Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazungumzo ya kutafuta usingizi mkuu.Kwani mnazungumzia nini 😃😃😃
Niliwahi kutoka na manzi mmoja tall hivi ila nilimzidi urefu kidogo basi akawa ananiambia siku ya harusi yetu itabidi asivae mchuchumio eti atanizidi au tutakuwa sawa urefu akidai hatutapendeza nilikuwa nammaindi sana.Mwingine unakuta labda kakuzidi urefu harafu anaanza kukuuliza kwamba kumbe Mimi nakuzidi urefu unamwmuangalia anavyobabaika inaishia kumwambia ndio harafu Hana Cha kufanya 😂😂
Basi sawa nimekuelewa 😃Mazungumzo ya kutafuta usingizi mkuu.
Umesema vyema tupo vijana tunaojielewa 😊Basi sawa,,, nitalifikiria na hilo pia😊😌
sitaki kulelewa nataka mwanamke aliyenizidi umri😂Njoo nikulee totoo mshamba_hachekwi ufaidi mema ya nchi
Umesoma Cuba shem🏃🏃🤣Basi sawa nimekuelewa 😃
Wewe ni mshamba....alafu bado una miaka 25 wewe....subiria nanga ipaeTo be honest, siwezi date na mtu hata ambaye tunalingana umri, napenda my man awe amezidi walau kuanzia miaka 5 hivi hadi 10..tofauti na hapo better niendelee kuwa single 😌😌
Haya bhana😊🙌Umesema vyema tupo vijana tunaojielewa 😊
Utapunguza hadi sifuri... Penzi ni penzi, heshima ni heshima... Umri ni namba tuawe amenizidi miaka hata mi4 basi kama ndo hivyo 😃😂😂🙈
Ndio 😃😃Umesoma Cuba shem🏃🏃🤣
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🙌Utapunguza hadi sifuri... Penzi ni penzi, heshima ni heshima... Umri ni namba tu
🤣🤣Niliwahi kutoka na manzi mmoja tall hivi ila nilimzidi urefu kidogo basi akawa ananiambia siku ya harusi yetu itabidi asivae mchuchumio eti atanizidi au tutakuwa sawa urefu akidai hatutapendeza nilikuwa nammaindi sana.
Yeye anacheka anaona kama utani
Ila mwanangu fanya yote uwezayo mwanamke asikuzidi urefu aisee dharau sana 🤣🤣
tuishi tu kisela😂Papai bivu [emoji23][emoji23][emoji23]
Una hela?sitaki kulelewa nataka mwanamke aliyenizidi umri😂
nataka maskini mwenzangu tufulie wote😂Una hela?
Kama hauna we ni unalelewa tu
Powerful hands ni mojawapo ya mwili wa kiume, kila mtu ana preferences zake ila akiwekwa mwanaume mwenye powerful hands na mwanaume soft,wanawake more likely watachagua mwanaume mwenye powerful hands...ni security tu hamna linginemie nilijuaga mwili wa kiume ni TALL, DARK, and HANDSOME.
Kumbe hadi kuna POWERFUL HANDS jamaaaniiiiii mweeeh [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
My hands are so powerful, na vipi ukiwa MFUPII JEEEE,
tuishi tu kisela[emoji23]