Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Je kuhusu kiebrania/kiyahudi kuhusu hizo jinsia na hayo maneno?
 
Hapana, Umeandika Uongo

Biblia inasema kuwa wanapooana wanakuwa mwili mmoja, ni sawa

Haisemi kuwa wanaweza kuachana kwa Uzinzi...ILA inasema Mume na asimwache Mkewe isipokuwa kwa dhambi ya Uzinzi tu.

Wataka kubisha hilo?

Karibu.
 
Kwa bahati mbaya dini tumechukua kama hardware badala ya software ya maisha. Wakristo amri ni hii upendo. Mengine yote ni ice on the cake. Biblia inaposema kuacha mke au kuoa mke haisemi mke mmoja au wawili. Unapokuwa na wake
4 ukamuacha mmoja inakuwa umemuacha mke. Chochote ufanyacho zingatia amri ya upendo. Kama inakukwaza acha. Tatizo tumekuwa wabinafsi mno. Wanawake someni Isaya 4.1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudia tena kusoma chapisho langu nililokuquote hap juu. Nimeshaedit na kuongezea nyama... Nadhani na swali lako litakuwa limeshajibiwa kwenye hiyo addition...
Nicely, nimesoma ila haijawa straight kujibu swali langu

rai na ombi langu lilikuwa ni mstari au neno lipi katika Biblia linalomruhusu Mke aliyeolewa kumtaliki Mumewe kwasababu amezini.

Surely...u won't find that verse in the Bible.

Rather....Biblia inaagiza wanawake kuwaombea waume zao.
 
Hapana, Umeandika Uongo

Biblia inasema kuwa wanapooana wanakuwa mwili mmoja, ni sawa

Haisemi kuwa wanaweza kuachana kwa Uzinzi...ILA inasema Mume na asimwache Mkewe isipokuwa kwa dhambi ya Uzinzi tu.

Wataka kubisha hilo?

Karibu.
Sitaki kubishana aliye na masikio na asikie niliyoyaongea ambayo roho wa Mungu anawaambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Umewahi kujiuliza ni kwa nini kuran hairuhusu mwanamke kumposa mwanamume, ama kuolewa na wanaume wengi?
 
Sitaki kubishana aliye na masikio na asikie niliyoyaongea ambayo roho wa Mungu anawaambia

Sent using Jamii Forums mobile app
Roho wa Mungu anawaongoza watu kusema kile ambacho KAMWE hakipingani na Biblia Takatifu.

Hayo uliyoandika wewe hayatoki katika Biblia Takatifu ila ni Maoni yako

Wajua hilo?
 
Umewahi kujiuliza ni kwa nini kuran hairuhusu mwanamke kumposa mwanamume, ama kuolewa na wanaume wengi?
Hapana, sijawahi kujiuliza hilo Mkuu.
 
agata edward

Ndio ni Uzinzi..na Uzinzi ni Dhambi

Swali langu lilikuwa: Ni wapi katika Biblia inampa ruhusa Mke wa Ndoa kumuacha Mumewe kwasababu ya Uzinzi?

Wala nia yangu si kuhalalisha uzinzi.
Kuna comment umepewa majibu mbona.
 
Kuna comment umepewa majibu mbona.
Wewe umeona comment iliyoonesha Mstari wa Biblia unaompa Mke mamlaka ya Kumwacha au kumtaliki Mume wake kwa Uzinzi?

Hebu uquote hapa huo mstari.
 
Mimi naamini kuwa Uzito hauonekani kwa macho ila unapimika.

Wewe umeonaje?
Na mie sijazungumzia kuona kwa macho ila nimemaanisha kuwa hauhisi chochote kwenye nafsi yako pindi utamkapo hivyo?
 
Na mie sijazungumzia kuona kwa macho ila nimemaanisha kuwa hauhisi chochote kwenye nafsi yako pindi utamkapo hivyo?
Kwani ni organ ipi inayomwezesha mtu kuona?

