Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

Kuowa mwanamke aliezaliwa 85+ akiwa hana bikira ni upumbavu wa hali ya juu, japo inawezekana akawa mke bora kwa kumtengeneza.
.
Naamini hata wewe uliolewa ukiwa huna bikra au bado haujaolewa na haipo tena imeliwa na panya ndio maana unaona haina umuhimu.
.
Bikra ni heshima na inshara ya kujitunza, mwanamke bikira anatamba kama Simba awapo nyikani
Nimejbu kulingana na swali brother

Mimi ninayo na sijaolewa,je wewe unayo!?
Usije sema upumbavu na wakati huo wewe mwenyewe upo kwenye Hilo kundi la upumbavu

Note:Mada niliyoleta sijaihusianisha na mambo ya bikra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walio wengi kweli hawana akili za kuishi na wanawake, eti mwanaume ananuna eti kamnunia mkewe huyo ana akili kweli? Wapo mpaka kugegeda wanasusa [emoji31] [emoji31] [emoji31]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwwnye kususia mbunye umedanganya[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejbu kulingana na swali brother

Mimi ninayo na sijaolewa,je wewe unayo!?
Usije sema upumbavu na wakati huo wewe mwenyewe upo kwenye Hilo kundi la upumbavu

Note:Mada niliyoleta sijaihusianisha na mambo ya bikra

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume hana bikira na hajawahi kuwa nayo nitake radhi mara moja ndipo tuendelee na hoja juu ya hoja.
.
Ni sawa na mwanamke kutokuwa na kibakio
 
Maono bila kumiliki ni pesa ni sawa nakujificha kwenye shamba la karanga ....tafuta pesa

#bamia_ndefunene
 
Yani hivi vitu vyote ulivyoandika havifanyi kazi kwa sasa kila mwanamke ni mdangaji mjini ukikosa pesa hawezi kukaa na we ndo mana wengi tunaishia kuzaa nao mahusiano hayadumu wanawake ndo chanzo
 
Walio wengi kweli hawana akili za kuishi na wanawake, eti mwanaume ananuna eti kamnunia mkewe huyo ana akili kweli? Wapo mpaka kugegeda wanasusa [emoji31] [emoji31] [emoji31]

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea kama unapewa nyapu mpaka mtu ajisikie si unapoteza mzuka naye

#bamia_ndefunene
 
Kwa kuwa umeandika mwanamke siwezi kupinga,
Lakini nikukumbushe kwamba ndoa zinazotokea ikiwa mwanaume ana kila kitu huwa zinakuwa na migogoro sana..mfano ndoa ya adam na eva
 
Hivi mwanaume anakosaje mtu wa kuoa? Mambo mengine ya ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunakosa kwani wanawake wa kuoa wapo wachache sana..kuwa mwanaume uyaone..

Mfano mtu anakuoa mwanamke kama wewe Khantwe hapo tunasema ameoa au amejitafutia matatizo..
Kuishi na mwanamke ndani ya nyumba sio ndio tafsiri ya kuoa kwani hata house girl unaweza kuishi naye ndani ya nyumba na mzigo ukawa unakula
 
Nimejbu kulingana na swali brother

Mimi ninayo na sijaolewa,je wewe unayo!?
Usije sema upumbavu na wakati huo wewe mwenyewe upo kwenye Hilo kundi la upumbavu

Note:Mada niliyoleta sijaihusianisha na mambo ya bikra

Sent using Jamii Forums mobile app

Uwe na adabu wewe mwanamke,huwezi kumuuliza mwanaume kama ana bikira!!!
Ndio wanawake wa kuoa nyie..
Kwenye mada yako hapo sisi wanaume kwa kutumia akili na jicho la tatu tunaona umeandika

1 pesa
2 pesa
3 pesa
4 pesa
 
Tunakosa kwani wanawake wa kuoa wapo wachache sana..kuwa mwanaume uyaone..

Mfano mtu anakuoa mwanamke kama wewe Khantwe hapo tunasema ameoa au amejitafutia matatizo..
Kuishi na mwanamke ndani ya nyumba sio ndio tafsiri ya kuoa kwani hata house girl unaweza kuishi naye ndani ya nyumba na mzigo ukawa unakula
Hahaha boss what's wrong with me?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom