Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

M enyewe simind lady alonizid umri elimu and financial . sijui umeona nini kwake. Once upon a time nlikutana na mmoja kanzidi just 4 months eti bila aibu andai nimpe shkmoo.


Sikushauri sana hayo mahusiano yatakuwa ya mama na mwanae. Utapelekewa moto mpaka ujikute houseboy
 
Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.

Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.

Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.

Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.

Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?

Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?

Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.

NB: wanaume pia mnaruhusu kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.

To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
Ni kama mim navyokuzid wewe si ndio?
 
Mimi wakati nina miaka 27 nilikuwa na mahusiano na mama mmoja wa kirangi yeye alikuwa na miaka 49 pale mtwara mjini, kiukweli yule mama alikuwa ananipenda sana kiukweli alinifanyia mambo mengi sana wakati huo sina ramani yakueleweka town,chakushangaza alikuwa ananiamkia nilikuwa nafurahi sana
 
Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.

Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.

Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.

Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.

Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?

Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?

Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.

NB: wanaume pia mnaruhusu kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.

To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
Kisaikolojia wanapata shida kama tuu kuwa na mwanaume waliyemzidi urefu..

Kiufupi mwanamke anajiskia vizuri akiwa chini ya mwanaume Kwa Kila kitu.
 
Mimi wakati nina miaka 27 nilikuwa na mahusiano na mama mmoja wa kirangi yeye alikuwa na miaka 49 pale mtwara mjini, kiukweli yule mama alikuwa ananipenda sana kiukweli alinifanyia mambo mengi sana wakati huo sina ramani yakueleweka town,chakushangaza alikuwa ananiamkia nilikuwa nafurahi sana
hongera😂

sema 49 parefu
 
Back
Top Bottom