Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Situmiagi hivyo...au yogurt basi lipia😊🙈Hahahah nikajua savannah unipe lipa number waiter akuongezee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Situmiagi hivyo...au yogurt basi lipia😊🙈Hahahah nikajua savannah unipe lipa number waiter akuongezee
Hahahah sasa hivyo si buku buku tu🤣 siku ukianza kunywa vinywaji changamfu vya elfu 4 au zaidi utanijuza.Situmiagi hivyo...au yogurt basi lipia😊🙈
Mbona hiyo kidogo? Hata miaka 20 tunakwenda nae tu bila ya wasi. Hofu iko kwenu wanaume munaoogopa akina mama mashangazi.Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?
asante kwa kunitia moyo😂Mbona hiyo kidogo? Hata miaka 20 tunakwenda nae tu bila ya wasi. Hofu iko kwenu wanaume munaoogopa akina mama mashangazi.
Ni kama mim navyokuzid wewe si ndio?Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.
Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.
Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.
Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.
Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?
Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?
Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.
NB: wanaume pia mnaruhusu kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.
To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
piga swaga mzee piga swaga😂Hahahah sasa hivyo si buku buku tu🤣 siku ukianza kunywa vinywaji changamfu vya elfu 4 au zaidi utanijuza.
Majangaa, 😁 😁 ,wanawake wanapenda security kwamba unaweza kum protect from harm, jitahidi at least uwe nacho kimoja bwana...😁sina 6 pack😂
Sijui labda kitokee nini😃😃,, baba amenikataza kunywa hivyo 🤣🤣🙈Hahahah sasa hivyo si buku buku tu🤣 siku ukianza kunywa vinywaji changamfu vya elfu 4 au zaidi utanijuza.
😋unakoelekea ni pazuriNi kama mim navyokuzid wewe si ndio?
mwili wa kiume ukojeSasa hela huna,mwili wa kiume unao?? au nao huna? [emoji16]
Hahahah acha bana🤣piga swaga mzee piga swaga😂
Hamna suala ni kama yuko mature enough ni vile haujawahi kujaribu ila age is just a numberUtoto mwingi, siwezi kulea jamani.
😂😂😂Yani haiwezekani na haitawai tokea.😋unakoelekea ni pazuri
Hahahah babaako anakukataza tena we utakuwa fomfoo bila shaka🤣Sijui labda kitokee nini😃😃,, baba amenikataza kunywa hivyo 🤣🤣🙈
Kisaikolojia wanapata shida kama tuu kuwa na mwanaume waliyemzidi urefu..Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.
Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.
Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.
Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.
Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?
Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?
Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.
NB: wanaume pia mnaruhusu kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.
To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
hongera😂Mimi wakati nina miaka 27 nilikuwa na mahusiano na mama mmoja wa kirangi yeye alikuwa na miaka 49 pale mtwara mjini, kiukweli yule mama alikuwa ananipenda sana kiukweli alinifanyia mambo mengi sana wakati huo sina ramani yakueleweka town,chakushangaza alikuwa ananiamkia nilikuwa nafurahi sana
Sawa. Ila mie wanipite mbaliHamna suala ni kama yuko mature enough ni vile haujawahi kujaribu ila age is just a number