Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Siku moja uje tule bapa na tonic huku ukipata mdudu rosti🤣Sawasawa 😌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja uje tule bapa na tonic huku ukipata mdudu rosti🤣Sawasawa 😌
Ushawahi kudate aliyekuzidi umri sio😃😃Hivyo yaani naongea kwa uzoefu niliojionea 😀😀
Kwenye mdudu rosti hapo😋😋Siku moja uje tule bapa na tonic huku ukipata mdudu rosti🤣
Jamanii, sasa mimi na komwe langu hilii nikimtizama NYAU lazima atoke baru.mwanamke anapenda akitoka na wewe unaweza kumlinda hata akitaka kushambuliwa na watu au wanyama
Mwingine unakuta labda kakuzidi urefu harafu anaanza kukuuliza kwamba kumbe Mimi nakuzidi urefu unamwmuangalia anavyobabaika inaishia kumwambia ndio harafu Hana Cha kufanya 😂😂Kuna manzi nilikuwa nadate naye alinizidi umri lakini siku zote alikuwa yuko submissive kwangu yaani hilo liko naturally tu mkuu wameumbwa hivyo wanawake
kumbe we ni papai aisee dah😂My hands are so powerful,
Hapo umepata chuma sheikh 🤣🤣🤣Siku moja uje tule bapa na tonic huku ukipata mdudu rosti🤣
Muone 😂😂😂
Hahahah unamlavoo au sio🤣Kwenye mdudu rosti hapo😋😋
Ndio Leejay49 mwanamke akikuzidi umri kuna raha yake 😄Ushawahi kudate aliyekuzidi umri sio😃😃
Saaana😊Hahahah unamlavoo au sio🤣
Hahah nashukuru ka umeamua kuntunuku kabisa😀Hapo umepata chuma sheikh 🤣🤣🤣
Papai bivu [emoji23][emoji23][emoji23]kumbe we ni papai aisee dah[emoji23]
Worry not 🤣Saaana😊
Wanawake pekee ambao wanaweza kibali ku date na mwanaume aliyemzidi umri ni wale ambao wapo Kwa Ajili ya kula starehe hasa wamama na wengi wao wanakuwa wanajiweza na Wana watu wao ila wa kutolewa thubutu hawapo.Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia...
Basi sawa 😊🤗Worry not 🤣