Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #81
Huu ndo uanaume sasaKwanini nisubiri afike huko?
Niliposikia kauli zake tu kana kwamba anajikuta anauwezo wa kunimudu nikapeleka mashambulizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndo uanaume sasaKwanini nisubiri afike huko?
Niliposikia kauli zake tu kana kwamba anajikuta anauwezo wa kunimudu nikapeleka mashambulizi
No comment 😂😂Wanaopenda Big Nyash na Big Body wanakutana sana na vichapo hasa mwanaume akiwa na kamwili kadogo
🤣🤣😂Samahani kama nimeziumiza...
Chai .hivi we jamaaa unatuonaje lakini.Kuna mmoja alikua anashushiwa sana kisago na mkewe ndani kimya kimya, Jamaa akachoka kuchezea mkongonto ikabidi aseme kwa rafiki yake jinsi mke wake anavyomshushia kipigo
Basi jamaa baada ya kuambiwa akamshauri rafiki yake leo kagombezane na mkeo mchana kisha utoke nduki alafu uje tushinde wote huku, jamaa akafanya kama alivyoambiwa, alipotaka kushushiwa kichapo akatoka balu mpaka kwa rafiki yake wakashinda wote mpaka usiku
Ilivyofika saa 4 usiku jamaa akampa mchoro kua tunaenda wote mpaka nyumbani kwako unabisha odi mke akifungua tu we bana nje mi napita nae mzima mzima nashusha kichapo kimya kimya, ikawa hivyo jamaa akapita nae akashusha kichapo cha gizani kibatari kishazimshwa kitambo piga sana mpaka mwamke akapiga kelele jamaa ikabidi atoke ili mme aingie nda i, mme alivyofika akaanza maneno uwa nakuacha tu sasa leo nakuua nimechoka kua unanidhalilisha, majirani kuja wakakuta mke kachapika kachakaa kweli wakaanza kusuluhisha, yakaisha mke akatia adabu akakoma kumnyanyulia mkono mmewe
Kanifanya nicheke sana huyu jamaaChai .hivi we jamaaa unatuonaje lakini.
Mm hat unifungie ndani siku nzima na mwanamke simgusi... Mkuu mimi ni mtu mwingine kabisa...Sawa ila hakufaham na sitamwambia mkuu. Koloni lazima lilindwe Kwa gharama yyte
Hakuna kuingiliwa koloni la mwenzako
Berlin conference 1884
Unaoa dogo dogo slim fiti, roho yako ikiwa imejaa 'hila' ya kula na mifupa maana ndicho ulichokuwa umekifocus kwenye sifa zako unazozipenda katika kuchagua na sasa Mungu kakupa ukipendacho.Hakikisha mwanamke unaye muoa unamuweza kivyovyote bila hivyo atakutwanga kimasikhara.
Kinadharia Mwanamke wako lazima akujaribu utake na usitake
Shida ya kupigana na mwanamke unaweza kuua kabisa.Kuna mmoja alikua anashushiwa sana kisago na mkewe ndani kimya kimya, Jamaa akachoka kuchezea mkongonto ikabidi aseme kwa rafiki yake jinsi mke wake anavyomshushia kipigo
Basi jamaa baada ya kuambiwa akamshauri rafiki yake leo kagombezane na mkeo mchana kisha utoke nduki alafu uje tushinde wote huku, jamaa akafanya kama alivyoambiwa, alipotaka kushushiwa kichapo akatoka balu mpaka kwa rafiki yake wakashinda wote mpaka usiku
Ilivyofika saa 4 usiku jamaa akampa mchoro kua tunaenda wote mpaka nyumbani kwako unabisha odi mke akifungua tu we bana nje mi napita nae mzima mzima nashusha kichapo kimya kimya, ikawa hivyo jamaa akapita nae akashusha kichapo cha gizani kibatari kishazimshwa kitambo piga sana mpaka mwamke akapiga kelele jamaa ikabidi atoke ili mme aingie nda i, mme alivyofika akaanza maneno uwa nakuacha tu sasa leo nakuua nimechoka kua unanidhalilisha, majirani kuja wakakuta mke kachapika kachakaa kweli wakaanza kusuluhisha, yakaisha mke akatia adabu akakoma kumnyanyulia mkono mmewe
Wengi huwa inakuwa hivyo aseeUnaoa dogo dogo slim fiti, roho yako ikiwa imejaa 'hila' ya kula na mifupa maana ndicho ulichokuwa umekifocus kwenye sifa zako unazozipenda katika kuchagua na sasa Mungu kakupa ukipendacho.
Kafika ndoani, sijui umemlisha nini, kafutuka ghafla huyoo kawa bonge kweli kweli, ana kg120, wewe huongezeki ni hizo hizo65 zako na miaka inaenda!
Ngumi hazijui, yeye ni mtaalamu wa WWE na meno tu.
Sasa hapo mzee jipange mnapogombana, hasa ukiona anapenda kukimbilia kukuzoa, ipo siku waweza piga kelele kuomba msaada ukiwa mavumbini umekandamizwa na tanganyika jeck maana dhiki hainaga ujanja.
Ukiamua upigane kiume na mkeo, fanya hivyo huku ukiwaza na ya jela, maana wanawake sheria za nchi hii zinawabeba sana.
Ubaya wa wanawake huwa haangalii wapi akukung'ute wenyew popote tu kinawaka asee. Anaweza kukuta hata bar akakipa haki yakoNinao shangazi zangu nane wote wanajuaga kuwatembezea waume zao kichapo sio poa sijui wana gine za kiume wale.