Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

Kwenu Wanaume: Vitu vichache wanavyoangalia Wanawake kabla hajaruhusu umuoe ama kujenga uchumba wa kudumu

Sio kila mtu atataka kukwambia juu ya kazi yake i.e Upo UNHCR au IOM huwezi anza mwambia tu mdada ambae una malengo nae unless unataka ipendwe IOM au UNHCR
 
Sio kila mtu atataka kukwambia juu ya kazi yake i.e Upo UNHCR au IOM huwezi anza mwambia tu mdada ambae una malengo nae unless unataka ipendwe IOM au UNHCR
Sio lazima umwambie
Ataona tu mwenyewe...
Kuhusu kazi yaani sio lazima iwe ya ofisini .. sehemu yoyote ile,hata nyumbani pia Mwanaume unaeza fanya Kaz km kulima,haijalishi inakuingizia Kisi gani Cha pesa ila tu usikae idle
 
Habarini , hopefully mpo salama

Kumekuwa na malalamiko mengi hasa wakaka wanalalamika kutopata wenza ama wachumba sahihi
Wachumba wengi wamekuwa pasua kichwa[emoji27][emoji27]

Kwa dada/mwanamke aliyekamilika atazingatia yafuatayo:-

1 .Kazi
Mwanamke kabla hajaamua kujenga malengo na wewe ataangalia kwanza nini unafanya
Kwa hiyo kitu unachofanya Ni muhimu Sana katika kujenga mahusiano yaliyo mema

Rejea kwa Adamu,Mungu alimpa Adamu kazi ya kuitunza bustani ya edeni
Alimpa Adamu bustani ya Edeni ailime na kuitunza
Baadaye ndipo alipomfanyia msaidizi wa kufanana nae.Adamu hakupewa mwanamke kwanza kabla ya kupewa kazi Bali alipewa kazi ndipo akapewa mwanamke

Mwanzo2:15
Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu,akamweka katika bustani ya Edeni,ailime na kuitunza

Mwanzo2:18-25
Hapa Mungu anamtwaa mwanamke katika ubavu wa Adamu

2 .Maono
Una Maono gani juu ya maisha !?
Mithali23:7
"Maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
Maono Ni Kama framework ya kila kitu unachokifanya
The more you see the more u succeed
Usipobadili unavyojiona huwezi badili unavyoishi.maono hutofautisha mtu mmoja na mwingine

Mith 29:18@
Pasipo Maono watu hushindwa kujizuia

Wanawake wengi pia huangalia
mwanaume aliye na maono,bila Maono huwez panga vizuri namna gani uishi.,lipi ufanye lipi usifanye


3.Akili
"Ishi na mwanamke wa akili"kifungu nitaleta.
Wanaume wengi hawana akili kabisa ya kuishi na mwanamke
Imeandikwa mwanamke ishi nae kwa akili

Wengi hawajui kuishi na wanawake kwa akili,matokeo yake Ni mahusiano kuvunjika

Jitahidi mnapoomba ombeni pia akili za kuishi na mwanamke kwa akili

4.upendo
Mwanamke anahitaji upendo
Anahitaji kupendwa haswaa
Wanawake tunapenda wanaume wanaotupenda kwa dhati .katika upendo Kuna mambo mengi..Kuna uvumilivu,upendo haujivuni,haujisifu,hautakabari,haukosi kuwa na adabu,haufurahii udhalimu,hustahimili yote,hufurahi pamoja na kweli nk

Ukiona mwanamke amefanya kitu ambacho si kizuri
Unashindwa kumuelekeza unakaa kimya Basi wewe huna upendo

Ukiwa na upendo hutaweza mdharirisha mwanamke wako kwa namna yoyote (kuwa na Adabu ambayo Ni moja ya sifa za upendo)


Itaendelea
Nawapenda[emoji8]View attachment 1005565

Sent using Jamii Forums mobile app
5.NGUVU ZA KIUME.maelezo toweni wenyewe wanawake Mimi nitawazidishia dozi bureee
 
Habarini , hopefully mpo salama

Kumekuwa na malalamiko mengi hasa wakaka wanalalamika kutopata wenza ama wachumba sahihi
Wachumba wengi wamekuwa pasua kichwa[emoji27][emoji27]

