Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yaani siku ukiwa unadate na uliyemzidi umri utashaangaa tu yaani ile hali ya kumheshimu kama kichwa inakujaga tu automatic iko naturally 😄Yani namaanisha ntakua namuona tu kama mdogo wangu...halafu ataniona simuheshimu😂😂