Usiwe ukibadilisha maneno...... mimi SIJASEMA SINA FAIDA NA UKRISTO WANGU BALI NIMESEMA SIFAIDIKI NA HUO UNAOUITA MFUMO KRISTO.......MFUMO WA KUFIKIRIKA....... na sijaona ushahidi wowote kuhusiana na kuwepo kwa mfumo huo.... na hata ukiwepo ni mfumo ambao upo kwa nasibu......bila mpango mkakati..... na pia hata ukiwepo ni mfumo ambao si rasmi kwa wakristo wote (wakristo walio wengi hawaufahamu na hata wakiufahamu hawata ukbali)....... na mwishoe hata ukiwepo huo mfumo kristo si kwa mujibu wa biblia... maana maandiko hayaruhusu kuunganisha dini na siasa.... hata Yesu waipotaka kumfanya mfalme wa Wayahudi.... Yeye alikataa kwa kujua kwamba falme hizi zote za binadamu ni batili.....zipo kwa muda tu...... bali Ufalme wa Mbinguni ambao Mungu wa Mbinguni atausimamisha ndiyo utakaotawala baada ya kuzivunja falme zote hizi......
Lingine ni kuwa usipende kudharau wengine..... kwa kuwaita wanafiki..... Mbona wewe ni mnafiki na dhaifu hatukusemi...... unajifanya kutetea uislam wakati hata mara moja huonekani wazi kuanzisha mjadala wa kitaifa wa jinsi ya kuweka usawa kwa watanzania wote bila kujali imani zao.... unabaki kujificha kwenye kompyuta na kuanza kuandika uchochezi miongoni mwa watanzania..... kama wewe kweli una nia ya dhati kurekebisha hali jitokeze kwa wazi..... eleza jinsi unavyohisi.... na hata hapa kwenye JF weka jina lako kamili.... vinginevyo wewe ni kunguru tu ambaye utaishi miaka mingi lakini ya kiunafiki.....
Yaani muoga hivyo halafu... unathubutu kuwasema vibaya mtu kama Mtume Paulo ambaye alikuwa jasiri na mpaka akafa kwa kusimamia imani yake......
Hata unamshambulia kwa maneno makali Mwl. Nyerere kwenye JF wakati hata 1/8 ya IQ yake huifikii... eti bla bla bla... wewe ambaye wala hufahamiki unafanya nini .... unakaa wapi na labda unafanya nini ili kuiendeleza nchi yako......
unajificha ficha tuuu.... jiweke wazi kama kina Nyerere ujulikane na watu wajue kama wewe kweli una jambo jema kwa taifa hili....
Kama kweli wewe ni mpigania haki wa kweli achana nahiyo kazi ya kubebba maboksi halafu uende nyumbani ukijenge Tanzania yako....
Teh teh teh teh!
Unajua binaadamu akianza maradhi ya kichwa huwa anaanza na tabia za kudhani dhani sana!
Hebu jaribu kujisoma hapo juu!
Hakuna cha maana ulichoandika ispokuwa ni dhana tu.!
Ohh mara mfumo kristo haupo!
Ohhh hata kama upo haitufaidishi wakristo!
Ohh hata kama upo biblia haijafundisha hivyo!
Na maneno meeengi yasiokuwa na mashiko!
Unasifu ujasiri wa yule MNAFIKI PAULO!
Vipi kama wewe ni MKIRISTO WA KWELI utamsifu mtu ALIYEUWA WAKRISTO WA KWELI KWA.MAMILIONI TU KWA SABABU WALIMFUATA YESU??
Na je huyo MNAFIKI PAULO Alipokwenda kule ANTIOKIA wale WAKRISTO WA KWELI WALIMFANYA NINI??
Muuwaji LAZIMA AUWAWE!.
Na suala la kumsifia nyerere kuwa ana akili sana ni dalili ya mapungufu ya fikra.
Yule aliyedhulumu mali za watu na kutenganisha familia na zile sera zake za ujamaa wa kinafiki ndio unaziita 8/8 IQ??
Watu kama wewe ni hatari kuliko cancer!
Manake binaadamu akiwa" AKILI KUAMBIWA" Anaweza kufanya lolote.lile.
Amka! Kapate elimu na uache kuishi maisha ya kudhani dhani!
Matokeo yake utakuja dhani mkeo ana kitu kibaya anakifanya. Kumbe mwenzio anapaka wanja tu.