Kwa dada/mwanamke aliyekamilika atazingatia yafuatayo:-

1 .Kazi
Mwanamke kabla hajaamua kujenga malengo na wewe ataangalia kwanza nini unafanya
Kwa hiyo kitu unachofanya Ni muhimu Sana katika kujenga mahusiano yaliyo mema

Rejea kwa Adamu,Mungu alimpa Adamu kazi ya kuitunza bustani ya edeni
Alimpa Adamu bustani ya Edeni ailime na kuitunza
Baadaye ndipo alipomfanyia msaidizi wa kufanana nae.Adamu hakupewa mwanamke kwanza kabla ya kupewa kazi Bali alipewa kazi ndipo akapewa mwanamke

Mwanzo2:15
Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu,akamweka katika bustani ya Edeni,ailime na kuitunza

Mwanzo2:18-25
Hapa Mungu anamtwaa mwanamke katika ubavu wa Adamu

2 .Maono
Una Maono gani juu ya maisha !?
Mithali23:7
"Maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
Maono Ni Kama framework ya kila kitu unachokifanya
The more you see the more u succeed
Usipobadili unavyojiona huwezi badili unavyoishi.maono hutofautisha mtu mmoja na mwingine

Mith 29:18@
Pasipo Maono watu hushindwa kujizuia

Wanawake wengi pia huangalia
mwanaume aliye na maono,bila Maono huwez panga vizuri namna gani uishi.,lipi ufanye lipi usifanye


3.Akili
"Ishi na mwanamke wa akili"kifungu nitaleta.
Wanaume wengi hawana akili kabisa ya kuishi na mwanamke
Imeandikwa mwanamke ishi nae kwa akili

Wengi hawajui kuishi na wanawake kwa akili,matokeo yake Ni mahusiano kuvunjika

Jitahidi mnapoomba ombeni pia akili za kuishi na mwanamke kwa akili

4.upendo
Mwanamke anahitaji upendo
Anahitaji kupendwa haswaa
Wanawake tunapenda wanaume wanaotupenda kwa dhati .katika upendo Kuna mambo mengi..Kuna uvumilivu,upendo haujivuni,haujisifu,hautakabari,haukosi kuwa na adabu,haufurahii udhalimu,hustahimili yote,hufurahi pamoja na kweli nk

Ukiona mwanamke amefanya kitu ambacho si kizuri
Unashindwa kumuelekeza unakaa kimya Basi wewe huna upendo

Ukiwa na upendo hutaweza mdharirisha mwanamke wako kwa namna yoyote (kuwa na Adabu ambayo Ni moja ya sifa za upendo)


Itaendelea
Nawapenda[emoji8]View attachment 1005565

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOT
Hivyo vyote ninavyo ila huu Mwaka Wa tatu namtafuta Wa kuoa ila wote nao wapata wadangaji,,,kila ninaekutana nae kitu cha kwanza kuniuliza ni Kazi ninayofanya,,,Mfano nilipataga binti mmoja tukawa tunawasiliana vizuri ila akawa anasema yupo busy sana ila siku niliyomwambia nafanya Kazi gani siku hiyo hiyo alitaka tuonane na aje napoishi nikapiga chini,,,,,,nachotaka kusema nikuwa wanawake wanaotaka kuolewa in wengi mno ila wenye sifa za kuolewa ni wachache mno
 
Hivyo vyote ninavyo ila huu Mwaka Wa tatu namtafuta Wa kuoa ila wote nao wapata wadangaji,,,kila ninaekutana nae kitu cha kwanza kuniuliza ni Kazi ninayofanya,,,Mfano nilipataga binti mmoja tukawa tunawasiliana vizuri ila akawa anasema yupo busy sana ila siku niliyomwambia nafanya Kazi gani siku hiyo hiyo alitaka tuonane na aje napoishi nikapiga chini,,,,,,nachotaka kusema nikuwa wanawake wanaotaka kuolewa in wengi mno ila wenye sifa za kuolewa ni wachache mno[/QUOTE]
 
Hivyo vyote ninavyo ila huu Mwaka Wa tatu namtafuta Wa kuoa ila wote nao wapata wadangaji,,,kila ninaekutana nae kitu cha kwanza kuniuliza ni Kazi ninayofanya,,,Mfano nilipataga binti mmoja tukawa tunawasiliana vizuri ila akawa anasema yupo busy sana ila siku niliyomwambia nafanya Kazi gani siku hiyo hiyo alitaka tuonane na aje napoishi nikapiga chini,,,,,,nachotaka kusema nikuwa wanawake wanaotaka kuolewa in wengi mno ila wenye sifa za kuolewa ni wachache mno
[/QUOTE]
True story bro, na kwa kuwa wengi ni pasua kichwa basi yafaa kuchagua anaeridhisha kimvuto tu. Piga mimba upate chalii wako wa ukweli damu yako kisha unalea bila stress za kumuoa mama yake.

