Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

Mtu kuamua kuwa mchepuko wa mtu utasema yamekufika?? Ni maamuzi binafsi tu..
Nina maana kwamba kupenda(pamoja na mambo mengine ya kiuchumi) ndiko kunaweza kumfika mtu akaingia kwenye mchepuko bila kujitambua. Wahenga walisema Mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…