Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna complicate coz ,maisha baada ya ndoa kwa asilimia kubwa yanakua chini ya mwanaume so lazima tutafute wasadizi wa kueleweka,wenye maadili,hofu ya Mungu na vitu km hvyo, Nyie mnachukulia simple tuu kuitwa mke wa Fulani coz unajua ukishaolewa ,utanyanyua miguu juu umuachie mwanaume majukumu ya familia na kukutunza ww,
Sasa si ndio jukumu lakeTuna complicate coz ,maisha baada ya ndoa kwa asilimia kubwa yanakua chini ya mwanaume so lazima tutafute wasadizi wa kueleweka,wenye maadili,hofu ya Mungu na vitu km hvyo, Nyie mnachukulia simple tuu kuitwa mke wa Fulani coz unajua ukishaolewa ,utanyanyua miguu juu umuachie mwanaume majukumu ya familia na kukutunza ww,
From profile picture to proper future
Fala ww ,Hahahaaa nimeona alivo ku quote na upuuzi wake, ukaona umuache kama alivo.
Nimemtest mitambo yake, nikaona kweli kichwa panzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ndo jukumu lake ,ndo maana anafanya maandalizi ya kutosha ,n pia anakua makini katika kutafuta mke ,coz anajua akichukua mwanamke mpumbavu ,ataenda kumpa stress na matatizo katika ndoa ,wanawake mnatakiwa muelewe ,mwanaume ana mambo mengi ya kufanya ktk ujenzi wa familia so atahitaj msaidizi ambaye atakua ana MPA hope na sio hawa mme yuko kazini naye anaenda kuliwa huko,....MNA tudis appoint kw a vitu vingi n vile tuu huwez kujua
Hahaha boss unatiririka yamekukuta nini?Yeah ndo jukumu lake ,ndo maana anafanya maandalizi ya kutosha ,n pia anakua makini katika kutafuta mke ,coz anajua akichukua mwanamke mpumbavu ,ataenda kumpa stress na matatizo katika ndoa ,wanawake mnatakiwa muelewe ,mwanaume ana mambo mengi ya kufanya ktk ujenzi wa familia so atahitaj msaidizi ambaye atakua ana MPA hope na sio hawa mme yuko kazini naye anaenda kuliwa huko,....MNA tudis appoint kw a vitu vingi n vile tuu huwez kujua
From profile picture to proper future
Siku izi ndoa imebaki kwa wenye wito hata waenda kwa waganga wamepunguaMwanaume hawezi Kosa Mtu wakuoa, hii Mindset Kwamba Wanawake ndiyo Wanaamua ndoa, Wanawake inafaa waifute Kama Wanataka Kuolewa otherwise Wataishia Kwa Waganga Kutafuta ndoano sio ndoa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaahahh Hamna ila na experience kutoka kwa watu wangu wa karibu....
Shkuru wew n material sasa katka jamii ukipiga sensa hyo material utampata 1 katika mia....so utakuwa wa kumbembeleza magume utachoka tuuUr right,,,,wanaume wengine maono,,,,akili hawana, JAMANI ata kubembeleza [emoji50]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah haha
Na wanaooa wengi wana vyote hapo juu!Sio ajabu wanawake siku hizi n majanga wana mambo mengi kuliko sisi..ndio maana tunajifanya kutumia muda mwingi eti kumpata mtu sahihi mwisho wa siku tunaangukia pua. Jiulize pia mbona ndoa nyingi zinavunjika pia?
Pesa sindio inarahisisha maisha, na wao hawataki tabu kabisaaa...chuma ulete tutumbue ubaya wanachoharibu wanakosaga adabu at the end. Mie chaguo langu la mke wa kuoa ni yule anaejitegemea na still aweze kuwa na adabu. Huyo naoa anyitime vigezo na masharti kuzingatiwa lakini.Hongera umeandika kweli hivyo ni kwa wale wanawake wema au prudent wife ndio wanaangalia hivyo vigezo.Ila wanawake wapumbavu wanaangalia 1.PESA.2.PESA.3.PESA.4.PESA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa kisasa wana ndoto za ajabu kweli aisee, yani we uwe jentromeni yeye adange ila usimuingilie kwenye shughuli zake umuhudumie tu kama kawaida.Sasa utatulizaje kichwa kwa mdangaji, wengi wenu tamaa nyingi,tuu
From profile picture to proper future
A Big Amen with thanks [emoji3526][emoji120]Ni moja kati ya thread ya maana sana niliyowahi kuisoma tangu mwaka uanze good massage mtoa mada. Big up & stay blessed!
Sent using Jamii Forums mobile app
It doesn't matter my brotherWanaoangalia vitu vyote hivyo hata bikra hawana shubahamit.
Kuowa mwanamke aliezaliwa 85+ akiwa hana bikira ni upumbavu wa hali ya juu, japo inawezekana akawa mke bora kwa kumtengeneza.It doesn't matter my brother
Waweza uwe nayo au usiwe nayo ,what matters ni mtazamo wako juu ya hayo mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasusa sabb wanawake wengi wanagegedwa nje ya ndoa ndo maana wanaume wanasusaWalio wengi kweli hawana akili za kuishi na wanawake, eti mwanaume ananuna eti kamnunia mkewe huyo ana akili kweli? Wapo mpaka kugegeda wanasusa [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Sent using Jamii Forums mobile app