Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
na wanakaa sawavizuri kama unaweza kuwanyoosha😊🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wanakaa sawavizuri kama unaweza kuwanyoosha😊🙌
Usiniambie ulikua unajua ni mwanaume 😃😃😃Kumbe we ni mwanamke?
Aisee
Kama mtoto wa Rihanna na A$AP RockySina uhakika na genetics, ila ukimpata mkeo mwenye komwe kama wewe,tegemea kupata watoto wenye komwe 😁
Hongera sana 🙌na wanakaa sawa
Kabisa nilijua mwenzangu.Usiniambie ulikua unajua ni mwanaume 😃😃😃
Ilichukua muda kidogo kujua wewe ni mrembo wetu hapa jfUsiniambie ulikua unajua ni mwanaume 😃😃😃
Asante sanaHongera sana 🙌
Kula chuma ikohebu ntumie picha ya komwe nilione[emoji16]
Huu ndio utoto sasa.Niliwahi kutoka na manzi mmoja tall hivi ila nilimzidi urefu kidogo basi akawa ananiambia siku ya harusi yetu itabidi asivae mchuchumio eti atanizidi au tutakuwa sawa urefu akidai hatutapendeza nilikuwa nammaindi sana.
Yeye anacheka anaona kama utani
Ila mwanangu fanya yote uwezayo mwanamke asikuzidi urefu aisee dharau sana 🤣🤣
Ngumu mkuu,lakini ndivyo tunavyo interpret ukumbuke tunazaa watoto watakaosambaza DNA/uzao wetu mpaka kizazi kinachofuata, na kinachofuata hilo ndio lengo kuu la procreation,mtu akiwa mbaya maanake atasambaza genes mbaya kwa watoto,na watoto wakizaliwa kama sio wazuri maanake watashindwa kupata mates,na wakishindwa kupata mates maana yake DNA zetu hazitakua passed on, mimi siwezi kuelezea vizuri lakini ni hivyo...lolDuuuh! Kwa hiyo kama mtu sio handsome maana yake sio sign ya good genes.
Aisee 😃😃,, am a girl my friend 😊🤗Kabisa nilijua mwenzangu.
Kwanini jamani 😃😃 au hiyo forty nine 🤔😃Ilichukua muda kidogo kujua wewe ni mrembo wetu hapa jf
Nice to know that.Aisee 😃😃,, am a girl my friend 😊🤗
umeingia kingi kudadeki😬Aisee 😃😃,, am a girl my friend 😊🤗
Uzidiwe urefu na mwanamke dharau sana mzeiyaHuu ndio utoto sasa.
Kwanini unamsema hivyo?umeingia kingi kudadeki😬
😊🤗Nice to know that.
Mwanamke asikuzidi akili tu🤣Uzidiwe urefu na mwanamke dharau sana mzeiya
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama ana hela hakuna tatizo [emoji23][emoji23]