ulinzi Hao waliokua msikitini na Polisi akashambuliwa na risasi! Wewe unafikiri muoendelezo Wa kuwatafuta Hao walio leta vurugu ungekuaje?
Tuangalie hili Jambo Kwa kina na si kuegemea upande wowote! Na ingekua vyema ndugu Mohamed Said akatusaidia kupata chanzo Zaidi!
Iwapo Chombo Cha dola kilitekeleza majukumu yake vibaya basi watakua na makosa na Hao ambao ni chanzo Cha vurugu na wao wanamakosa! Polisi hawawezi kukurupuka tu na kufanya hujuma bila sababu yeyote!
Asante!
Wewe umekubali kuwa ni mkiristo ambae HUNA FAIDA NA HUO UKRISTO WAKO!
Na hilo wala halinishangazi hata kidogo!
Wanaofaidika na huo Ukristo ni wale wachungwaji na makatikista na mapadri!
Wanakusanya mahela yenu wanaongeza manyumba tu!
Na zile ruzuku zinazotoka vatican wewe mtu wa chini huwezi kuziona!
Vumilia tu na bado adhabu ya Mungu inawangoja!
Unashauri na kulialia kuwa "wewe hupendi watu watoa kashfa" na hilo umeliona kwangu tu!!
Hebu msome huyu mtumishi wa kanisa aitwae Eiyer ambae ana tabia ya kuchungulia wanawake wenye vinguo vifupi anavyoandika.!
Alivyokosa malezi kutoka kwa wazee wake. Anamjibu hivyo mtu mzima sawa na baba yake!
Mimi watu kama hawa nawafananisha na mizoga ya nyamafu!
Faida hawana. Zaidi ya kujaza vyoo tu!
Na wewe usiwe mnafiki! Km unapenda haki basi na hao makafiri wanaotoa kashfa wafahamishe kuwa Yesu hapendi. Na hio ni tabia ya KAFIRI PAULO!
Now back to the thread.
Thank you.
Naona umezungusha maneno kila upande, maswali ni rahisi mno:
Kwa hiyo kama mtu kakataa kulipa kodi kwa ajili ya "dini yake" na "akamuua" mgambo hukumu yake ndio misikiti ibomolewe, ichomwe moto, nyumba za watu ziteketezwe na Qur'an ichomwe?
Na huyo mtu aliyakataa kulipa kodi ndio anakuwa gaidi?
Hizo ni personal feelings zako!
Unanpopewa jibu ni mawili. Aidha uridhike na hilo jibu! Au kama kuna kitu hukuridhika nacho uulize.
Sio kudadavua kwa kuonyesha kile UNACHODHANI WEWE KUWA NDICHO KILIPO!
Hio statement aliyokujibu Mzee Mohamed Said wewe badala ya kutoa hitimisho. Ulitakiwa uulize. Je! Kwanini mzee umeandika hivyo??
Sio kuandika. Ohhh ingekuwa kiongozi huyu dini hii ingekuwaje!
Au yule dini ile ingekuwaje!
Hio tunaita "dhana" na mara nyingi utakuta hizi dhana zinakupeleka.kusiko takiwa!
Na kwa kumalizia. Kama ulikuwa hujui Influence ya kanisa ndani ya dola yetu. Basi kijana una kazi kubwa sana ya kueleweshwa.