Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nahis kuibiwa babe ake
babe ake mimi.... kuwa na amani. haibiwi mtu hapa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahis kuibiwa babe ake
babe ake mimi.... kuwa na amani. haibiwi mtu hapa.....
hapana nitamfundisha mwenyewe
cc mamaafacebook
nimeshapata mwalim asante kwa msaada wako
Ucjl mamaafacebook....najua kwenye advance level utanihitaji tu...nipo usiniogope jmn...
Nina maana kwamba kupenda(pamoja na mambo mengine ya kiuchumi) ndiko kunaweza kumfika mtu akaingia kwenye mchepuko bila kujitambua. Wahenga walisema Mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo..Mtu kuamua kuwa mchepuko wa mtu utasema yamekufika?? Ni maamuzi binafsi tu..
Afadhali umejijibu kabisa mana nlitaka nkuambie hilo
Ndio maana vijana wanapata taabu kukamata nchi!!!
Hayo yako sasa tena mengine na mapya kabisa
Ndio maana vijana wanapata taabu kukamata nchi!!!
Huyo mzee mwenzangu hatujakutana barabarani! Ndio maana najiuliza inakuwaje mwenzangu yeye anazidi kuwa kijana katikati ya uzee!
Huyo mzee mwenzangu hatujakutana barabarani! Ndio maana najiuliza inakuwaje mwenzangu yeye anazidi kuwa kijana katikati ya uzee!
Abiria nachunga mzigo wangu babu weeeee