Kweli uchawi upo kwenye mpira, awa Jwaneng walimfungaje Wydad? Licha ya kukutana pipa na mfuniko bado simba ni wale wale tofauti ni kocha tu!

Kweli uchawi upo kwenye mpira, awa Jwaneng walimfungaje Wydad? Licha ya kukutana pipa na mfuniko bado simba ni wale wale tofauti ni kocha tu!

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ama kweli la kuvunda alisikiii ubani, Simba kakutana na timu ya ovyo kabisa lakini wanatia huruma!

Napata mashtaka awa jwaneng walimfungaje whydad? Nilisikia mashabiki wa whydad walisema jwaneng walishinda kwa ndumba naanza kuamini kwa ninachokiona uwanjani!

Mechi hii Simba alitakiwa ashinde si chini ya goli 2 za maana lakini kutokana na uwezo wao mdogo ndio ivyo ni aibu hii🤔
 
Mechi hii Simba alitakiwa ashinde si chini ya goli 2 za maana lakini kutokana na uwezo wao mdogo ndio ivyo ni aibu hii🤔
Nenda kawahi seat kwa Mkapa tuwashangilie mwiko nyuma wapate angalau pointi moja maana hadi sasa hawa hawana goli wala point.

Mambo ya Simba waachie wana Simba wenyewe, acha kiherehere 😁
 
MANARA hakukosea kusema utopolo wenye akili ni wawili tu,Sasa kama unasema Jwaneng waliiroga Wydad Ugenini,wanashindwaje kuiroga Simba wakiwa kwao Botswana?

Pengine ndo sababu shot ya Chama imegonga Mwamba kipa alishapotea,au hata hilo hukuona?
 
MANARA hakukosea kusema utopolo wenye akili ni wawili tu,Sasa kama unasema Jwaneng waliiroga Wydad Ugenini,wanashindwaje kuiroga Simba wakiwa kwao Botswana? Pengine ndo sababu shot ya Chama imegonga Mwamba kipa alishapotea,au hata hilo hukuona?
Ndio ndumba zenyewe hizo Ile ya kugonga mwamba kweli ilikuwa chuma ile
 
Mkuu na Simba hiyo Mbovu sio ajabu ukashangaa wako robo.Kuna wakati inaweza sema mpira ni mchezo Fulani ambao hauweleki hivi.Timu mzuri inapigwa Mbovu inatembea.
 
Ikitaka kujua uchawi upo check vzr game ya leo ya tp mazembe na mamerods masandawane wamekosa goli mbil za waz zinagonga mwamba
 
Teh teh teh
FB_IMG_1701528064105.jpg
 
Ama kweli la kuvunda alisikiii ubani, Simba kakutana na timu ya ovyo kabisa lakini wanatia huruma!

Napata mashtaka awa jwaneng walimfungaje whydad? Nilisikia mashabiki wa whydad walisema jwaneng walishinda kwa ndumba naanza kuamini kwa ninachokiona uwanjani!

Mechi hii Simba alitakiwa ashinde si chini ya goli 2 za maana lakini kutokana na uwezo wao mdogo ndio ivyo ni aibu hii[emoji848]
kwahyo walitumia ndumba kwa wydad ila kwa simba ni uwezo wa simba mdg ? waafrika tuwe makin na maneno yetu
 
Ama kweli la kuvunda alisikiii ubani, Simba kakutana na timu ya ovyo kabisa lakini wanatia huruma!

Napata mashtaka awa jwaneng walimfungaje whydad? Nilisikia mashabiki wa whydad walisema jwaneng walishinda kwa ndumba naanza kuamini kwa ninachokiona uwanjani!

Mechi hii Simba alitakiwa ashinde si chini ya goli 2 za maana lakini kutokana na uwezo wao mdogo ndio ivyo ni aibu hii[emoji848]
Kweli wenye uwezo mkubwa yanga wamempiga al ahly 5 taifa na wanaongoza kundi.
 
Kweli wenye uwezo mkubwa yanga wamempiga al ahly 5 taifa na wanaongoza kundi.
Kwaiyo unalinganisha kiwango Cha Aly ahly na hao makirikiri?? Unacheza na timu ya ovyo iyo unashindwa kuifunga? Mpira Gani mmecheza huo aisee!
 
kwahyo walitumia ndumba kwa wydad ila kwa simba ni uwezo wa simba mdg ? waafrika tuwe makin na maneno yetu
Umeangalia mpira tofauti labda na tulioungalia sisi, Aina ya mpira walioucheza Simba na ukubwa wake wote na aina ya wachezaji walionao ukilinganisha na jwaneng ni aibu kutoa droo na timu ya aina Ile, Kama wameshindwa kupata point kwa jwaneng hii watazipata kwa timu Gani sasa?
 
Hujui mpira wewe,ha a jamaa wanajua kujilinda ...ogopa sana kucheza na Timu aina hii,unawexa kulia!
Sio kweli hiyo team hata kujilinda sio nzuri sana mbna simba walikua wana wafungua mpka wanaingia kwenye box lao? Hiyo Tim ni mbovu sana
 
Ikitaka kujua uchawi upo check vzr game ya leo ya tp mazembe na mamerods masandawane wamekosa goli mbil za waz zinagonga mwamba

Mamelodi kufungwa sio ajabu, ajabu timu za kaskazini especially wydad, al ahly au raja na Esperance, hawa magiant wenye makombe yao ndio ajabu, Sasa huyo mamelodi si wa juzi tu nae ameanza kuwa na ka kiburi!
 
Back
Top Bottom