Wanawake wengi sikuhizi wako kimaslahi sio ki upendo wa dhati. Ikiwa tu kuna kitu anaona atanufaika nacho toka kwako basi anakukubalia fasta umfanye mke hasa wengi wanatafta unafuu wa maisha, akishaolewa tu anajisahau kabisa. Ubaya siku hicho alichofata kikawa hakipo utaomba ardhi ipasuke udumbukie ndani.
 
umesahau mwanaume mashineee... kuna vchwa viko sex addict ye akichapwa vzuri mkwaju hawazi hela yako.. dizain hyo wengi watafutaji teh teh...
Mwanamke wa hivyo ambaye huwa hawazi hela ya kidume kabisa huwa ni mvumilivu sana kwenye mahusiano na hababishwi na tamaa za kishamba kama wale omba omba type.

Yeye focus ni umuoneshe mapenzi umkaze freshi tu anafurahia mahusiano na hii ndio aina ya mwanamke ambaye wengi tunaota kuwapata ila tunaishia kuwapata wale wa tuma na ya kutolea, kuwalipia kodi, saluni na ada za vyuo!🤣🤣🤣
 
Sasa utatulizaje kichwa kwa mdangaji, wengi wenu tamaa nyingi,tuu

From profile picture to proper future
🤣🤣🤣🤣🤣 narudia tena, mkataba wako na mpenzio ni mapenzi tu...Huduma kila mtu akapewe na mzazi wake ama ajitafutie.

Mwanamke asie na akili ya kujitaftia ni mzigo duniani mpaka mbinguni na hafai kuwa mke...acha adange mpaka awe bibi!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] narudia tena, mkataba wako na mpenzio ni mapenzi tu...Huduma kila mtu akapewe na mzazi wake ama ajitafutie.

Mwanamke asie na akili ya kujitaftia ni mzigo duniani mpaka mbinguni na hafai kuwa mke...acha adange mpaka awe bibi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivyo vyote ninavyo ila huu Mwaka Wa tatu namtafuta Wa kuoa ila wote nao wapata wadangaji,,,kila ninaekutana nae kitu cha kwanza kuniuliza ni Kazi ninayofanya,,,Mfano nilipataga binti mmoja tukawa tunawasiliana vizuri ila akawa anasema yupo busy sana ila siku niliyomwambia nafanya Kazi gani siku hiyo hiyo alitaka tuonane na aje napoishi nikapiga chini,,,,,,nachotaka kusema nikuwa wanawake wanaotaka kuolewa in wengi mno ila wenye sifa za kuolewa ni wachache mno
[/QUOTE]Pole Sana
 
Mwanamke wa hivyo ambaye huwa hawazi hela ya kidume kabisa huwa ni mvumilivu sana kwenye mahusiano na hababishwi na tamaa za kishamba kama wale omba omba type.

Yeye focus ni umuoneshe mapenzi umkaze freshi tu anafurahia mahusiano na hii ndio aina ya mwanamke ambaye wengi tunaota kuwapata ila tunaishia kuwapata wale wa tuma na ya kutolea, kuwalipia kodi, saluni na ada za vyuo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa wana mnataka kodi alipe mwingine, saluni alipie mwingine, nguo nzuri amnunulie mwingine,unadhani ukigonga tissue atanunua nani za kufuta uchafu wako, je nani atanunua pedi?
wewe unataka jukumu la kugonga tu sasa kama ni hivyo demu wako au mkeo si utagongewa kizembe sana na waongaji?
Mwanamke mtu wa ajabu sana anataka vyote, game anataka ile ile na hela anataka,tuache uoga, haikwepeki.
 
Back
Top Bottom