Tuanzie huko kabla sijakujibu Sheikh.
 
Wanaume wanaotetea uzinifu na ufirauni aina yoyote dhidi ya wanawake ni wadhaifu na waoga.
Wanaume mashujaa hawako hivyo.
 

Attachments

Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ni organ ipi inayomwezesha mtu kuona?

Tuanzie huko kabla sijakujibu Sheikh.
Mi sitaki kwenda huko unapotaka,we umesema uzito hauonekani kwa macho hivyo maana yake kuna kuona tofauti na kutumia macho na ndiyo maana nikasema mie sijakusudia kuona kwa kutumia macho na nikafafanua nilichokusudia.
 
Wanaume wanaotetea uzinifu na ufirauni aina yoyote dhidi ya wanawake ni wadhaifu na waoga.
Wanaume mashujaa hawako hivyo.
Unaweza kuwa upo sahihi

Unaweza kunionesha mstari unaomruhusu Mke kumwacha Mumewe kwasababu ya Uzinzi?
 
Hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu.

Samson aliendelea kuwa mnadhiri wa Mungu hata baada ya kuzini na malaya. Nadhiri yake iliondoka baada ya kutaja asili ya nguvu zake.

Ni mke wa uzinzi wa Daud (siyo wake zake wa mwanzo) ndiye aliyemzaa Suleman.

Ni mke wa kurithi (siyo wake zake wa mwanzo) wa Boaz ndiye aliyemzaa Yese Baba yake Daud.

Suleman aliomba hekima ya kuwaongoza watu wake kwa haki. Naye Mungu akamjalia hekima, na utajiri pamoja na wake na watoto wengi (je, wake wengi ni baraka au zawadi?).

Wale wasimamao madhabahuni na milangoni mwa hekalu, wao na watoto wao, hawaruhusiwi kufanya ukahaba (je, wengine wanaruhusiwa?).

Ndoa haikuzungumziwa ktk agano jipya bali la kale. Katika agano la kale kuna ndoa tatu kwa kadiri ya torati:
1) Mke mmoja mme mmoja
2) Mme mmoja wake wengi
3) Ndoa ya kubaka. Ukimbaka msichana, mwanaume unaadhibiwa halafu uliyembaka anakuwa mke wako

Kwa kadiri ya biblia, ndoa ni nini? Ni tendo la ndoa, ni hati ya makubaliano au kiapo?

Mwisho wa yote, kumbukeni Mungu hupendezwa na wanyenyekevu kuliko wanaojihesabia haki hata kama matendo yao ni mema. Ndoa ni muhimu lakini siyo hitajio la kuingia mbinguni.

Mitume waliacha wake zao, wakaenda kulitangaza neno la Mungu. Kama ndoa ilikuwa ni muhimu kiasi tudhaniavyo, kwa nini Mungu aliruhusu mitume waache wake zao? Ndoa ni hitajio la Dunia, katika ufalme wa Mungu hakuna ndoa kati ya mwanadamu na mwanadamu bali kati ya Mungu na wanadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE="Azarel,

Enyi wake waombeeni waume zenu waishi kwa namna ya kumpendeza Mungu Muumbaji bila kuwaudhi ninyi ila msishindane na wanaume au kutafuta haki sawa na wanaume.

Hilo halitatokea hakika.


Wabillah Tawfiq,[/QUOTE]

MKUU ASANTE KWA SOMO ZURI LEO, NAOMBA HICHO KIPANDE NIPATE REF YA BIBLIA_ KIFUNGU YAMEANDIKWA HAYO? PLZ



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sitaki kwenda huko unapotaka,we umesema uzito hauonekani kwa macho hivyo maana yake kuna kuona tofauti na kutumia macho na ndiyo maana nikasema mie sijakusudia kuona kwa kutumia macho na nikafafanua nilichokusudia.
Kuna kuona vipi tena kusikohusisha macho sheikh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…