Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Asee hii dhambi itamtafuna mtu hapa mtu ameficha haki ya mtu , alafu mtu unakuwa na majanga kibao unaanza kukuuliza nmekosea wapi kumbe umehide haki ya mtu
 
💯.
 
Kuna kubadilisha mbegu. Unao mtoto mkali, anazaa watoto wote ni vilaza tu. Hapo unaona unazika vipaji vyako, unaenda nje utafute wa kunusuru uzao wako
Una uhakika gani kwenye ukoo wenu hamna vilaza😂 unakuta wewe ndo chimbuko la vilaza na unaenda kuwaongeza tena huko nje.
Mtoto akiwa na akili ni wa baba ila kilaza ni wa mama au sio😂
 
Hapa tatizo ni umaskini.
Mtoa Mada apambane kuondoa umasikini Mimi Nimelelewa na Mama tu lakini kula kuvaa kusoma shule za maana Ilikuwa uhakika so Umasikini ndo unaondoa Akili yaani nashangaa Sana hapa Tz Mtu anashindwa kulea mtoto mmoja au wawili ambao hata hawana Matatizo yoyote ya kiafya hi nchi yetu masikini kila kitu
 
Sio wote wako irresponsible Kwa watoto wao , wengine wamezaa nje na mtoto wa nje anakuwa treated the Same ni Bora uchukue mtoto kutoka Kwa mama yake akiwa KATIKA umri wa kuanza la kwanza yaan6-7 years na likizo unampeleka Kwa mama yake mwezi mzima inakuwa Haina TATIZO ,ila ukimchukua akiwa 2-5years hapo ndio shida hutokea mara nyingi
 
Mngekuwa na akili hizi muda wote dunia isingekuwa na single maza
 
Hivi wewe mbona uko obsessed sana na whatever I post here?
Hivi huwa unasomaga kweli kinachoandikwa ? Hii ni story ya kweli inayohusu family flani na sio story yangu kama unavyolazimiza.
Uko stressed sana tafuta dawa ya tatizo lako kabla haijawa too late. Kwanza mhaya gani huna maisha?
Manyanza huyu vipi ?? Hebu mpatie nasaha za namna ya ku behave kiume.
Hii ni mental case I can't handle.
 
Sasa unarekebisha kwa mkeo unaumiza damu yako? Au kwa vile mtoto ni minor hajui kujitetea?
Na mnavyozungukwa mke anakwambia mlete tu nitalea kumbe lengo lake ni kuepuka ww kuwasiliana na mchepuko na hana Mapenzi na mwanao.

Naongelea source. Ilikuwaje mpaka ukazaa nje? Kwann usinavoid if possible?
 
Ni kweli ila wanaume wengi hutumia nguvu kuiunganisha familia wakiamini wamesolve tatizo kumbe ndio wanazidisha tatizo. Mtoto kupokelewa na mke ni rahisi ila kuishi nae kwa upendo sawa na wanae wa kuwazaa ni changamoto.

Ni kweli ni changamoto. What if linaepukika? What if usizae nje at first place?
 
Unajua wanawake wa ktz wanapenda sana kuzaa sana Yaan yeye ni kuzaa tu ilimradi Kazaa watoto riziki itakuja mbele kwa mbele watoto wanaishia kuteseka

Wengine wanazaa kuwakomoa wake za ndoa
Ndio apate mke mwenyewe hata hajali sarakasi zao mbona atatamani amle huyo mtoto[emoji23]
 
Wengine wanazaa kuwakomoa wake za ndoa
Ndio apate mke mwenyewe hata hajali sarakasi zao mbona atatamani amle huyo mtoto[emoji23]

Inatokea pia wanaolewa baada ya wake kuachika ila ni bahati nasibu na kujitesaa mno
Wapo waume za watu wnaatunza watoto wao wa nje sana Ila wachache mno
Ila wanawake wa kitz wanapenda mno kuzaaa hovyo na kila mtu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…